Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Unapokuwa mbunge kwenye Bunge la Tanzania ujue kuwa ubunge wako unatambuliwa na Jumuia ya Madola kwa sababu Bunge la Tanzania ni mwanachama wa mabunge ya Jumuia ya Madola.Ni sawa unachosema. Na kwa mantiki hiyo alitakiwa aandike barua kama Zitto au kama Kiongozi wa ACT wazalendo, na si kama Mbunge wa Bunge la JMT.