Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Hata mimi siamini eti WB isikilize barua ya mtu mmoja au kikundi na kufanyia maamuzi, basi nitajidhisha pasipo shaka kuwa WB na UN zingine agents ni mawala wa whitepeople to colonize blacks kwa mtindo tofauti.
Hela ni mkopo tuachane nao . Na kujitoa. Tatizo la Waafrika hawana umoja tujifunze NATO
Sent using Jamii Forums mobile app
Hela ni mkopo tuachane nao . Na kujitoa. Tatizo la Waafrika hawana umoja tujifunze NATO
Sent using Jamii Forums mobile app