Zitto Kabwe asubiriwa na Bunge kueleza lengo la barua yake Benki ya Dunia kuzuia mkopo wa kuboresha Elimu (SEQUIP)


Nani aliwahi kutolewa bungeni kwa kutoa mapendekezo ya maboresho ya sera?
 
Kazi za mbunge zimeanishwa wazi kabisa hiyo ya kuwasiliana na benki ya dunia kwa kutumia Ofisi ya bunge na karatasi yenye nembo ya bunge haimo kwenye kazi za mbunge.
Kazi za mbunge zimeainishwa wapi na ni zipi?

Kwa nini mbunge kuwasiliana na benki ya dunia si sehemu ya kazi za mbunge?

Wapi imeandikwa hivyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugai hajui kuwa licha ya Zitto kuwa Mbunge lakini bado ni mwananchi wa Tanzania na anahaki ya freedom of speech na kufanya yote anayoweza kufanya katika kushape maamuzi na sera za serikali ilimradi havunji sheria?.

KWANI ZITTO KAVUNJA SHERIA GANI YA NCHI?
 
Zitto njoo huku mkuu, kuna watu wanataka kudondoka kwa pressure!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…