LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Zitto sio msaliti Wa taifa Bali serikali.hili sio tatizoMwambie Lema aandike barua akiomba Chadema inyimwe mkopo.
Hiyo siku unyumbu utakutoka na utaanza kuelewa ni maana ya usaliti na msaliti ni nani
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe ni mgumu kuelewa! Sikatai kwamba Zitto hana mamlaka ya kuandika barua WB akiwa kama Mbunge, hapana, mamlaka hayo anayo. Hoja ni kwamba, alichowaandikia WB ameandika akiwa kama mpinzani, kitu ambacho pia ni sahihi. Alichokosea ni kuandika barua ikiwa na mandhari inayoonyesha kuwa imeandikwa na Mbunge wa JMT, hicho ndicho hakiko sahihi. Alitakiwa aandike aidha kama raia wa Tanzania, au kama Kiongozi wa Chama. Huwezi ukatumia headed paper ya Bunge kuandikia barua nje ya mipaka ya nchi yetu, barua yenye kubeba maudhui ya chama cha upinzani. Au ukaisaini barua hiyo kama mbunge, hapana Labda kama ingekuwa ni hoja ya wapinzani Bungeni na si ya mtu mmoja ambaye pia ni kiongozi wa chama cha upinzaniMkuu Ni muda gani zitto anakuwa si mbunge? Huko shuleni mnaenda kusomea nini
Rai yangu zitto alindwe yasije yakatokea yaleyale ya lissu.ccm Ni makatili sana.Kwamba Zitto akiwa kiongozi wa chama cha ACT anaoteza sifa ya kuwa Mbunge?
Hakuna mipaka ya Ubunge wa Zitto ilimradi anachokifanya kipo ndani ya sheria.
Zitto shika hapohapo,hawana hoja mbadala ,sasa naona wanahaha na kudhani vitisho vitawasaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app
sisi ni DONA KANTRI sasa mbona tunalialia ktk hili badala ya kushangilia kupunguziwa mzigo wa madeniZitto ni pandikizi la mabeberu na ni adui wa nchi!
Hahaa kweli wewe una tatizo, mipaka ya mbunge inaishia ndani tu? Huna hoja bossNa wewe ni mgumu kuelewa! Sikatai kwamba Zitto hana mamlaka ya kuandika barua WB akiwa kama Mbunge, hapana, mamlaka hayo anayo. Hoja ni kwamba, alichowaandikia WB ameandika akiwa kama mpinzani, kitu ambacho pia ni sahihi. Alichokosea ni kuandika barua ikiwa na mandhari inayoonyesha kuwa imeandikwa na Mbunge wa JMT, hicho ndicho hakiko sahihi. Alitakiwa aandike aidha kama raia wa Tanzania, au kama Kiongozi wa Chama. Huwezi ukatumia headed paper ya Bunge kuandikia barua nje ya mipaka ya nchi yetu, barua yenye kubeba maudhui ya chama cha upinzani
Weka vizuri, kazuia zisiende kwa serikali ya awamu ya tano ili wapewe ccm kwa mgongo Wa kunua vyuo vyake.Haijalishi ana ushawishi au hana, issue hapa ni kwamba ameandika barua ya kuzuia hela zisije kwenye Nchi yake anayoishi
Sawa sio tatizo, zitto kapewa ubunge Na wananchi kwa miaka mitano, mwenye haki ya kulalamika Ni wananchi wake Na sio mende mwingine yeyote.Unapokuwa mbunge kwenye Bunge la Tanzania ujue kuwa ubunge wako unatambuliwa na Jumuia ya Madola kwa sababu Bunge la Tanzania ni mwanachama wa mabunge ya Jumuia ya Madola.
Wewe kama mtumishi wa taasisi unaweza kutumia nendo ya taasisi yako kufikisha ujumbe kwenye taasisi nyingine bila ruhusa ya ofisi yako?Kwa nini mbunge ahitaji idhini ya bunge katika barua yake kama mbunge?
Kwani mbunge si sehemu ya bunge?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kwa ccm Na serikali yake, zitto Ni msaliti.ukiomba chakula kwa jilan halafu ndg yako akaenda kwa jilan na kuzuia hicho chakula usipewe maana yake hyo ni msalit hatakiw kuigwa hata na ndg wengne na hupasw kukaa nae, zitto sio mtu mzur hata kidg ametukosea sana wtz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haahaa hii Ni elimu ya kina kubenea hii.uko serious?Wewe kama mtumishi wa taasisi unaweza kutumia nendo ya taasisi yako kufikisha ujumbe kwenye taasisi nyingine bila ruhusa ya ofisi yako?
Sawa, sanduku litaamua Na sio kutumia wakurugenzi.Sisi wananchi wa Kigoma, hatumrudishi Zitto bungeni labda ninyi wananchi wa JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado Ni mbunge hadi 2020
Kwa trump wapinzani wanapewa nafasi sana, sio hapa bongo. Kina mbowe wamebambikiziwa makesi mengi hatarihata trump mgomvi sana lakini kwenye swala la kiutaifa huezi skia wapinzani wamefanya jambo kama hili kwa kwel upinzani mjitathmini sana haswa wabunge wenu! Duniani kote kuna upinzani kuanzia kwenye dini mpaka maisha ya kawaida lakini chakula kikilimwa na mkulima wote tunakula, mengi yataongewa kuhusu upande wa spika lakini ameongea point yenye maaana sana
Kwa trump wapinzani wanapewa nafasi sana, sio hapa bongo. Kina mbowe wamebambikiziwa makesi mengi hatari
Hatuichukii nchi yetu. Tunaipenda. Isipokuwa, tunatofautiana na serikali katika masuala mengi. Serikali inapita. NCHI YETU inabaki. Tutaendelea kuipenda nchi yetu na tofauti zetu na serikali zitaendelea kuwepo. Hadi waheshimu haki za binadamu, demokrasia na utawala bora.
Pesa za mabeberu zinanuka damu. Au sio waungwana? Hakika, tulikubaliana hivyo kwenye kikao kilichopita. inatushangaza wengi sana kwanini serikali ya CCM inazililia na kutoa machozi kwa hizi US$500M!
Kama zilivyo benki zote.Kila benki ina vigezo vyake vya kutoa mkopo.ukienda NMB watakuambia uwe na hati,kitambulisho nk. World Bank wana vigezo, demokrasia uhuru wa habari,n.k wabunge waposema Zitto amezuia mkopo mbona hawaoni vigezo CCM walivyokiuka.Donor country inalilia mkopo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani Ampokee Zitto wakati kwenye vijiwe vya Jukwaa la meza ya Duara, Murusi , Ngomeni, na Vijiwe vya kahawa hapa Kigoma ujiji kila Mtu ameshikwa na butwaa kitendo cha Zigo, wanashangaa. Wengine wanajua itakuwa vir vimekimbilia kichwani ndiyo amechanganyikiwa π π π π π π π π π π π π πWananchi tunampokea Zitto kwa shwangwe Ndugai akameze vidonge vyake
Zitto ni pandikizi la mabeberu na ni adui wa nchi!