Hatuichukii nchi yetu. Tunaipenda. Isipokuwa, tunatofautiana na serikali katika masuala mengi. Serikali inapita. NCHI YETU inabaki. Tutaendelea kuipenda nchi yetu na tofauti zetu na serikali zitaendelea kuwepo. Hadi waheshimu haki za binadamu, demokrasia na utawala bora.
Pesa za mabeberu zinanuka damu. Au sio waungwana? Hakika, tulikubaliana hivyo kwenye kikao kilichopita. inatushangaza wengi sana kwanini serikali ya CCM inazililia na kutoa machozi kwa hizi US$500M!
Kama zilivyo benki zote.Kila benki ina vigezo vyake vya kutoa mkopo.ukienda NMB watakuambia uwe na hati,kitambulisho nk. World Bank wana vigezo, demokrasia uhuru wa habari,n.k wabunge waposema Zitto amezuia mkopo mbona hawaoni vigezo CCM walivyokiuka.Donor country inalilia mkopo.
Sent using
Jamii Forums mobile app