johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
😃😃😃Dahh...Zitto ni Lipumba aliyechangamka.
sugu kashakuwa billionea!!??
sugu kashakuwa billionea!!??
Yaani hiyo hotel ya Sugu ndo imempa ubilionea?😂😂😂 Magufuli anaingiaje hapo wakati Sugu kapambana mwenyewe!Sahihisho,; Sugu siyo billionaire. Pili Sugu hakupewa kiwanja na Kichaa wa. CHATO Magufuli
Hata kama ni bilioni 15 ndo aitwe bilionea!?Ile hotel ikiuzwa ni bei gani!?
Vito vya 2000 vimejaa humusugu kashakuwa billionea!!??
Picha plsSiasa siyo Uadui
Akiwa kwenye Ziara ya kichama Jijini Mbeya KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe na ujumbe wake wametembelea.Hotel ya mjumbe wa kamati kuu ya Chadema Bilionea Sugu
Zitto Kabwe anesema Wawekezaji wa ndani ni lazima watiwe moyo na amempongeza sana mh Joseph Mbilinyi
Wewe una bei gani?Hata kama ni bilioni 15 ndo aitwe bilionea!?
Masahihisho : Magufuli hakuwahi kumpa kiwanja Sugu wala mfuko wa cementSiasa siyo Uadui
Akiwa kwenye Ziara ya kichama Jijini Mbeya KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe na ujumbe wake wametembelea.Hotel ya mjumbe wa kamati kuu ya Chadema Bilionea Sugu
Zitto Kabwe anesema Wawekezaji wa ndani ni lazima watiwe moyo na amempongeza sana mh Joseph Mbilinyi
Hiyo Hotel imejengwa kwenye mkondo wa Maji Baada ya Shujaa Magufuli kufuta Katazo la NEMC na kisha kumpatia Sugu hilo eneo baada ya Sugu kumuombaMasahihisho : Magufuli hakuwahi kumpa kiwanja Sugu wala mfuko wa cement
Duh!Sahihisho,; Sugu siyo billionaire. Pili Sugu hakupewa kiwanja na Kichaa wa. CHATO Magufuli