johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #61
Kumbe Faiza wa Moto Chini 🤣🤣Sio faizer foxx
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Faiza wa Moto Chini 🤣🤣Sio faizer foxx
Kaka kama vitu hujui uliza, magufuli hajawahi kuta ujenzi wowote pale bali nemc walitaka kuvunja hotel ambayo inafanya kazi kabisa ndio magufuli akazuia. Pili pale ilipojengwa hotel sugu hakununua uwanja bali alinunua nyumba akazivunja ndio ikajengwa hotelAnaweza asiwe bilionea l;akini kile kiwanja alikipata kwa mkono wa Magufuli; mwulize Sugu mwenyewe. Kiwanja hicho kilikuwa katika eneo ambalo halikupimwa kwa ujenzi kwa sababu ya mazingira, na NEMC walitaka ujenzi usitishwe na ile sehemu iliyokuwa imeanza kujengwa ibomolewe. Magufuli kwa mamlaka yake akaidhinisha kuwa kiwanja hicho kiwa cha biashara na hivyo kiendelee kujengwa. Hata Sugu mwenyewe alimshukuru sana Magufuli kwa gesture hiyo.
Arusha kuna Hotel ilivunjwa na Rais hakuingiliaKaka kama vitu hujui uliza, magufuli hajawahi kuta ujenzi wowote pale bali nemc walitaka kuvunja hotel ambayo inafanya kazi kabisa ndio magufuli akazuia. Pili pale ilipojengwa hotel sugu hakununua uwanja bali alinunua nyumba akazivunja ndio ikajengwa hotel
Ni wachache sana wanaoweza kuwazidi wanasiasa wa ccm hasa walioshika nyazifa kubwa kama magu, maana wao ni kuchota tuWewe unaweza kumzidi chochote Magufuli katika maisha yako? Labda tuanzie hapo.
Huyo jamaa anasema magu alimsaidia sugu kupata kiwanja sasa uzunguni mbeya kulikuwa na viwanja?Arusha kuna Hotel ilivunjwa na Rais hakuingilia
Ila wote tulimsikia Sugu akimshukuru Shujaa Magufuli
Kwa Sheria ya Ardhi Rais wa JMT ndiye anayefuta Umiliki wa ArdhiHuyo jamaa anasema magu alimsaidia sugu kupata kiwanja sasa uzunguni mbeya kulikuwa na viwanja?
Kaka ilipojengwa hotel sugu alinunua nyumba, tena nyumba za ushuani nani alizijenga kwenye chanzo cha maji? Kumbuka hizo nyumba mwanzo zilikuwa za serikaliKwa Sheria ya Ardhi Rais wa JMT ndiye anayefuta Umiliki wa Ardhi
Sugu kumiliki eneo lenye chanzo cha Maji na NEMC kumtimua ambacho kingefuata ni Rais kufuta Umiliki
Ndiposa Shujaa Magufuli badala ya kukifuta akaagiza Kiwanja kipimwe na kurasimishwa kisha amilikishwe kisheria Sugu Moto Chini!
Kwahiyo kisheria Sugu alipewa Kiwanja na Shujaa Magufuli
Siasa siyo Uadui.
Akiwa kwenye Ziara ya kichama Jijini Mbeya KC wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe na ujumbe wake wametembelea.Hotel ya mjumbe wa kamati kuu ya Chadema Bilionea Sugu
Zitto Kabwe anesema Wawekezaji wa ndani ni lazima watiwe moyo na amempongeza sana mh Joseph Mbilinyi.
=====
View attachment 2640846
Wewe unadhani Sugu ni mjinga Kumshukuru Shujaa Magufuli hadharani?Kaka ilipojengwa hotel sugu alinunua nyumba, tena nyumba za ushuani nani alizijenga kwenye chanzo cha maji? Kumbuka hizo nyumba mwanzo zilikuwa za serikali
Alikuambia?Faiza anajisikia vibaya sana alitamani iwe yake.
Mie siko Mbeya lakini ukiamua kuchagua gharasha badaka ya dume huo uamuzi wako.Huyo Tulia wenu kawafanyia nini wanambeya zaidi ya kuwakimbiza mimarathoni kila siku na migoma kama wanga?
Huyo dogo ni mshamba mmoja wa kyela vijijini huko, yupo hapa 24 hrs kusifia Chadema na mbowe. Chungulia nyuzi zake zote hapa utakuja kuona.Mjinga ni wewe mwenye chuki za kishamba. Unakaza msuli kufifisha image ya raisi unahisi una akili hata moja kweli
Billionaire ni Mtu mwenye kuanzia Dollar Bilioni 1
HapanaHuyo ni WAKIMAREKANI!!lakini kwa Tanzania ukiwa na Kuanzia 1 million Usd tayari umeingia kwenye ubilionea.
Siyo kweli. Sugu anamiliki kiwanja kabla Dikteta hajakuwa Rais wa Tanzania.Anaweza asiwe bilionea l;akini kile kiwanja alikipata kwa mkono wa Magufuli; mwulize Sugu mwenyewe. Kiwanja hicho kilikuwa katika eneo ambalo halikupimwa kwa ujenzi kwa sababu ya mazingira, na NEMC walitaka ujenzi usitishwe na ile sehemu iliyokuwa imeanza kujengwa ibomolewe. Magufuli kwa mamlaka yake akaidhinisha kuwa kiwanja hicho kiwa cha biashara na hivyo kiendelee kujengwa. Hata Sugu mwenyewe alimshukuru sana Magufuli kwa gesture hiyo.
Ubilionea wake unachangiwa pia na misifasugu kashakuwa billionea!!??
Kuniita mimi choko hakutapunguza umasikini unakuandama kuanzia kichwani hadi kwenye nyayo , kabla Magufuli hajaacha kulima bamia kwao , Desderia ilikuwepo , sasa uongo wa kwamba Jiwe ndio alimsaidia Sugu kiwanja mmeokoteza wapi ?
Halafu nakuonya kuhusu Matusi , mimi si kama hao wajinga wenzio , utaondoka jf bila kuaga , rudia tena !
Bado ujenzi ulikuwa unaendelea weye. Kuna sehemu iliyokuwa imaenza kazi na kuna sehemu bado ilikuwa inaendelea kujengwa; ni maendeleo ya ujenzi ule ndiyo yaliyowakurupua NEMC usingizini.Kaka kama vitu hujui uliza, magufuli hajawahi kuta ujenzi wowote pale bali nemc walitaka kuvunja hotel ambayo inafanya kazi kabisa ndio magufuli akazuia. Pili pale ilipojengwa hotel sugu hakununua uwanja bali alinunua nyumba akazivunja ndio ikajengwa hotel