Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hawa wajinga wanaotukana hamna haja ya kuwa quote..Ni kweli kuna watu wa serikali walitaka kuivunja.
..Lakini Magufuli aliona mbali kwamba Sugu angekwenda mahakamani angeishinda serikali.
..Mimi kwa mtizamo wangu naamini Magufuli alilenga kuiokoa serikali na sio kumuokoa Sugu.
Unamtishia nani sasa. Au unahisi nakula kwa kuwepo jf mimi? Angalia na watu wa kuwazoea jomba!Endelea .
Mimi sijawahi kuzoea wajinga , bali wewe ni miongoni mwa wanaojipendekeza kwenye nyuzi zangu , nimekudharau sana ! Matusi na Uchawi ndio faraja pekee ya kapuku .Unamtishia nani sasa. Au unahisi nakula kwa kuwepo jf mimi? Angalia na watu wa kuwazoea jomba!
Wewe una chuki na Magufuli na lengo hasa ni kukwepesha sifa zisimfikie. Usitumie chuki zako kuniletea zengwe hata siku moja. Mi sio wa hivyo aisee.Hawa wajinga wanaotukana hamna haja ya kuwa quote
Mjinga ni wewe mwenye chuki za kishamba. Unakaza msuli kufifisha image ya raisi unahisi una akili hata moja kweliMimi sijawahi kuzoea wajinga
Kivyovyote vile lengo ni kukwepa kumpa sifa Magufuli hio inaeleweka mbajo.
Wewe unaweza kumzidi chochote Magufuli katika maisha yako? Labda tuanzie hapo...Lengo linaweza kuwa ni kulazimisha kumpa Magufuli sifa asizostahili. Kama Magufuli angekuwa na huruma kwa Sugu basi angemuokoa kabla hajafungwa.
..Magufuli alikuwa na ugonjwa wa kupenda sifa. Nitakukumbusha tukio la kumchangia Mchungaji Msigwa ili atoke jela. Mtu mwenye akili timamu hawezi kumfanyia mkwe wake kama Magufuli alivyofanya kwa Mchungaji Msigwa.
Wewe unaweza kumzidi chochote Magufuli katika maisha yako? Labda tuanzie hapo.
Hiyo Hotel imejengwa kwenye mkondo wa Maji Baada ya Shujaa Magufuli kufuta Katazo la NEMC na kisha kumpatia Sugu hilo eneo baada ya Sugu kumuomba
Ushabiki wa Kisiasa usikupofushe yai!
Huyo Tulia wenu kawafanyia nini wanambeya zaidi ya kuwakimbiza mimarathoni kila siku na migoma kama wanga?At the end of the day hskuna wa CCM au CHADEMA au ACT Wazalendo, wote wanataka kutajirika kwa ufisadi na kuuza maneno tu.
Hebu tuonyesheni Sugu amewafanyia nini wananchi wa Mbeya kwa kuwaongeza kipato.
Yaani hadi unamuita choko kumbe unatetea legacy ya Magu mzee baba?? Tufwile nyambala bagwitu🤚🙆♂️kazi mnayoMjinga ni wewe mwenye chuki za kishamba. Unakaza msuli kufifisha image ya raisi unahisi una akili hata moja kweli
Hakika mkuu..Nimemzidi UTU.
..Yule bwana alikuwa na roho ya kikatili, na mlaghai.
Wewe ni mchawi?!!..Sugu pia amemshukuru Magufuli kwa kumfunga kwa kesi ya uongo, na kupelekea afya mama yake Sugu kudhoofika na kufariki.
Yai unatesekea wapi 😂😂😂Uongo hautakusaidia chochote , kwanza unajua desderia imejengwa lini ? swala la Magufuli liliibuka baada ya wadau kupinga njama zake za kishamba za kumkomoa Sugu kupitia Nemc na kufichuliwa kila kitu hadharani , Acheni uongo wa kijinga .
Mtu Katili kama Magufuli hana uwezo wa kusaidia yeyote .
Mambo ya mkwe ni huko huko Chadema..Lengo linaweza kuwa ni kulazimisha kumpa Magufuli sifa asizostahili. Kama Magufuli angekuwa na huruma kwa Sugu basi angemuokoa kabla hajafungwa.
..Magufuli alikuwa na ugonjwa wa kupenda sifa. Nitakukumbusha tukio la kumchangia Mchungaji Msigwa ili atoke jela. Mtu mwenye akili timamu hawezi kumfanyia mkwe wake kama Magufuli alivyofanya kwa Mchungaji Msigwa.
Amepeleka muswada Binafsi bunge la Rwanda kupinga Mbuzi Katoliki mashuleni😃😃😄Faiza anajisikia vibaya sana alitamani iwe yake.
Sio faizer foxxAmepeleka muswada Binafsi bunge la Rwanda kupinga Mbuzi Katoliki mashuleni😃😃😄