Ndio maana mtu akiwa anamdhihaki mtu kama Magufuli huwa namuona kitoko tu πNi wachache sana wanaoweza kuwazidi wanasiasa wa ccm hasa walioshika nyazifa kubwa kama magu, maana wao ni kuchota tu
Tatizo lenu mna mawazo mgando. Kwahio mtu akijaribu kutoa hoja yeyote kuhusu Magu maana yake anatetea Legacy? Kwa akili hizi CCM itatawala hadi vizazi vyetu vya 4Yaani hadi unamuita choko kumbe unatetea legacy ya Magu mzee baba?? Tufwile nyambala bagwituπ€πββοΈkazi mnayo
Magufuli hakustahili sifa yeyote hao wahuni aliwaajiri yeyeWewe una chuki na Magufuli na lengo hasa ni kukwepesha sifa zisimfikie. Usitumie chuki zako kuniletea zengwe hata siku moja. Mi sio wa hivyo aisee.
Hio ni kwa mujibu wako na una haki ya kusema hivyo ila pia mimi nina haki ya kufikiria vinginevyoMagufuli hakustahili sifa yeyote hao wahuni aliwaajiri yeye
Hayupo mtu anaetwa faiza akawa na roho nzuriFaiza ni mdini namba Moja Tz!
Hata kama ni bilioni 15 ndo aitwe bilionea!?
Sasa mbona na erythrocyte katoa mawazo yake kawaida tu ukamuita choko?? Tujitahidj kuvumiliana..wewe unamuona ana legacy wengine wanamuona katili hana utuTatizo lenu mna mawazo mgando. Kwahio mtu akijaribu kutoa hoja yeyote kuhusu Magu maana yake anatetea Legacy? Kwa akili hizi CCM itatawala hadi vizazi vyetu vya 4
sahihi, sasa wewe unamuitaje mtu choko kisa kasema mawazo yake?Hio ni kwa mujibu wako na una haki ya kusema hivyo ila pia mimi nina haki ya kufikiria vinginevyo
Amenishangaza mnosahihi, sasa wewe unamuitaje mtu choko kisa kasema mawazo yake?
Kuanzia one billion dollarsNini maana ya bilionea?
Mambo ya mkwe ni huko huko Chadema
Mbowe na Mtei
Ndesamburo na Grace
Wewe endelea kumfagilia mbeba majenezaAt the end of the day hskuna wa CCM au CHADEMA au ACT Wazalendo, wote wanataka kutajirika kwa ufisadi na kuuza maneno tu.
Hebu tuonyesheni Sugu amewafanyia nini wananchi wa Mbeya kwa kuwaongeza kipato.
Kwani hukumsikiaAlikuambia?
Ameshindwa kuheshimu mawazo yangu ndio maana nikamuita choko.sahihi, sasa wewe unamuitaje mtu choko kisa kasema mawazo yake?
Kwanini mnajaribu kuibua dhana ya Legacy kila wakati. Mtu akimuongelea Magufuli positively mnasharuka na ngonjera za Legacy mara Sukuma Gang why do you always have to do such bullshit?Sasa mbona na erythrocyte katoa mawazo yake kawaida tu ukamuita choko?? Tujitahidj kuvumiliana..wewe unamuona ana legacy wengine wanamuona katili hana utu
πUbilionea wake unachangiwa pia na misifa
Jamaa ana misifa mnoo