Getrude Mollel
JF-Expert Member
- Apr 26, 2022
- 270
- 362
- Thread starter
- #41
Tukuulize wewe, unajua ngapi.Duh kwa hiyo huyu jamaa yuko kwenye payroll ngapi kwa ujumla?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukuulize wewe, unajua ngapi.Duh kwa hiyo huyu jamaa yuko kwenye payroll ngapi kwa ujumla?
we una lipi?huna lolote
Hakuna Mkataba bado, ule sio Mkataba ni MoU, mkataba utakuja baada ya maongezi kati ya TPA na DP World, lakini hadi bunge lipitishe.Kwahiyo kile kipande cha mkataba kipengele cha kutoruhusiwa kuvunja mkataba hata itokee nini, hawa wavunje masharti ya mkataba , ni forgery?
Wanaandika ili waonekane na mamlaka za uteuzi wapate nafasi hata za diplomats. Jinga sana...Huyu ni mjinga
We are not fucked you can trust that, you will believe me after 10 June.Hiyo framework ni upuuzi kwa sababu inalinda maslahi ya mwekezaji kwa 100%,sijaona sehemu hata moja ambayo inalinda ama kutetea maslahi ya Tanganyika. Kama framework ni ya hivyo hivi,hiyo mikataba itakuja kuwa vpi.
Kuna wanasheria wa Tanzania walihusishwa kwenye kuiandaa hiyo framework? Naona kama mdubai ameiandaa na kuileta Tz bila input yoyote kutoka upande wetu,halafu govt inapeleka bungeni.
We are fucked big time .
Situmiki kama wewe mnafiki na muongo , unadhani jf kuna wajinga hapa ?we una lipi?
Unadhani kauli za Mbowe Juu ya Rais Samia Suluhu na Mh Makame Mbarawa zilikuwa kauli nzuri na zakiungwana?Zitto huyu huyu anayetaka tusiwaguse Wazanzibar kwenye jambo ili tusionekane Wabaguzi ? Wadanganye Wajinga sana .
Mpuuzi kama wapuuzi wengineNimesikiliza kwa makini sana alichozungumza Zitto Kabwe juu ya hili suala la DP World.
Kwanza ningependa kumpongeza Zitto Kabwe kwa kazi nzuri sana anayoendelea kufanya, kwenye hili ametenda haki na ameonesha ukomavu wa hali juu kama kiongozi wa Chama cha Upinzani (ACT Wazalendo).
Ameweza kuondoa ukakasi kwa maneno machache sana na rahisi mno ambayo kila mtu anaweza kuelewa.
ZK anasema, kwenye jambo hili ni vyema tukatofautisha kati ya hisia na facts, ingawa hawapingi wazungumzao kwa kutumia tu hisia, kwani hisia nazo ni muhimu bali tunapaswa tuwe makini zaidi ili tuepuke upotoshaji ambao kama umejitokeza siku kadhaa nyuma.
Kwenye suala hili, ZK anasema kwamba kulikuwa na sababu za makusudi za upotoshaji, ambazo lengo lake ni kuleta hataruki (confusion) kwa jamii kwa maslahi ya kisiasa.
ZK anasema kwamba kupitia chama chake cha ACT Wazalendo, wametoa tamko linalowaeleza wananchi ni kitu gani kinakwenda kujadiliwa Bungeni. Nipongeze hatua hii kwani kwani vyama vingine mfano CHADEMA, kwenye hili kimekuwa mstari wa mbele kupotosha umma kuliko kuelimisha umma, Hongera ZK kwa hili.
ZK anaendelea, Kinachokwenda kujadiliwa Bungeni ni MoU ambayo imetoka hadharani, MoU ile, ni makubaliano kati ya serikali mbili (Dubai na Tanzania) ambapo makubaliano hayo sasa, yanatoa ruhusa ya serikali yetu kwenda kujadiliana hayo mambo yanayohusu uwekezaji wa DP World, na huko kwenye hayo majadiliano, ndipo tunapaswa tuwe makini kwa sababu ndio tutakapokuwa na masharti yote ya mkataba wa utekelezaji.
ZK kwa umakini wa hali ya juu anasema kwamba, hiki ambacho kinakwenda kujadiliwa Bungeni, "is simply the framework agreement" ambayo ina muda mahususi. ZK anasema, amesoma Kamati ya Bunge inayohusika moja kwa moja na jambo hili, na ripoti ya azimio la ambalo linakwenda kujadiliwa Bungeni inasema kwamba, "Serikali ya Tanzania itahakikisha kuwa, mamlaka ya bandari haitapokea maombi mengine kwenye maeneo ya ushirikiano yaliyoanishwa katika kiambatanisho namba 1 awamu ya kwanza mkapa hapo mazungumzo katika ya TPA na DP World yatakakuwa yamesitishwa au baada ya kupita kipindi cha miezi 12 baada ya kusainiwa kwa MoU".
Sasa basi, ili tuweze kupata mkataba wa utekezaji, ni hadi Bunge lijadili MoU na kutoa ridhaa kwa TPA kuanza majadiliano na DP World ili kuandaa mkataba wa utekelezaji (HGA), sasa kama itatokea TPA na DP World wameshindwana kwenye majadiliano ndani ya kipindi tajwa, serikali inaweza kutafuta kampuni nyingine ya kuwekeza kwenye bandari zetu.
ZK anaendelea kusema kwamba, mjadala wa Bunge juu ya MoU hii ndio muhimu zaidi, yaani ndio msingi mkuu wa HGA, kupitia hapa ndio tunaweza kujua kwamba tunaliwa au tunakula, kwahiyo ni muhimu sana Wananchi kwamba kinachokwenda kuamuliwa na Bunge, sio kuwapa DP World uendeshaji wa bandari zetu, bali kinachokwenda kuazimiwa, ni kuipa ruhusa serikali kuanza majadiliano na DP World, na kama majadiliano hayo yakishindikana, azimio lote halipo tena. Nguvu zetu,tuwekeze kwenye majadiliano ambayo yanakwenda kutupa mkataba wa utekelezaji.
Kwa ufafanuzi huu wa @zittokabwe ,kama mtu hatoelewa basi, na unaua kabisa hoja muflisi za mkataba usiokua na kikomo na mkataba wa miaka 100.
Mjinga wa JF ni wewe, ukiona sehemu hakuna mjinga access yourself.Situmiki kama wewe mnafiki na muongo , unadhani jf kuna wajinga hapa ?
Ukiachana ba DP World ile hela ya udalali Kigogo alikulipa?DP World ni kampuni kubwa sana na inawashindani wengi sana, inafanya kazi na zaidi na ya nchi 60, ni kawaida kuwa shutuma na shutuma sio tuhuma. Hebu onesha kesi moja tu, ambayo DP World ilishindwa na kutozwa faini. Kampuni kubwa na shutuma sio kigezo cha kutofanya biashara, sio jambo baya, ni kawaida, hata wewe kesho unaweza kupewa shutuma, ila haina maana una makosa, ni shutuma tu.
Kakojoe ukalale.Mpuuzi kama wapuuzi wengine
I don't have to believe you after the 10th of June, hiyo framework haifai hata kujadiliwa bungeni. Kama framework ni mbaya hivyo je hiyo mikataba itakuaje? How can they propose to give 1 company bandari zote za Tanganyika?We are not fucked you can trust that, you will believe me after 10 June.
Kwahiyo wanaposema hatuwezi kuvunja mkataba hata kama Yesu akirudi na kuwapigia magoti, wanakuwa wanamaanisha nini kwenye huo mkataba tuliosaini? Kumbuka MOU ni makubaliano, na makubaliano kwa neno lingine ni mkatabaHakuna Mkataba bado, ule sio Mkataba ni MoU, mkataba utakuja baada ya maongezi kati ya TPA na DP World, lakini hadi bunge lipitishe.
There is no agreement yet, the problem ni kwamba you have consumed a lot of propaganda that you cannot think.I don't have to believe you after the 10th of June, hiyo framework haifai hata kujadiliwa bungeni. Kama framework ni mbaya hivyo je hiyo mikataba itakuaje? How can they propose to give 1 company bandari zote za Tanganyika?
Nimesikiliza kwa makini sana alichozungumza Zitto Kabwe juu ya hili suala la DP World.
Kwanza ningependa kumpongeza Zitto Kabwe kwa kazi nzuri sana anayoendelea kufanya, kwenye hili ametenda haki na ameonesha ukomavu wa hali juu kama kiongozi wa Chama cha Upinzani (ACT Wazalendo).
Ameweza kuondoa ukakasi kwa maneno machache sana na rahisi mno ambayo kila mtu anaweza kuelewa.
ZK anasema, kwenye jambo hili ni vyema tukatofautisha kati ya hisia na facts, ingawa hawapingi wazungumzao kwa kutumia tu hisia, kwani hisia nazo ni muhimu bali tunapaswa tuwe makini zaidi ili tuepuke upotoshaji ambao kama umejitokeza siku kadhaa nyuma.
Kwenye suala hili, ZK anasema kwamba kulikuwa na sababu za makusudi za upotoshaji, ambazo lengo lake ni kuleta hataruki (confusion) kwa jamii kwa maslahi ya kisiasa.
ZK anasema kwamba kupitia chama chake cha ACT Wazalendo, wametoa tamko linalowaeleza wananchi ni kitu gani kinakwenda kujadiliwa Bungeni. Nipongeze hatua hii kwani kwani vyama vingine mfano CHADEMA, kwenye hili kimekuwa mstari wa mbele kupotosha umma kuliko kuelimisha umma, Hongera ZK kwa hili.
ZK anaendelea, Kinachokwenda kujadiliwa Bungeni ni MoU ambayo imetoka hadharani, MoU ile, ni makubaliano kati ya serikali mbili (Dubai na Tanzania) ambapo makubaliano hayo sasa, yanatoa ruhusa ya serikali yetu kwenda kujadiliana hayo mambo yanayohusu uwekezaji wa DP World, na huko kwenye hayo majadiliano, ndipo tunapaswa tuwe makini kwa sababu ndio tutakapokuwa na masharti yote ya mkataba wa utekelezaji.
ZK kwa umakini wa hali ya juu anasema kwamba, hiki ambacho kinakwenda kujadiliwa Bungeni, "is simply the framework agreement" ambayo ina muda mahususi. ZK anasema, amesoma Kamati ya Bunge inayohusika moja kwa moja na jambo hili, na ripoti ya azimio la ambalo linakwenda kujadiliwa Bungeni inasema kwamba, "Serikali ya Tanzania itahakikisha kuwa, mamlaka ya bandari haitapokea maombi mengine kwenye maeneo ya ushirikiano yaliyoanishwa katika kiambatanisho namba 1 awamu ya kwanza mkapa hapo mazungumzo katika ya TPA na DP World yatakakuwa yamesitishwa au baada ya kupita kipindi cha miezi 12 baada ya kusainiwa kwa MoU".
Sasa basi, ili tuweze kupata mkataba wa utekezaji, ni hadi Bunge lijadili MoU na kutoa ridhaa kwa TPA kuanza majadiliano na DP World ili kuandaa mkataba wa utekelezaji (HGA), sasa kama itatokea TPA na DP World wameshindwana kwenye majadiliano ndani ya kipindi tajwa, serikali inaweza kutafuta kampuni nyingine ya kuwekeza kwenye bandari zetu.
ZK anaendelea kusema kwamba, mjadala wa Bunge juu ya MoU hii ndio muhimu zaidi, yaani ndio msingi mkuu wa HGA, kupitia hapa ndio tunaweza kujua kwamba tunaliwa au tunakula, kwahiyo ni muhimu sana Wananchi kwamba kinachokwenda kuamuliwa na Bunge, sio kuwapa DP World uendeshaji wa bandari zetu, bali kinachokwenda kuazimiwa, ni kuipa ruhusa serikali kuanza majadiliano na DP World, na kama majadiliano hayo yakishindikana, azimio lote halipo tena. Nguvu zetu,tuwekeze kwenye majadiliano ambayo yanakwenda kutupa mkataba wa utekelezaji.
Kwa ufafanuzi huu wa @zittokabwe ,kama mtu hatoelewa basi, na unaua kabisa hoja muflisi za mkataba usiokua na kikomo na mkataba wa miaka 100.
FYI: Kasome Article 20 of the Agreement sasa, that is not the conclusion, na hakuna mkataba bado, sasa sijui unazungumza kitu gani.Kwahiyo wanaposema hatuwezi kuvunja mkataba hata kama Yesu akirudi na kuwapigia magoti, wanakuwa wanamaanisha nini kwenye huo mkataba tuliosaini?
View attachment 2651800
Mashaka ni makubwa sana sababu serikali uwa inaingia mikataba mingi mibovo kwa maslahi ya viongozi wachache,ndio maana unaona kwenye hili la bandali watu wamelipuka.DP World ni kampuni kubwa sana na inawashindani wengi sana, inafanya kazi na zaidi na ya nchi 60, ni kawaida kuwa shutuma na shutuma sio tuhuma. Hebu onesha kesi moja tu, ambayo DP World ilishindwa na kutozwa faini. Kampuni kubwa na shutuma sio kigezo cha kutofanya biashara, sio jambo baya, ni kawaida, hata wewe kesho unaweza kupewa shutuma, ila haina maana una makosa, ni shutuma tu.