View attachment 2359664
Kiongozi Mkuu wa ACT wazalendo akiambatana na Boby wine akiwa na Meya wa Mji wa Lyviv -UKRAINE.
SWALI MUHIMU:
msimamo wa ACT katika vita vya UKRAINE Unaegamia mrengo upi?
CC; Pascal Mayalla Infantry Soldier Yericko Nyerere
Kwan we ulishindwa kupongeza mpaka udandie kwa zito??Hongera Zitto Kabwe kwa kulaani uvamizi wa Urusi huko Ukraine.
Kwa maoni yangu, Zitto Kabwe ndie the one and only serious and strategic opposition leader in Tanzania. Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini haya...
P
kwani amesema ameenda kulaaniHongera Zitto Kabwe kwa kulaani uvamizi wa Urusi huko Ukraine.
Ukweli mchungu zitto ni nyokaZitto opportunistic and traitor. Lyatonga aliyebakia Tanzania
Umenifanya nichekeUkweli mchungu zitto ni nyoka
Ukraine alimpoka lini Russia Uhuru wake?Urusi amevamia Ukraine kulinda uhuru wake.
Ukraine anapigana na Mrusi kujihami na kulinda mipaka yake.
Kwani amekuwa kama ndege wa Safina ya NUhuAtakuwa kaenda kuangalia kama vita imeisha ili binti wa monalisa arudi chuo
Ukraine alimpoka lini Russia Uhuru wake?
Tofautisha bhana kati ya Mzalendo wa kweli, na Mchumia tumbo, Mnafiki, na Mdini!Kwa maoni yangu, Zitto Kabwe ndie the one and only serious and strategic opposition leader in Tanzania. Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini haya...
P
Kwani lazima jirani awe na mlengo wa kisiasa kama wako?Hujui kama Ukraine anataka kutumika kumslave Russia, na kuifanya kama point ya kumcounter attack Russia incase na hata kufuatilia nyendo za Russia.
UN ingekuwa fair basi Ukraine na nchi zote around Russia ziwe neutral bila kuwa na uhusiano wa kijeshi na rivals wowote wa Russia.
Wakati wa vita baridi mikata iliwekwa juu ya watu kufanya mashindano ya umilikaji wa silaha za nuklia.
Kwa maoni yangu, Zitto Kabwe ndie the one and only serious and strategic opposition leader in Tanzania. Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini haya...
P
Kwani lazima jirani awe na mlengo wa kisiasa kama wako?
Kuna Bukyanagandi atasema Nato wamemp hongo Zitto ili aichafue Urusi 😁😁 huyu jamaa anaishi katika ulimwengu wake mwenyewe.