Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo kwa ku copy, sasa kwa kuwa hakuna na nyie hamuwezi, je muungano wa nchi mbili ukafom nchi mbili umeuona wapi?huo ni mtazamo wake, hakuna nchi duniani yenye serikali tatu, labda sisi tuwe wa kwanza..3 hazina tija yoyote kufurahishana wakati tunaingia hasara, siungi mkono, suluhisho ni serikali moja tu
Nchi ya Zanzibar haitaki Serikali moja, hapo unafanyaje!
Wabongo kwa ku copy, sasa kwa kuwa hakuna na nyie hamuwezi, je muungano wa nchi mbili ukafom nchi mbili umeuona wapi?
Hao wajumbe wa CCM ni wa kupelekwapelekwa tu, akija JK akasema serikali mbili, watarudi tena kule kule! Ni sawa na wale wapiga kura kwenye wimbo wa 'Ndio Mzee' wa Profesa Jay, walimkubali mgombea wa mwanzo, akaja mwingine akawapa sera za kumpinga wa mwanzo, naye wakamkubali!!... Idadi kubwa ya Wajumbe wa CCM, jana baada ya kutoka ndani Ukumbi wa Bunge, walionekana kuridhishwa na ufafanuzi wa hotuba ya Warioba huku wengine wakitamka wazi kuwa Serikali tatu ndio mpango mzima...
Hi inapokuwa Serikali tatu, kila nchi na Rais wake mwenye Mamlaka kamili, huyo Rais wa Muungano atakuwa hana maana ya kuwepo, labda kama hawa Marais wawili watakuwa Magavana au Mawaziri Wakuu.
Kama Katiba yao inasema Zanzibar ni nchi na ina Rais wake, bendera yake, wimbo wake wa Taifa, kwanini usiamini kuwa ni nchi!mpaka sasa zanzibar sio nchi mkuu, tuna tanzania pekee
hakuna ndo maana tunataka sisi tuwe wa kwanza na hao waje wacopy kwetu, wabongo mnaogopa kuwa wa kwanza, mnatafuta reference na nyinyi ndo mfuate.wewe usiyecopy niambie hiyo nchi yenye serikali tatu ni ipi??
alafu mkiulizwa mseme hizo gharama ni zipi mnakimbia, swala hapa ni kuzuia matumizi ya sio na lazima na matumizi mabaya ya fedha za uma jambo ambalo serikali ya ccm imeshindwa kabisaMimi siungi mkono serikali tatu, ni gharama na mzigo zaidi kwa watanzania.
huo ni mtazamo wake, hakuna nchi duniani yenye serikali tatu, labda sisi tuwe wa kwanza..3 hazina tija yoyote kufurahishana wakati tunaingia hasara, siungi mkono, suluhisho ni serikali moja tu
Kumbe watanzania wengi ni wavivu wa kufikili yaani kwa kero hz tuu ambazo zinazungumzika leo tunakata tamaa na kuona mfumo uliopo wa serikali ndio tatizo? Nadilikikusema tumepotea na hoja hii inapaswa kupingwa kwa nguvu zote, hv hii tume inajuwa afya ya serikali tatu na mbili ipi bora? Au wamekurupuka tuu?.
Mimi siungi mkono serikali tatu, ni gharama na mzigo zaidi kwa watanzania.
huo ni mtazamo wake, hakuna nchi duniani yenye serikali tatu, labda sisi tuwe wa kwanza..3 hazina tija yoyote kufurahishana wakati tunaingia hasara, siungi mkono, suluhisho ni serikali moja tu
huo ni mtazamo wake, hakuna nchi duniani yenye serikali tatu, labda sisi tuwe wa kwanza..3 hazina tija yoyote kufurahishana wakati tunaingia hasara, siungi mkono, suluhisho ni serikali moja tu
Kama Katiba yao inasema Zanzibar ni nchi na ina Rais wake, bendera yake, wimbo wake wa Taifa, kwanini usiamini kuwa ni nchi!