Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Tanzania ni Nchi inayojitegemea kutokana na aina wa Muungano wetu, hatuna haja ya kuiga hiyo miundo mingine ya "nchi nyingine duniani"
muundo wa serikali 3 haufai, ni kujiongezea gharama kwa kutaka kujifurahisha, furaha ambayo haitadumu, hapa tunaanza safari ya kuua muungano, warioba pia amekiri challenge kubwa ni gharama, kwanini kuwatesa wananchi kwa matakwa ya wanasiasa wenye UCHU?? Tuboreshe tulichonacho kuliko kuongeza matatizo..
