Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Hii italeta pumzi mpya, changamoto mpya kwa ccm, mageuzi, na uelekeo mpya wa upinzani nchini.
Hata hivyo,
Hatua hiyo muhimu itategemea sana, utashi na utayari wa uongozi wa vyama hivyo vya kisiasa nchini, kuweka maslahi ya Taifa mbele, na kuweka kando tofauti zao za kisiasa, usaliti, ubinafsi, tamaa na uchu wa madaraka na vyeo.
Wananchi wameshaikatia tamaa Chadema wameichoka na wamechoka kuburuzwa kwa style ile ile miaka nenda miaka rudi. Maelfu kwa maelfu ya wanachama wa Chadema hivi sasa maeneo mbalimbali nchini, wanajiunga ccm hivi sasa, na bilashaka yoyote maelfu wengine watajiunga vyama vingine vya upinzani, kuepuka kutolewa kafara na kuchukuliwa misukule na Chadema.
So,
Hiyo ni fursa ya kipekee sana kwa Zitto Kabwe kuitumia kuunganisha upinzani, na kuchangia mabadiliko na uelekeo wa Kidemokrasia kupitia muungano mpya wa upinzani nchini 🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Hata hivyo,
Hatua hiyo muhimu itategemea sana, utashi na utayari wa uongozi wa vyama hivyo vya kisiasa nchini, kuweka maslahi ya Taifa mbele, na kuweka kando tofauti zao za kisiasa, usaliti, ubinafsi, tamaa na uchu wa madaraka na vyeo.
Wananchi wameshaikatia tamaa Chadema wameichoka na wamechoka kuburuzwa kwa style ile ile miaka nenda miaka rudi. Maelfu kwa maelfu ya wanachama wa Chadema hivi sasa maeneo mbalimbali nchini, wanajiunga ccm hivi sasa, na bilashaka yoyote maelfu wengine watajiunga vyama vingine vya upinzani, kuepuka kutolewa kafara na kuchukuliwa misukule na Chadema.
So,
Hiyo ni fursa ya kipekee sana kwa Zitto Kabwe kuitumia kuunganisha upinzani, na kuchangia mabadiliko na uelekeo wa Kidemokrasia kupitia muungano mpya wa upinzani nchini 🐒
Mungu Ibariki Tanzania