James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
Nafikiri Kigogo ana hasira kwasababu alikuwa kwenye genge la NchimbiIla hizi propaganda kwamba Dr. Mpango ni Mrundi kwa kuwa tu ameonekana akicheza wimbo wa kiha ni utoto na kukosa hoja.
Kigogo sometimes anakuwa na mambo ya kipuuzi sana. These days yupo off target kwa kila jambo na frustrations zake zinamfunua na kuonyesha ni mtu wa aina gani
Upo sawa kifikra? Unataka aeleze mara ngapi?Umesoma vizuri nilichoandika? Sijamtuhumu mtu au kumsafisha
Ninachosema ni kuwa Dr Mpango ana wajibu wa kueleza aina ya Uraia wake. Je , alizaliwa Tanzania?
Je, alipewa Uraia? Hayo ndiyo muhimu kwasasa .
Utetezi kuwa ni wa Kigoma hautamaliza mjadala na zaidi utatia shaka na kumfanya ajisikie mnyonge
Kuna tatizo gani akijitokeza na kueleza Uraia wake?
Nimekupa mfano wa Abdul Nondo ambaye ni kijana mdogo sana.
Baada ya kutuhumiwa kijinga na kwa chuki tu na ukatili, Abdul hakuishia kusema ni Mkigoma alithibitisha kutoka kwa Babu yake aliyempokea Nyerere. Mjadala ukaishia hapo!
Dr Mpango anapaswa kusema tu Uraia wake ni wa aina gani! Baasi
Kama hataeleza basi wale wanaosema si Raia watakuwa na uhalali wa kusema kwasababu nini anaficha?
Kama VP hawezi kuongoza akitazamwa kwa jicho la shaka hasa tukijua ana siri za nchi.
Dr Mpango ajitokeze aeleze au akae kimya awape neno wanaohoji tena litakuwa na nguvu. Ukimya si dawa wala ukigoma si kinga.
Baada ya wasukuma kula rahaa, ifuatayo ni zamu ya waha.
Makamu Ha
CS Ha.
Walichukuliwa Enzi za utumwa muda sanaMbona nilisikia huko nako kuna Waarabu, Wamalawi, Wanyamwezi, Wanyarwanda, Wasukuma, Wakurya, Warundi, Awazambia, n.k. ila hakuna anaongea lugha ya asili yake.
Iko kaziNi mnyasa wa Mbambabay!
We mzee kila kitu kibaya Ni chademaTatizo letu hasa upinzani ni kuchafuana. Mtu yeyote mwenye kujuwa historia ya TZ pamoja na makabila yake anatakiwa kujuwa kuwa watu wa mipakana wana makabila yanayoshahibiana. Waha kwa kifupi wana uhusiano na Warundi. Nafikiri siku hizi hata historia ya makabila hatujifunzi. Wale tuliyokuwa shule miaka ya 1950 tulijifunza juu ya makabila na asili zao. Ndiyo maana ukinitajia Mwami Ntare ninajuwa ni nani na alitawala wapi. Sasa hivi watu wanasikia Wahutu na Watusi, wakidhani hayo ni makabila kumbe siyo. Hata Waha, Wanyamwezi, na Wasukuma wana wahutu wao na watusi wao.
Hao wanamuita Mpango Mrundi ni CHADEMA waliokosa sera wamebaki kuchafuana. Hata kama angekuwa Mrundi, kwani Warundi wangapi wamechukuwa utaia wa TZ kutokana na migogoro yao. Je, akiwa na asili ya Kirundi lakimi ni Mtanzania utamnyima hiyo nafasi kwa sababu asili yake ni Burundi. TZ haibagui wananchi wao kwa dini, kabila, wala asili yao. Ukishakuwa Mtanzania ni Mtanzania tu, hata kama wewe ni mzungu. Hivi mliwa kuwaona mawaziri wa Nyerere ambapo kulikuwa na wazungu, waafrika, na wahindi. Hivi leo hii ikitokea hivyo, kelele za CHADEMA zitafika wapi? Au watanyamaza kwa sababu huko Ulaya ndipo alipo prpogandist wao mkubwa anti-pus Lissu.
Acha umbayuwayu VP ajieleze kwa huo uzumbukuku wenu.?? Mtakuwa mmekosa agenda!Sasa zzk povu lote hilo la nini, Mwache VP ajieleze mwenyewe inakuaje ahusishwe na uraia wa nchi nyingine halafu awe kiongozi wa juu katika nchi isio asili yake.
Mbona rais wa chama chake wakati huo aliteuliwa kuwa mkuu wa mkoa?
Una uhakika na hili?
Katiba imeanisha aina ya uraia na ikatoa mashrti kwa viongozi yakiambatana na uraia wao
Hakuna Muha wa Kirundi, Muha ni Muha hana mahusiano yoyote na Mrundi japo lugha ya Kirundi, Kiha na Kinyarwanda zinaingiliana.Hivi kwanini Watusi wa Tanzania huwa wanaonekana sio raia ukilinganisha na Wahutu au Waha wa kirundi?
Wote hawa si victims wa mipaka ya mzungu?
VP haweza kujieleza kwa upumbavu wenu. Tatizo huyo Kigogo hata hajui lolote kuhusu Waha na lugha yao! Kile ni kiha nanile ni ngoma ya kiha, yes huu ni muda wa Waha kaeni lwa kutulia.Sasa zzk povu lote hilo la nini, Mwache VP ajieleze mwenyewe inakuaje ahusishwe na uraia wa nchi nyingine halafu awe kiongozi wa juu katika nchi isio asili yake.
Halafu ile siyo ngoma ya Kirundi, ile ni ngoma ya Kiha na pale ni Manyovu wakati wa kampeni ya ubunge 2020.Hoja ya Uraia ni yakisheria siyo yakisiasa. Kwa mujibu wa sheria ya Uraia wa Tanzania Sura 258 kifungu Cha 4 raia wa Tanzania kwa kuzaliwa ni mtu aliyezaliwa ndani ya Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania mmoja wa wazazi wake akiwa Raia wa Tanzania. Kwa kifungu hiki Dr. Mpango hana utata wa Uraia kwa sababu zifuatazo