Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Hahahahah nilikuwa kambi moja huko Kati iko kasulu pale[emoji1][emoji1]Kubaya kama sura yako??!!
Kama kubaya ulifuata nini??!!
Hahahahah nilikuwa kambi moja huko Kati iko kasulu pale
Uhamiaji ni chombo pekee kisheria kina mamlaka ya kuhoji uraia wa mtu na siyo users wa twitter au Jamiiforums. Mkiwa na mashaka na urai wa mtu mnaenda kuripoti uhamiaji na una haki ya kufuatilia ripoti yako.Umesoma vizuri nilichoandika? Sijamtuhumu mtu au kumsafisha
Ninachosema ni kuwa Dr Mpango ana wajibu wa kueleza aina ya Uraia wake. Je , alizaliwa Tanzania?
Je, alipewa Uraia? Hayo ndiyo muhimu kwasasa .
Utetezi kuwa ni wa Kigoma hautamaliza mjadala na zaidi utatia shaka na kumfanya ajisikie mnyonge
Kuna tatizo gani akijitokeza na kueleza Uraia wake?
Nimekupa mfano wa Abdul Nondo ambaye ni kijana mdogo sana.
Baada ya kutuhumiwa kijinga na kwa chuki tu na ukatili, Abdul hakuishia kusema ni Mkigoma alithibitisha kutoka kwa Babu yake aliyempokea Nyerere. Mjadala ukaishia hapo!
Dr Mpango anapaswa kusema tu Uraia wake ni wa aina gani! Baasi
Kama hataeleza basi wale wanaosema si Raia watakuwa na uhalali wa kusema kwasababu nini anaficha?
Kama VP hawezi kuongoza akitazamwa kwa jicho la shaka hasa tukijua ana siri za nchi.
Dr Mpango ajitokeze aeleze au akae kimya awape neno wanaohoji tena litakuwa na nguvu. Ukimya si dawa wala ukigoma si kinga.
Ahaaa Yohana ni wewe jamaa yake na Pascal?Zitto Kabwe anashupalia vitu vidogo vidogo sana.
Mbona mzee Mkapa rip kwao ni Lupaso kijijini tatizo ni nini?!!
Hahahaaaa.....ni mimi mkuu!Ahaaa Yohana ni wewe jamaa yake na Pascal?
Mbatia,Mrema walipopata teuzi walikuwa ccm?Uteuzi upi??, yeye ni mkuu wa chama cha ACT sasa ateuliwe kwenye wadhifa upi na aachwe Mwana CCM??!
Mbatia,Mrema walipopata teuzi walikuwa ccm?
Hapana ifike mahali tujue chombo cha uhamiaji kipo kwa ajili ya mambo kama hayo ni jukumu la watu kuripoti uhamiaji na wao watoe majibu. Nadhani pia Watanzania ambao hawatoki mipakani hawaelewi jinsi wanavyowakera wenzao pale wanapohoji uraia wao. Kwanini mtu wa Dodoma, Singida, Kilimanjaro ajihisi raia kuliko mtu wa Kagera, Kigoma na Mtwara .Hata hivyo NIDA wanahitaji kufanya jitihada kutoa vitambulisho vya taifa kupunguza hii kero.Mkuu Nguruvi3 ..
Shukran sana Kwa bandiko hili
Mimi nakubaliana kuwa ni Raia
Lakini naungana na wewe atuthibitishie uraia wake ukoje..
Hata kama ana asili ya Burundi aseme tujue
Obama alikuwa na asili ya Kenya
Hitler Austria
Kuna Yule Rais wa Ufaransa asili yake Hungary...
Nimeshangaa Sana wanaomtetea waegeuka mbogo....
Ziito yeye mwenyewe tuhuma za kuficha Hadi jina lake hajawahi kujibu
Anajiita Zitto Zuberi Kabwe..
Jina lake lingine anaficha na hasemi Kwa nini
Ni mshauri wa raisMakamu wa Rais ndiye anafanya teuzi???
Mimi ni msukuma lakini sikula raha yoyote ile zaidi ya matusi kutoka kwa wapinzani wa JPMBaada ya wasukuma kula rahaa, ifuatayo ni zamu ya waha.
Makamu Ha
CS Ha.
Kwa mtizamo wangu kadhia si ya kupuuza hata kidogo.Kumbe homeboy ni homeboy tu. Kiongozi wa Act wazalendo amefura na amekuwa kama mbogo. Hii ni baada ya video iliyosambaa mitandoni ikimuonyesha Makamu wa Rais wa sasa akicheza ngoma inayofanana na ya kirundi.
View attachment 1742127