Zitto Kabwe awa mbogo, awashukia vikali wanaodai Makamu wa Rais, Dkt. Mpango ni Mrundi

Zitto Kabwe awa mbogo, awashukia vikali wanaodai Makamu wa Rais, Dkt. Mpango ni Mrundi

Huyu si Mwanasiasa wa kwanza kutuhumiwa kwamba si raia wa Tanzania , wako wengine kadhaa walishatuhumiwa akiwemo aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala Generali Ulimwengu , wamo akina Eyakuze wa Twaweza pamoja na Maaskofu kadhaa wa Makanisa .

Walichokifanya ni kutoa nyaraka zao kuthibitisha uraia wao , wako ambao pia walithibitisha hata uraia wa babu zao baada ya kutakiwa kufanya hivyo , kwahiyo tuhuma za uraia wala si jambo geni , Nyalandu alidaiwa kuwa na uraia wa nchi mbili mbona hatukusikia akitetewa ?

Makamu wa Rais kama walivyo Watanzania wengine hana kinga dhidi ya shutuma zozote juu yake , anatakiwa ajitokeze hadharani kukanusha tuhuma hizo na kuthibitisha uraia wake , huo ndio Uzalendo , Kabudi na Mwandosya wamewahi kushutumiwa kuhusu vyeti feki lakini walijitokeza hadharani na kutoa ufafanuzi na wazushi wakashindwa , hiki ndicho anachopaswa kukifanya Dr Mpango ili kuweka mambo sawa kabla wadau hawajazusha mengine .

Hakuna haja ya wanasiasa kujivika utetezi wakati Mpango mwenyewe yupo , ajitokeze tu .
Wewe mwenyewe kwenu ni Malawi mbona hatuhoji uraia wako,hapa Tanzania ni Wagogo peke yao ndio wanweza kudai kwamba ni raia wa nchi hii,marehemu Mkapa wazazi wake wana asili ya Msumbiji, Karume wana asili ya Malawi na wengineo wengi,kule Marekani kwa mfano karibu wote ni wahamiaji kasoro tu wahindi wekundu ndio wenye nchi japo wengine wana asili za Amerika ya Kusini, na tukisema Wakishumundu ni asili ya Wakikuyu si mwenyekiti wako wa SACCOSS atafurumishwa,tuache hizo siasa uchwara zamani bara letu lilikuwa moja tu,ni mabeburu ndio wametutanganisha.Wazeni mambo yenye tija bana.
 
Huyu si Mwanasiasa wa kwanza kutuhumiwa kwamba si raia wa Tanzania , wako wengine kadhaa walishatuhumiwa akiwemo aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala Generali Ulimwengu , wamo akina Eyakuze wa Twaweza pamoja na Maaskofu kadhaa wa Makanisa .

Walichokifanya ni kutoa nyaraka zao kuthibitisha uraia wao , wako ambao pia walithibitisha hata uraia wa babu zao baada ya kutakiwa kufanya hivyo , kwahiyo tuhuma za uraia wala si jambo geni , Nyalandu alidaiwa kuwa na uraia wa nchi mbili mbona hatukusikia akitetewa ?

Makamu wa Rais kama walivyo Watanzania wengine hana kinga dhidi ya shutuma zozote juu yake , anatakiwa ajitokeze hadharani kukanusha tuhuma hizo na kuthibitisha uraia wake , huo ndio Uzalendo , Kabudi na Mwandosya wamewahi kushutumiwa kuhusu vyeti feki lakini walijitokeza hadharani na kutoa ufafanuzi na wazushi wakashindwa , hiki ndicho anachopaswa kukifanya Dr Mpango ili kuweka mambo sawa kabla wadau hawajazusha mengine .

Hakuna haja ya wanasiasa kujivika utetezi wakati Mpango mwenyewe yupo , ajitokeze tu .
Mbona mnakua hamna akil nyie mnataka Nini
Mpango Ana passport hawezi kua na passport bila chet cha kuzaliwa pia bila chet cha Elim ya msingi Sasa mnataka Nini Tena
 
Hiv kwa hali hii bado mnategemea siku moja Tz iendelee iwe japo kama South Africa? Yan watu wamekalia UNAFIKI na fitina tu badala ya kujenga hoja za maana wanakalia kuhoji vitu ambavyo ata mtoto mdogo awez hoji. Mlikuwa wapi kumhoji alipokuwa waziri ama pale hawakuwa wakimjua?
 
Uthibitisho wa wanaomtuhumu ni video clip moja yenye mashairi ya KIHA ambapo Dr. Mpango ameonekana akishiriki kucheza. Seems ilikuwa ni wakati wa campaign za Ubunge. Nothing more. Kama Waha ni Warundi basi Dr. Mpango ni Mrundi.

Hoja nyepesi...just!
Kwani kabila ndilo linaamua uraia wa mtu?
 
Kuna pande mbili za suala hili
1. Upande wa kwanza umeonyesha hata kwa jina la 'Dr..' ambalo linaonekana kuwa la Burundi
2. Upande wa Pili ni ule unaotumia Ukigoma kama kinga ya kutohojiwa

Ikumbukwe, Uraia una maeneo mawili, kwanza wa kuzaliwa na pili wa kufikia au kupewa

Dr Mpango ni Raia wa Tanzania iwe alizaliwa au alipewa, hilo halina mjadala

Pamoja na yote , Dr Mpango ana wajibu wa kueleza nature ya Uraia wake ili kuondoa mashaka kwamba hana uraia wa kuzaliwa au kupewa. Bila kufanya hivyo itakuwa ni halali kusema Dr Mpango si Raia

Hivyo basi Dr Mpango anapaswa ajitokeze kama kiongozi wa umma kuthibitisha aina ya Uraia wake.

Haitoshi kusema katoka Kigoma basi ni Raia, inatakiwa kwenda mbali zaidi ya hapo.

Abdul Nondo ambae sote tunajua ni kijana au mtoto alituhumiwa si Raia.

Tulijua ni uongo lakini Nondo alikwenda mbali na kuonyesha Babu yake alimpokea Nyerere, hilo tu lilimaliza ubishi kuwa kwavyovyote iwavyo wazazi wa Abdul wamezaliwa Tanzania na yeye pia na ni raia wa kuzaliwa na mjadala ulifungwa daima milele

Dr Mpango ajitokeze kama Askofu aliyetuhumiwa na ambaye alitoa uthibitisho wake.

Hii system iliundwa na akina Mpango wakiwa Baraza la Mawaziri la Magufuli kwa chuki, dhulma na ukatili

Wazungu wanasema '' Chicken are coming home to roost''

Dr Mpango anawajibika kuondoa shaka kwa vithibitisho vinginevyo hoja kwamba si Raia inamuondolewa nguvu ya kutumikia Taifa , inamuondolewa uadilifu na itia mashaka kama kweli ni Mtanzania anayepaswa kupewa dhamana na usalama wa Taifa letu.


JokaKuu Mag3 tindo The Boss Zitto
 
Zitto mla rushwa mkubwa ndio maana hafiki mbali kisiasa.Hapo keshohongwa pesa na lile kundi liloaka mtu wao awe makamu limempa Zitto awe loud speaker ya kuleta taharuki isiyokuwepo

Anajaribu kuita Mpango kuwa aende amhonge hela au ubunge anaotaka kugombea Muhambwe hapati.Intimidation tactics zake hazitalipa .Muhambwe hapati ubunge
 
Kuna pande mbili za suala hili
1. Upande wa kwanza umeonyesha hata kwa jina la 'Dr..' ambalo linaonekana kuwa la Burundi
2. Upande wa Pili ni ule unaotumia Ukigoma kama kinga ya kutohojiwa

Ikumbukwe, Uraia una maeneo mawili, kwanza wa kuzaliwa na pili wa kufikia au kupewa

Dr Mpango ni Raia wa Tanzania iwe alizaliwa au alipewa, hilo halina mjadala

Pamoja na yote , Dr Mpango ana wajibu wa kueleza nature ya Uraia wake ili kuondoa mashaka kwamba hana uraia wa kuzaliwa au kupewa. Bila kufanya hivyo itakuwa ni halali kusema Dr Mpango si Raia

Hivyo basi Dr Mpango anapaswa ajitokeze kama kiongozi wa umma kuthibitisha aina ya Uraia wake.

Haitoshi kusema katoka Kigoma basi ni Raia, inatakiwa kwenda mbali zaidi ya hapo.

Abdul Nondo ambae sote tunajua ni kijana au mtoto alituhumiwa si Raia.

Tulijua ni uongo lakini Nondo alikwenda mbali na kuonyesha Babu yake alimpokea Nyerere, hilo tu lilimaliza ubishi kuwa kwavyovyote iwavyo wazazi wa Abdul wamezaliwa Tanzania na yeye pia na ni raia wa kuzaliwa na mjadala ulifungwa daima milele

Dr Mpango ajitokeze kama Askofu aliyetuhumiwa na ambaye alitoa uthibitisho wake.

Hii system iliundwa na akina Mpango wakiwa Baraza la Mawaziri la Magufuli kwa chuki, dhulma na ukatili

Wazungu wanasema '' Chicken are coming home to roost''

Dr Mpango anawajibika kuondoa shaka kwa vithibitisho vinginevyo hoja kwamba si Raia inamuondolewa nguvu ya kutumikia Taifa , inamuondolewa uadilifu na itia mashaka kama kweli ni Mtanzania anayepaswa kupewa dhamana na usalama wa Taifa letu.


JokaKuu Mag3 tindo The Boss Zitto
Wewe una unauhakika gani na haya uliyosema?
 
Ila hizi propaganda kwamba Dr. Mpango ni Mrundi kwa kuwa tu ameonekana akicheza wimbo wa kiha ni utoto na kukosa hoja.

Kigogo sometimes anakuwa na mambo ya kipuuzi sana. These days yupo off target kwa kila jambo na frustrations zake zinamfunua na kuonyesha ni mtu wa aina gani
Sure,these few days amekuwa kama mtoto wa chekechea.
 
Sure,these few days amekuwa kama mtoto wa chekechea.
Nadhani akishajua kwamba na CS (Balozi Hussein A. Kattanga) naye ni wa kutoka Kigoma, ataanza propaganda za kudai na yeye ni Mhutu.

Huyu Mwamba anayumba sana na ramli zake tangu zianze kumissfire kaanza kushambulia watu tu bila hoja za msingi.
IMG_2762.jpg
 
Wewe una unauhakika gani na haya uliyosema?
Umesoma vizuri nilichoandika? Sijamtuhumu mtu au kumsafisha

Ninachosema ni kuwa Dr Mpango ana wajibu wa kueleza aina ya Uraia wake. Je , alizaliwa Tanzania?
Je, alipewa Uraia? Hayo ndiyo muhimu kwasasa .

Utetezi kuwa ni wa Kigoma hautamaliza mjadala na zaidi utatia shaka na kumfanya ajisikie mnyonge

Kuna tatizo gani akijitokeza na kueleza Uraia wake?

Nimekupa mfano wa Abdul Nondo ambaye ni kijana mdogo sana.
Baada ya kutuhumiwa kijinga na kwa chuki tu na ukatili, Abdul hakuishia kusema ni Mkigoma alithibitisha kutoka kwa Babu yake aliyempokea Nyerere. Mjadala ukaishia hapo!

Dr Mpango anapaswa kusema tu Uraia wake ni wa aina gani! Baasi

Kama hataeleza basi wale wanaosema si Raia watakuwa na uhalali wa kusema kwasababu nini anaficha?

Kama VP hawezi kuongoza akitazamwa kwa jicho la shaka hasa tukijua ana siri za nchi.

Dr Mpango ajitokeze aeleze au akae kimya awape neno wanaohoji tena litakuwa na nguvu. Ukimya si dawa wala ukigoma si kinga.
 
Kuna pande mbili za suala hili
1. Upande wa kwanza umeonyesha hata kwa jina la 'Dr..' ambalo linaonekana kuwa la Burundi
2. Upande wa Pili ni ule unaotumia Ukigoma kama kinga ya kutohojiwa

Ikumbukwe, Uraia una maeneo mawili, kwanza wa kuzaliwa na pili wa kufikia au kupewa

Dr Mpango ni Raia wa Tanzania iwe alizaliwa au alipewa, hilo halina mjadala

Pamoja na yote , Dr Mpango ana wajibu wa kueleza nature ya Uraia wake ili kuondoa mashaka kwamba hana uraia wa kuzaliwa au kupewa. Bila kufanya hivyo itakuwa ni halali kusema Dr Mpango si Raia

Hivyo basi Dr Mpango anapaswa ajitokeze kama kiongozi wa umma kuthibitisha aina ya Uraia wake.

Haitoshi kusema katoka Kigoma basi ni Raia, inatakiwa kwenda mbali zaidi ya hapo.

Abdul Nondo ambae sote tunajua ni kijana au mtoto alituhumiwa si Raia.

Tulijua ni uongo lakini Nondo alikwenda mbali na kuonyesha Babu yake alimpokea Nyerere, hilo tu lilimaliza ubishi kuwa kwavyovyote iwavyo wazazi wa Abdul wamezaliwa Tanzania na yeye pia na ni raia wa kuzaliwa na mjadala ulifungwa daima milele

Dr Mpango ajitokeze kama Askofu aliyetuhumiwa na ambaye alitoa uthibitisho wake.

Hii system iliundwa na akina Mpango wakiwa Baraza la Mawaziri la Magufuli kwa chuki, dhulma na ukatili

Wazungu wanasema '' Chicken are coming home to roost''

Dr Mpango anawajibika kuondoa shaka kwa vithibitisho vinginevyo hoja kwamba si Raia inamuondolewa nguvu ya kutumikia Taifa , inamuondolewa uadilifu na itia mashaka kama kweli ni Mtanzania anayepaswa kupewa dhamana na usalama wa Taifa letu.


JokaKuu Mag3 tindo The Boss Zitto
Unasema Dkt. Mpango ni raia. Halafu bado unamtaka athibitishe kuwa yeye ni raia?

Sijaelewa.

Ni raia au si raia?

Kama ni raia [kama ulivyosema wewe], athibitishe nini tena?
 
Kumbe homeboy ni homeboy tu. Kiongozi wa Act wazalendo amefura na amekuwa kama mbogo. Hii ni baada ya video iliyosambaa mitandoni ikimuonyesha Makamu wa Rais wa sasa akicheza ngoma inayofanana na ya kirundi.

View attachment 1742127

Kwa ile wilaya ya buhigwe nilivyoiona ilivyo.....majority are migrants from Burundi. Watu wa kg mjini wanakwambia hayo maeneo ya buhigwe na maeneo kati ya Kasulu na kibondo yalikuwa mapori tupu wakati tunapata uhuru up to early 70s, ndio watu wakaanza kuongezeka slowly, but mostly being wakimbizi wa kirundi.

Mpango anatakiwa ajisafishe tu mambo yaishe.
 
Hoja ya Uraia ni yakisheria siyo yakisiasa. Kwa mujibu wa sheria ya Uraia wa Tanzania Sura 258 kifungu Cha 4 raia wa Tanzania kwa kuzaliwa ni mtu aliyezaliwa ndani ya Jamuhuri ya Muungano ya Tanzania mmoja wa wazazi wake akiwa Raia wa Tanzania. Kwa kifungu hiki Dr. Mpango hana utata wa Uraia kwa sababu zifuatazo;
1 . Amezaliwa Tanzania
2. Wazazi wake wote wawili wakiwa Raia wa Tanzania
3. Hajawahi kuukana Utanzania nakujipatia uraia wa nchi nyingine.

Kujadili hoja hii kisiasa na kwa mihemko nikokosa ueledi nakurukia gari kwa mbele. Sheria hii sikuwahi kuisoma ila nimeikupa mtandaoni nakuisoma ipo straight forward tujikite kwenye maendeleo.

Tuache kutafuta popularity, Kama nikucheza ngoma ya warundi mbona wamasai wa Kenya na Tz wanacheza ngoma moja? Mbona wajaluo wa Tanzania na Kenya wanacheza ngoma moja? Mbona wamakonde wa Tz na Msumbiji wa tamaduni moja?

Tumwache mzee achape kazi.
Wanyakyusa,wanyasa wangoni tunacheza ngoma moja
 
Watu wa mikoa ya pembezoni huwa wananyanyapaliwa sana kwa kubambikiwa uraia wa nchi jirani.
Zitto yuko sahihi kukasirika
Na wahamiaji haramu wengi wao huwa wanajipenyeza hivyo kwa kujifanya wao ni wa makabila ya mikoa ya pembezoni. ZZK achunguzwe kwa jazba hizo huenda ni mhamiaji haramu naye, maana hatujawahi kumsikia baba yake mzazi nani hata kama alifariki ni mama tu daily
 
Kuna pande mbili za suala hili
1. Upande wa kwanza umeonyesha hata kwa jina la 'Dr..' ambalo linaonekana kuwa la Burundi
2. Upande wa Pili ni ule unaotumia Ukigoma kama kinga ya kutohojiwa

Ikumbukwe, Uraia una maeneo mawili, kwanza wa kuzaliwa na pili wa kufikia au kupewa

Dr Mpango ni Raia wa Tanzania iwe alizaliwa au alipewa, hilo halina mjadala

Pamoja na yote , Dr Mpango ana wajibu wa kueleza nature ya Uraia wake ili kuondoa mashaka kwamba hana uraia wa kuzaliwa au kupewa. Bila kufanya hivyo itakuwa ni halali kusema Dr Mpango si Raia

Hivyo basi Dr Mpango anapaswa ajitokeze kama kiongozi wa umma kuthibitisha aina ya Uraia wake.

Haitoshi kusema katoka Kigoma basi ni Raia, inatakiwa kwenda mbali zaidi ya hapo.

Abdul Nondo ambae sote tunajua ni kijana au mtoto alituhumiwa si Raia.

Tulijua ni uongo lakini Nondo alikwenda mbali na kuonyesha Babu yake alimpokea Nyerere, hilo tu lilimaliza ubishi kuwa kwavyovyote iwavyo wazazi wa Abdul wamezaliwa Tanzania na yeye pia na ni raia wa kuzaliwa na mjadala ulifungwa daima milele

Dr Mpango ajitokeze kama Askofu aliyetuhumiwa na ambaye alitoa uthibitisho wake.

Hii system iliundwa na akina Mpango wakiwa Baraza la Mawaziri la Magufuli kwa chuki, dhulma na ukatili

Wazungu wanasema '' Chicken are coming home to roost''

Dr Mpango anawajibika kuondoa shaka kwa vithibitisho vinginevyo hoja kwamba si Raia inamuondolewa nguvu ya kutumikia Taifa , inamuondolewa uadilifu na itia mashaka kama kweli ni Mtanzania anayepaswa kupewa dhamana na usalama wa Taifa letu.


JokaKuu Mag3 tindo The Boss Zitto


Mkuu Nguruvi3 ..
Shukran sana Kwa bandiko hili

Mimi nakubaliana kuwa ni Raia
Lakini naungana na wewe atuthibitishie uraia wake ukoje..
Hata kama ana asili ya Burundi aseme tujue

Obama alikuwa na asili ya Kenya
Hitler Austria
Kuna Yule Rais wa Ufaransa asili yake Hungary...

Nimeshangaa Sana wanaomtetea waegeuka mbogo....

Ziito yeye mwenyewe tuhuma za kuficha Hadi jina lake hajawahi kujibu

Anajiita Zitto Zuberi Kabwe..
Jina lake lingine anaficha na hasemi Kwa nini
 
Kwani mtu akicheza ngoma ya nchi nyingine ndo ishara kuwa ni raia wa nchi hiyo ?
Vipi kuhusu watu kuongea lugha za nchi nyingine,kula vyakula vya nchi nyingine,kuvaa mavazi ya nchi nyingine ?
Tuseme sasa hiyo ngoma ni ya warundi kweli, kwa hiyo kama ameicheza hiyo ngoma hawezi kuwa mtanzania, au leo mkenya akicheza ngoma ya mtanzania atakua mtanzani / ,, huu nao ni ushamba , kwanini madai yaje baada ya kuwa makamu wa raisi, kwani alipokuwa mbunge walikuwa wapi kusema hayo wanayozusha leo, tuacheni wivu.
 
zitto umetanguliza tumbo kufikiri, wewe kama kweli ni mpinzani ulitakiwa kuunga mkono hizi tuhuma ili kuishinikiza serikali iachane na mambo ya kuwabambikia watu wa kigoma wanaokwenda kinyume na matakwa ya watu fulani kuwa si watanzania, ungetumia falsafa ya "Mkuki kwa nguruwe". Umeshindwa kutafakari
Huu ni uzamani, lazima tufikie muda kitu chochote unachojua ni cha kweli hata kama kimeletwa na mtu mnaye tofautiana mitazamo ya kisiasa unakikubali. Nchi ya kwetu sote ukiwa upande wowote.
 
Back
Top Bottom