Zitto Kabwe: Bandari ya Bagamoyo itapokea mameli makubwa ambayo hamjawahi kuyaona, tusipoteze hii fursa jamani

Same to SGR mkataba aliyoacha JK kujega km moja ya SGR ilikuwa cheap kuliko huo wa kwake. Lakini hakuna hata anayehoji hilo toka team ya kupraise.
Mambo mengine ngoja tukae kimya Lusinde asije hamasisha
 
Kiukweli naomba kifo cha Rais wetu Magufuli..kichunguzwe...hapana kuna uwezekano mkubwa haikuwa natural death

Pacemaker zinakuwa controlled na ni kitu ambacho kinaangaliwa all times

Why did the pacemaker fail??

Mwenendo wa hawa mafisadi na miradi yao ya kifisadi wanayotaka inatia walakini.

Mama Samia please and please be careful..kuna kitu hakiko sawa
 
Nasema sitaruhusu huyo upuuzi ufanyike nchi,sipo tayari kuweka rehani nchi yangu kwa bepari jinping,srilanka wanalia,Zambia wanalia,Kenya wanalia lkn mimi sipo tayari kulia.
Ni muda gani China anakuwa rafiki na ni muda gani anakuwa bepari😅😅😅 kuna muda mara anasifiwa na kuna muda mara anapondwa.
 
Kwani ndugu zangu faida nyie mnahesabu bottom line ya income statement tu..??
 
Kisa kuona mameli makubwa ndio mkataba usainiwe? Zitto nani kakuambia watanzania wanataka kuona mameli makubwa?

Zitto aache ushamba,angeweka huo mkataba hapa tungechangia ila habari za kutumika na wanasiasa kwa interest zao ukome.
 
Umeona wee

Hii nchi wamezaliwa wajinga wengi sana! Sijui tatizo ni mfumo wetu wa elimu. Kuna tatizo mahali fulani!
 
[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Kwani China wakitungea kwa mkopo kisha tukacontrol sisi wao tukawanalipa mkopo waliotupa pamoja na riba kuna shida gani? Kwanini China wan'gang'ane kuicontrol?
Hapa ndipo Magufuli hakutaka, na wengi tunakubaliana naye.
Swala TICTS mpaka leo ni ukakasi, kabla ya Magufuli kuingia madarakani, hakuna kiongozi wa serikali wa kawaida alikuwa na access ya kuingia bandarini, utashangaa kusikia hata waziri ilikuwa ni ngoma.
Nikizungumza sana kuhusu TICTS ninaweza kuingia matatani kwa sababu swala hilo lina connection na tukio kubwa kabisa lilitokea kwenye taifa letu.
 
Kama kweli kuona MAMELI MAKUBWA BAGAMOYO ndio faida ya WATANZANIA ktk mradi kwa miaka 99 basi ZITTO ni kiongozi mbeba maono. Sijakosea kutoangalia hyo program ambayo pia amesikika akisema MH. SAMIA hakujiandaa kuwa RAIS wa JMT.

Kajamaa kamemtukana Rais kweupeee.....
 
Sijui kwa nini tu huyu jamaa huwa siamini ayasemayo....
Huyu jamaa is very opportunistic na ni mbinafsi sana ... Is very predictable in those premises... Yaani sasa hivi ndio kageuka vuvuzela kabisa ...
 
Kwanza watujengee barabara ya vikawe kibaha waweke rami.ni aibu barabara inayounganisha wilaya na wilaya HAINA RAMI MIAKA NENDA RUDI.
 
Ukubwa wa meli hauna faida kama vipengele vya mkataba vinatuumiza.
Kwa hiyo point ya ukubwa wa Meli hakuna haja ya kujenga bandari, nchi haifaidiki na ukubwa wa Meli.

Hakuna Ship Owner/ Ship Managing Company/ Ship Charters duniani atakubali meli yake kubwa ije kushusha mizigo ambayo inaweza kubebwa na meli ndogo.

Tungepambana kama nchi kuongeza export rate. Meli zote za General Cargoes Tanzania zikishusha mzigo zinarudi tupu labda msimu wa Korosho au Mbaazi ndio meli mbili tatu zinapakia bandari ya Dar na Mtwara.

Hata meli kubwa ambazo vyombo vya habari utangaza zimekuja Dar huwa ni za kontena na mzigo wa kushuka Dar hauzidi 5000 container na za kupakiliwa (export) huwa hazifiki 1000+ huwa tunacheza kwenye 200 mpaka 800. Maana hiyo sisi tuna import zaidi kuliko export hapo hatupati faida yoyote.
 
CCM kuwe macho na mbinu mikakati inayotumika na wapinzani sasa hivi ni kuzalisha migongano ndani ya chama. Wanajaribu kugonganisha/ chonganishi na upotoshaji kati ya awamu ya nne, awamu ya tano na serikali ya 6. Kauli za Zitto, Lissu, Mbowe very dangeous ingawa zinaonekana kuwa na afya kwa nje. Mzipuuze
 
Tatizo la Zitto ni moja tu. Zitto ni mdini sana huyu Mbwa. Sisemi kwamba Samia ni Mbaya la hasha, ila Zitto anampamba Samia kwa sababu za uislam wake na hana jipya. Watawala wema kwake yeye ni Kikwete na Samia na ni kwa sababu ni waislam. Zitto hiyo ni Tabia mbaya sana. Ndiyo maana umekakamaaa mpaka uso kama una ukoma. Fyuu.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Huyu zitto amechanganyikiwa kwa tamaa ya hela za madili. Tumeshaambiwa masharti ya ovyo ya mkataba yeye anajishauwa bila aibu. Kwani lengo la watanzania ni kuona mameli makubwa? Jinga sana. Wakishazoea kuhongwa akili zao zinahama.
 
Muota ndoto!
 
Kwa hili nitamkumbuka Hayati kwa kutuusia watanzania! Tukifanya ujinga tutauza Bandari yetu kwa hawa Wachina (Wakoloni Mamboleo) na itakuwa kilio kwa vizazi vyetu vijavyo.
 
Africa tunafanywa shamba la bibi kutokana na kukubali kubali kila kitu.

Kabla ya hao wachina, wa Oman kuleta mikataba yao ilibidi Tanzania tutumie wataalamu wa Port/Shipping/Project kufanya research namna gani Bandari ya Bagamoyo itafanya kazi na matokeo chanya kiuchumi. Bora tungewapa hata waholanzi wapo vizuri Sana kwenye Research na masuala ya Port Development watufanyie upembuzi wa kina (feasibility study) kabla mradi ujaanza.

Bandari ya Bagamoyo hata ikijengwa hizo nchi 8 unazotegemea nyingine zina tumia bandari mbadala kama Walvis Bay na Port Elizabeth/Durban. Tanzania hizo meli kubwa zikileta bidhaa zitaondoka tupu, wakati South Africa zikishusha mzigo zinapakia mzigo.

Sisi tungekuwa tunachimba chuma,nickel, manganese walau tungekuwa tunapakia(export) meli nyingi. Mazao ya kilimo mengi yanasafishwa kwenye kontena na hatuna rate kubwa ya export.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…