TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
CrapMkuu hebu weka hisia zako pembeni kaskilize nina hakika hujasikiliza alichosema ukimsikiliza utagundua ulikuwa umewaza tofauti. Hakuna sehemu aliposema bandari ijengwe kwa mkataba uliyopo maana hata yeye kasema hakuna aliyewahi kuona huo mkataba mbali na ikulu na angependa uwekwe wazi watu wajadili.
Hayo ya kusema meli kubwa ma bandari kuwa ya tatu kwa ukubwa duniani alionhelea presentation wao kama wabunge waliyooneshwa. Lakini mkataba serikali specifically ikulu mpaka leo haikuwahi kuuweka wazi.