Zitto Kabwe: Haikubaliki , Haivumiliki na Haitakubalika Watu kuendelea Kupotea/Kutekwa na Kuuawa!

Zitto Kabwe: Haikubaliki , Haivumiliki na Haitakubalika Watu kuendelea Kupotea/Kutekwa na Kuuawa!

Kipindi kile ilikuwa ni Agenda kabisa JPM achafuke ndo maana Dr Slaa alisema CHADEMA mpaka walikuwa wanajiteka nk!
Lililiwepp kundi ndani ya Upinzani na CCM halikumpenda JPM likishinikizwa na wanaharakati wa wa haki za biinadamu wakiongozwa na Bi Kijobi Simba na Olengurumwa!
Jiulize Wamasai wanavyoteseka saizi na issue ya Ngorongoro ingekuwa wakati wa JPM kilio kisingekuwa cha kawaida!
Sasa hawa hawa walishirikiana na MaCCM kumchafua JPM kwa kila tukio kuwa yeye na watu wake wanapanga mauaji leo baada ya JPM kutoka wamesalitiana!
Hata saizi huwezi kumsikia Mbowe au Lema au Mwanaharakati yeyote akimtaja Samia kama muhusika ila wanataja vyombo wa ulinzi na usalama ila kipindi cha JPM wimbo ulikuwa JPM dicteta Uchwara!
Huyu Zitto ndo alikuwa anamchukia JPM kila leo kutoa ukosoaji ila saizi huwezi kumsikia maana kuna kiongozi wa dini yake!
Tatizo la nchi hii ni Udini,Ukabila na ujinga na akitokea kiongozi mzuri kama sio dini au Kabila lako basi hafai!
Upo sahihi, ukosoaji ulikuwa personal, matusi mengi yalielekezwa kwa wasukuma, sukuma gang. Ilikuwa fashion hapa JF kutukana.

Rais Samia hakuwahi kukemea huu ubaguzi,. JPM alikuwa mtemi ila alikuwa mzalendo. Huwezi kuwa na serikali kila mtu awe na umeme, maji, barabara, usalama, kupinga rushwa usipokuwa na uzalendo ndani yako.
 
Hapa nakubaliana na wewe
Si uliona CHADEMA na ukanda ule wote walikuwa hawampendi jamaa hata ikitokea diwani kauawa kwa ugoni utasikia JPM katili sana!
Agenda ilikuwa kubwa sana juu ya yule bwana asifanikiwe ila Mungu fundi kajifia zake na anadecay zake Chato huko!
Ni sawa na wewe kumuona Baba yako hana maana akajua akishakufa mi nitaendesha familia vizuri ila wengi huangukia pua!
 
Si uliona CHADEMA na ukanda ule wote walikuwa hawampendi jamaa hata ikitokea diwani kauawa kwa ugoni utasikia JPM katili sana!
Agenda ilikuwa kubwa sana juu ya yule bwana asifanikiwe ila Mungu fundi kajifia zake na anadecay zake Chato huko!
Ni sawa na wewe kumuona Baba yako hana maana akajua akishakufa mi nitaendesha familia vizuri ila wengi huangukia pua!
Kinachifanya atuhumiwe ni yeye kutojihusisha na udhubiti wa matukio hayo ikiwa ana nyenzo zote na instruments za kufanya hivyo

Yaani hakuna namna angeweza kujitenga na tuhuma zile. Hukuakionesha chuki za wazi wazi dhidi ya wapinzani.
 
Shetani hawezi kuacha uovu. Kwake uovu ndiyo imani yake. Utekaji na uuaji ni uovu. CCM ni shetani. Huu uovu hautaisha mpaka siku CCM itakapoondolewa na kufutika kabisa, na wana wa nchi kuamua kuotengeneza nchi upya kwa namna itakayoupa utu thamani.
CCM ni hatari shetani akasome
 
Kinachifanya atuhumiwe ni yeye kutojihusisha na udhubiti wa matukio hayo ikiwa ana nyenzo zote na instruments za kufanya hivyo

Yaani hakuna namna angeweza kujitenga na tuhuma zile. Hukuakionesha chuki za wazi wazi dhidi ya wapinzani.
Magufuli hakuwahi kuchukia upinzani ila si mlitaka siasa zifanyike kwa utaratibu hata USA saizi ni muda wa Kampeni uchaguzi ukiisha huwezi kusikia saisa za majukwaani!
Hayo mambo yalikuzwa sana maana yeye alisema Mbunge afanhe siasa jimboni kwake!
Haya sasa saizi mnafanya siasa kipi kimenadilika?
Nchi zetu maskini hizi zilizojaa wanasiasa wanafiki wasiotaka kuwajibika mwisho wa siku ni kutopeza muda tu!
Saisa kuachiwa imeongeza Dawa au kmeboresha vifurushi kwenye Bima ya NHIF?
Nchi hii haihitaji wanasiasa uchwara inatakiwa kuwa na viongozi wanaowaza mbele sio kulamba makalio ili kujipatia ulaji!
 
Magufuli hakuwahi kuchukia upinzani ila si mlitaka siasa zifanyike kwa utaratibu hata USA saizi ni muda wa Kampeni uchaguzi ukiisha huwezi kusikia saisa za majukwaani!
Hayo mambo yalikuzwa sana maana yeye alisema Mbunge afanhe siasa jimboni kwake!
Haya sasa saizi mnafanya siasa kipi kimenadilika?
Nchi zetu maskini hizi zilizojaa wanasiasa wanafiki wasiotaka kuwajibika mwisho wa siku ni kutopeza muda tu!
Saisa kuachiwa imeongeza Dawa au kmeboresha vifurushi kwenye Bima ya NHIF?
Nchi hii haihitaji wanasiasa uchwara inatakiwa kuwa na viongozi wanaowaza mbele sio kulamba makalio ili kujipatia ulaji!
Bado hujajibu hoja ya mauaji na utekaji.
 
Bado hujajibu hoja ya mauaji na utekaji.
Muulize Dr Slaa! Utekaji ni agenda ya kuzima watu mfumo usio wahitaji ila pia hutumiwa na watu kwenye system au kushirikiana na system kwa malengo wanayojua wao!
Dr Slaa alisema alishawahi kuwakuta vijana wa CHADEMA wamemteka mwenzao hapo uansemaje?
Pia Said Kubenea alisema ukitaka kujua alipo Ben Sanane muulize Mbowe!
Huoni kuwa licha ya uongozi wake kuwa na mapungufu lakini kuna watu walipigana sana kumchafua JPM!
Hapana nazungumzia WanaCCM na Wapinzani hasa CHADEMA na ACT Wazalendo na ajenda hii ilikuwa ni kumuonesha JPM kuwa ni mtawala mbaya asiye na utu!
Kwa mfano Wamasai na Watu wa Mbalali kule Mbeya wamefukuzaa maeneo yao kupisha wawekezaji lakini huwezi kuona kelele kama za kipindi cha JPM!
Utekaji na gharama za maisha kupanda huwezi kuona wakimukosoa direct Samia kama JPM walivyofanya!
Kwa maana hiyo kulikuwa na ajenda ndani ya chama na vyama vyote vya upinzani kuhakikisha jamaa hafiki mbali!
JPM hakuwahi kuwa muuaji wala mtesaji na hakuna raia wa kawaida asiye muharifu alikaa kwa mashaka wakati wa utawala wake!
Kwa sababu vijana na watu wengi wanapenda mikumbo wao wanamuona JPM alikuwa shetani ila nakuhakikishai yule Bwana alikuwa na mawazo mazuri sana juu ga nchi hii!
 
Kipindi kile ilikuwa ni Agenda kabisa JPM achafuke ndo maana Dr Slaa alisema CHADEMA mpaka walikuwa wanajiteka nk!
Lililiwepp kundi ndani ya Upinzani na CCM halikumpenda JPM likishinikizwa na wanaharakati wa wa haki za biinadamu wakiongozwa na Bi Kijobi Simba na Olengurumwa!
Jiulize Wamasai wanavyoteseka saizi na issue ya Ngorongoro ingekuwa wakati wa JPM kilio kisingekuwa cha kawaida!
Sasa hawa hawa walishirikiana na MaCCM kumchafua JPM kwa kila tukio kuwa yeye na watu wake wanapanga mauaji leo baada ya JPM kutoka wamesalitiana!
Hata saizi huwezi kumsikia Mbowe au Lema au Mwanaharakati yeyote akimtaja Samia kama muhusika ila wanataja vyombo wa ulinzi na usalama ila kipindi cha JPM wimbo ulikuwa JPM dicteta Uchwara!
Huyu Zitto ndo alikuwa anamchukia JPM kila leo kutoa ukosoaji ila saizi huwezi kumsikia maana kuna kiongozi wa dini yake!
Tatizo la nchi hii ni Udini,Ukabila na ujinga na akitokea kiongozi mzuri kama sio dini au Kabila lako basi hafai!

Pia Lissu alikuwa akimkebehi sana, kwamba ni dikteka uchwara, hajui kiiengereza, ni mshamba sana kutoka kijijini kwahiyo asisikilizwe. Alikuwa hapingi sera alikuwa very personal. Unafanyaje ukiwa JPM position?

Lissu is intelligent person lakini alitekwa na watoto wa mjini na akili zao badala ya kuangalia big picture.

Mikataba aliyoisani JPM imeisaidia sana hii nchi kama na Barrick Gold. Ilibidi Mwanaume asimame na kusimamia maslahi ya Taifa.
 
Pia Lissu alikuwa akimkebehi sana, kwamba ni dikteka uchwara, hajui kiiengereza, ni mshamba sana kutoka kijijini kwahiyo asisikilizwe. Alikuwa hapingi sera alikuwa very personal. Unafanyaje ukiwa JPM position?

Lissu is intelligent person lakini alitekwa na watoto wa mjini na akili zao badala ya kuangalia big picture.

Mikataba aliyoisani JPM imeisaidia sana hii nchi kama na Barrick Gold. Ilibidi Mwanaume asimame na kusimamia maslahi ya Taifa.
Ndo maana nakwambia hata hao wanaomchukia JPM wengi ni stori za kuambiwa!
Wanaosema alikuwa muuaji ukiwauliza kwenye ukoo wenu nani aliuliwa ataanza kukutajia Alphonce Mawazo au Ben Saanane!
Alipora watu hela zao,waulize nani alipora hela aliyefanya biashara halali kwa maana Money Laundary ni sheria za kimataifa na hakuna nchi isiyofatilia vyanzo vya mapato vya wananchi wake!
Kwa ujumla njama ilikuwa kubwa sana juu ya huyo Bwana na Mungu anatufundisha juu ya Ujinga na Unafiki wetu!
 
Ndo maana nakwambia hata hao wanaomchukia JPM wengi ni stori za kuambiwa!
Wanaosema alikuwa muuaji ukiwauliza kwenye ukoo wenu nani aliuliwa ataanza kukutajia Alphonce Mawazo au Ben Saanane!
Alipora watu hela zao,waulize nani alipora hela aliyefanya biashara halali kwa maana Money Laundary ni sheria za kimataifa na hakuna nchi isiyofatilia vyanzo vya mapato vya wananchi wake!
Kwa ujumla njama ilikuwa kubwa sana juu ya huyo Bwana na Mungu anatufundisha juu ya Ujinga na Unafiki wetu!
Ni hivi ukiangalia sera zake, maono yake, mipango yake alitaka kulikomboa na kulivusha hili taifa kutoka umaskini. Alikuwa na nia ya dhati. Hakuwa sophisticated kwenye media, alikuwa very direct. Ila nia yake ilikuwa sio kujilimbikizia mali, watu wale kwa urefu wa kamba zao, ilikuwa kuhakikisha huduma zote za msingi zinawafikia wananchi wote Tanzania na maslahi yao yanazingatiwa hadi machinga, mama ntilie.
 
Ni hivi ukiangalia sera zake, maono yake, mipango yake alitaka kulikomboa na kulivusha hili taifa kutoka umaskini. Alikuwa na nia ya dhati.
Hakika ndo maana juzi umeona viongozi wa Africa wako China huko wanalialia kupenda Dolla bilion 50 kwenye bara lenye watu milion 800!
Wako China kutafuta misaada huku wanajidai ni wazalendo!
Demkkrasia katika nchi hizi masikini is just a deceit kwa wanachi kwa maana ya wanasiasa wengi si wazalendo na si viongozi wakweli I mean Real Leader!
Wachina na mataifa mengine wanapenda viongozi Real akismea twende kushoto mnaenda kushoto kama kulia ni kulia!
Ila hawa viongozi wetu wengi ni wanafiki wasiona mawazo ya kupeleka taifa mbele!
Hata vitu wanavowaza is just for today sake nothing more!
JPM was a dreamer aliyefanya mawazo yake kuwa halisi!
Hakika tulipoteza mwana mapinduzi na Mtoto wa Afrika!
 
Hakika ndo maana juzi umeona viongozi wa Africa wako China huko wanalialia kupenda Dolla bilion 50 kwenye bara lenye watu milion 800!
Wako China kutafuta misaada huku wanajidai ni wazalendo!
Demkkrasia katika nchi hizi masikini is just a deceit kwa wanachi kwa maana ya wanasiasa wengi si wazalendo na si viongozi wakweli I mean Real Leader!
Wachina na mataifa mengine wanapenda viongozi Real akismea twende kushoto mnaenda kushoto kama kulia ni kulia!
Ila hawa viongozi wetu wengi ni wanafiki wasiona mawazo ya kupeleka taifa mbele!
Hata vitu wanavowaza is just for today sake nothing more!
JPM was a dreamer aliyefanya mawazo yake kuwa halisi!
Hakika tulipoteza mwana mapinduzi na Mtoto wa Afrika!
Tatizo kubwano kupata viongozi wazalendo. Of course watapigwa vita sana na Wapinzani wanaopaata support ya mashirika yenye interest kama kwenye madini, utalii, usafiri.
 
Back
Top Bottom