Zitto Kabwe, haya yote wewe hayakuhusu? Naona umeamua kunyamaza; hutaki kumshika mkono kipofu?

Zitto Kabwe, haya yote wewe hayakuhusu? Naona umeamua kunyamaza; hutaki kumshika mkono kipofu?

Ninachokumbuka tu ni pale mlipotangaza kuwa ni zamu ya WALUTHERAN kuongoza nchi.


Ndipo nilipotambua aliyepata na anaye hitaji hawana utofauti.

Ni vile tu Mungu yu pamoja nasi walau.
 
Kweli zitto yupo kimya sana jamaa udini unamtesa sana Rais muislam na Makam wa Rais anatoka kwao kigoma hapo hawezi kusema.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Ninachokumbuka tu ni pale mlipotangaza kuwa ni zamu ya WALUTHERAN kuongoza nchi.


Ndipo nilipotambua aliyepata na anaye hitaji hawana utofauti.

Ni vile tu Mungu yu pamoja nasi walau.
 
Kweli zitto yupo kimya sana jamaa udini unamtesa sana Rais muislam na Makam wa Rais anatoka kwao kigoma hapo hawezi kusema.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Ninyi CHADEMA hamwezi kupambana na huyo mwenzenu kwa hoja za kisiasa zaidi ya kutumia udini....dini hizi za kuletwa na weupe?!!😲
 
Zitto ni muigizaji.... wapinzani wa kweli tuliwajua miaka ya Jiwe. Katika kumbukumbu zako, lini umeona Zitto akipata tabu katika siasa zake kama wenzake walivyopata. Just think about it.
Kigezo cha upinzani wa kweli ni kupata tabu?
 
Kwenye siasa Zitto anaendeshwa na mambo makuu mawili.
1. Pesa ( Je atafaidikaje kwa jambo flani)

2. Position (je anaweza pata nafasi gani ya kumpatia kipato au deals )

3. Imani ( aliyeko madarakani ni Dini gani?)

Hayo ndiyo humwendesha Zitto Kabwe. Kama Dini yako ni tofauti na yake lakini unampatia pesa hana shida. Atakuwa anakushtua shtua kidogo ili uone umuhimu wa kuendelea kumpa pesa.

Kama ni Dini moja na hujambana kwenye issues zake basi hawezi kukukosoa sababu wote mna imani moja. We ni wa kwetu. Si vizuri kukukosoa.

Kama anajua kuna nafasi unaweza mteua anakuwa makini asikukwaze..mpaka apate uhakika kabisa kuwa hatopata kitu hapo ndo anakuwa na uchungu sana.

1. Kuna suala la Mafuta kuongezwa kodi. Zitto amenyamaza. Anaona ni sawa tu yeye hajaguswa, yeye hajajua hatma yake.

2. Katiba mpya takwa la Watanzania kupitia tume ya Warioba. Zitto kimya. Halimhusu.

3. Kodi ya tozo ya miamala na kulipia line za simu. Zitto kimya sababu yeye alishatulizwa asionekane anamchafua Rais wa kwetu.

Tunamfahamu zitto ni mnafiki ,mjanja mjanja kisiasa kujipatika kipato. Hana mapenzi na Watanzania.
Una kipaji kizuri sana cha kusoma watu. Kwa kiasi kikubwa nakubaliana na analysis yako
 
🤣We jamaa unapenda sana mambo ya udini....mada zako za kidinidini tu....kukosoa dini za wenzako tu....we jamaa utakuwa na shida kimalezi na kiutambuzi.....


Uongo wa kitoto kabisa kusema kuwa MUME WA RAS ama DAS naye ni RAS ama DAS.....
Hivi wewe huamini kuwa huyo zitto kabwe ni mdini? Amejaa unafiki tu kila alilofanya Magu lilikuwa baya kwake ila kaingia mvaa madera kimya.
 
Hili suala la katiba mpya mnapisema ni la watanzania mnakosea, wanaoteseka sana ni wanasiasa wa upinzani maana inawabana kwenye mambo fulani fulani

Na Bunge linapokuwa muhuri tu kiasi cha kupitisha mambo ya ovyo ovyo yanayoumiza wananchi unafikiri tatizo kubwa ni nini?
 
Misemo ambao haijawahi nitokea.

Pamoja na kuwa na marafiki wenye tabia ngumu.
Kama uko na marafiki majambazi na wauza madawa na unajua, kuna mawili; na wewe ni mmoja wao au unakubaliana na hizo biashara.
 
Akikaa kimya mnainua midomo kiabaraka, akisema mnainua midomo kibaraka.

Mleta mada wivu unakusumbua
 
Back
Top Bottom