Hii mbona Tundu Lissu ameshaisemea sana.
Kwa kuwa Zitto yuko na Mama. Naweza kusema hii kauli kautumwa??
Something is coming.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii mbona Tundu Lissu ameshaisemea sana.
Wacha Tume ya majaji wastafu iundwe ili ukweli ujulikane sio kila kitu wamsingizie Hayati au unasemaje?Zito kabwe anateswa sana na mimba ya Magufuli, ale ndimu zitamsaidia
Wacha tume ya majaji wastaafu iundwe ili ukweli ujulikane na Kusiwe na kumsingizia Hayati mambo ambaya hayamhusu au unasemaje?Halafu utadhani maisha yalianza 2015 wakati wakina Dr Ulimboka walitekwa na kung'olewa kucha awamu ya nne.Kuna watu walimwagiwa tindikali,kulishawahi kuwa tuhuma za wanasiasa kulawitiwa katika kampeni za chaguzi ndogo.Kuna watanzania waliofukiwa katika machimbo ya madini.
Hiyo tume ianze kufanya kazi kuanzia mwaka 1985.Wakina Pinocchet walitenda makosa miaka mingi sana iliyopita wakala mshahara wao.
Huyu Zitto Kabwe anatumika na baadhi ya watu ndani ya CCM.Hatutokubali pesa za walipa kodi zitumike kwa mizaa na malengo ya wapumbavu wachache wa nchi hii.
Mama hayumo.Kwahiyo unataka na Mama yetu mpendwa naye aingiye kwenye hiyo hatia?Mh.Zitto nakushauri tu uendelee na mambo mengine ya kujenga nchi...
We umeona maovu gani awamu hii!! Sema ukweli. Kuna mtu kauawa, Kuna mtu katekwa, Kuna mtu kafingwa kwenye kiroba?Huyu naye ni mdini sn, haoni maovu ya awamu ya 6 sahivi
Pumbafu kabisa. Mlisoma shule gani nyie wajinga. Unajua tofauti kati ya ''Hayashauri'' na ''Ashauri''? Hujui heading yako inamaanisha kitu kingine kabisa tofauti na Zitto alivyosema!
Anateseka au ameamua kujitenga na uovu uliooanza kumteka🤸Zitto Kabwe anateseka sana!
Mkuu, Hiyo “Hayashauri” umeitoa wapi au ndio muda wa kubadilisha miwani yako?!Pumbafu kabisa. Mlisoma shule gani nyie wajinga. Unajua tofauti kati ya ''Hayashauri'' na ''Ashauri''? Hujui heading yako inamaanisha kitu kingine kabisa tofauti na Zitto alivyosema!
Hiyo tume ya kijaji ianze kwanza kuchunguza chanzo cha kifo cha mpendwa wetu JPM. Kwa yanayoendelea sasa na kauli hizi za ZZK, kuna namna anahusika au anawafahamu wahusika wakuuKuna haja kubwa ya kuundwa kwa Tume ya Majaji kwa ajili ya kuwapa nafasi waathirika wa vitendo vya ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binaadam vilivyofanyila wakati wa utawala wa Rais Magufuli kupata Haki zao. Watu ambao wamepoteza ndugu zao, waliotekwa, waliobambikiwa Kesi nk. MUHIMU
I repeat a call for a commission of inquiry, to headed by a retired Judge of Court of Appeal, on atrocities committed during the tenure of J P Magufuli administration. All Killings, abductions, disappearance of people, trumped up charges of money laundering MUST be investigated
Pia mazoezi ya kutembea ni muhimu na yatamsaidia angalau asubuhi na jioni.Zito kabwe anateswa sana na mimba ya Magufuli, ale ndimu zitamsaidia