Zitto Kabwe: Iundwe Tume kwa ajili ya ukiukwaji mkubwa wa Haki za Kibinadamu awamu ya 5

Zitto Kabwe: Iundwe Tume kwa ajili ya ukiukwaji mkubwa wa Haki za Kibinadamu awamu ya 5

Zzk ni mnafki mbona hakusema chochote wkt wa Jk walivyoumizwa akina Absalom Kibanda, Dr Ulimboka, mauaji ya Mtwara wkt wakipinga uvunaji wa gesi?
Mabomu ya kivita kwenye mkutano wa Chadema? Au wale hawana haki? Dr Mvungi? Alphonce Mawazo? Unajua sometimes hawa wanasiasa wanatuona punguani sana.
 
Zitto mjinga mjinga kweli ,wewe unasikia mtwara huko sijui polisi kauwa raia na kuchuwa pesa yeye anahaika na kiumbe kimeshajifia huko na kujipumzikia,hapa tunataka upinzani wa kweli na siyo huu uchwara nyambafu....!uje hapa utumbie madudu kwenye ripoti ya CAG Nini tukifanye kama wananchi unatuletea ujingaa hapa.
 
Hiyo tume ya kijaji ianze kwanza kuchunguza chanzo cha kifo cha mpendwa wetu JPM. Kwa yanayoendelea sasa na kauli hizi za ZZK, kuna namna anahusika au anawafahamu wahusika wakuu
Unashindana na Mungu wewe chawa wa jiwe?
 
Uanzishwe uzi wa matukio awamu ya 4 vs 5 tuone hiyo tume ilipaswa kuliliwa toka lini! Wanasiasa ni wanafiki sana, hawa hawa ndio walitufanya wengine tutende dhambi ya kumchukia EL kuwa hafai kwa ufisadi wa kutisha na chanzo cha chain za ufisadi nchi hii alafu wakaja kumsafisha!

Naunga mkono tume ya kuchunguza uhalifu toka awamu ya 4 tusigeuzane watoto wadogo hapa.
Awamu ya 5 inaongoza kwa mabaya
 
Ametumwa na timu agosm...ili kuchafua legacy.

#MaendeleoHayanaChama
 
Zito kabwe anateswa sana na mimba ya Magufuli, ale ndimu zitamsaidia
Ok! Tumekuelewa. Lakini pia tusaidie pia kujua kwa nini mke mwenzio mama Janet(mjane wa Magufuli) amenawili(kanenepa) baada ya kufiwa na jiwe. MSAADA PLZ
 
Kuna haja kubwa ya kuundwa kwa Tume ya Majaji kwa ajili ya kuwapa nafasi waathirika wa vitendo vya ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binaadam vilivyofanyila wakati wa utawala wa Rais Magufuli kupata Haki zao. Watu ambao wamepoteza ndugu zao, waliotekwa, waliobambikiwa Kesi nk. MUHIMU

I repeat a call for a commission of inquiry, to headed by a retired Judge of Court of Appeal, on atrocities committed during the tenure of J P Magufuli administration. All Killings, abductions, disappearance of people, trumped up charges of money laundering MUST be investigated


Hii ya kukaa wiki USA huioni mkuu.Ya Magufuli yalishapita hayo.sema upo vizuri kuji position na kusoma upepo.
 
Mimi nilivunjiwa nyumba mbili na Utawala wa Magu, pale kibamba.
Hatukupewa hata kiwanja , bali vitu vuetu vilisagwa na kalandinga .
Lilingilia mlango wa mbele na kutokea mlango wa nyuma.
Mpaka mita ya umeme ilisagwa sagwa,,hatukuweza kutowa chochote ila ilikuwa taka taka tuu.
Mungu amlipe Jahanamu ya chini kabisa huko aliko, alijiona mwamba asiyeshindwa.
Nimeshuhudia kumuona Mamayangu Mzazi akilia kama mtoto mdogo,
Dada yangu mkubw alipigwa na stroke ,
na hivi sasa tunatanga tanga kwenye majumba ya jamaa wa karibu.
MUNGU HAKIMU
Poleni sana...
 
Si tulishafanya Maridhiano, yaliyopita si ndwele tugange yajayo🐒
 
Na iundwe tume huru ya kuchunguza mazingira ya kifo cha hayati John Pombe Magufuli.binafsi sijaridhishwa na maelezo juu ya kifo chake.
 
Tatizo nini? Mulishasema mbovu yake acheni wananchi waamue, wewe elezea mazuri yako tulinganishe
 
Back
Top Bottom