Iundwe.Kuna haja kubwa ya kuundwa kwa Tume ya Majaji kwa ajili ya kuwapa nafasi waathirika wa vitendo vya ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binaadam vilivyofanyila wakati wa utawala...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iundwe.Kuna haja kubwa ya kuundwa kwa Tume ya Majaji kwa ajili ya kuwapa nafasi waathirika wa vitendo vya ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binaadam vilivyofanyila wakati wa utawala...
Wewe ndie mdiniHuyu naye ni mdini sn, haoni maovu ya awamu ya 6 sahivi
Huyu jamaaaa baaana alafu nashotakuwa nan sasaaaaa maaana anae mwandama ameshakufaKuna haja kubwa ya kuundwa kwa Tume ya Majaji kwa ajili ya kuwapa nafasi waathirika wa vitendo vya ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binaadam vilivyofanyila wakati wa utawala wa Rais Magufuli kupata Haki zao. Watu ambao wamepoteza ndugu zao, waliotekwa, waliobambikiwa Kesi nk. MUHIMU
I repeat a call for a commission of inquiry, to headed by a retired Judge of Court of Appeal, on atrocities committed during the tenure of J P Magufuli administration. All Killings, abductions, disappearance of people, trumped up charges of money laundering MUST be investigated
Wewe ndio mdini, huyo msukuma mwezako anasemwa na wangapi? Watu wa dini zote wanamsema kwa aliyoyafanya boya wewe.Huyu naye ni mdini sn, haoni maovu ya awamu ya 6 sahivi
Boya sana weweHuyu naye ni mdini sn, haoni maovu ya awamu ya 6 sahivi
Nikweli Mkuu, ila hivi vitu huwezi jua machungu yake mpaka vikupate kwa namna moja au nyingine.Mtu wa chini ni ngumu kuelewa, ila hakuna Rais yoyote yule atakaeachia kiti chake bila kuwa na damu za watu kwenye mikono yake.
Wakati wewe unaufurahia huu utawala, kuna wanaolia kila siku. Kwahiyo ni swala la kufikiwa zamu tu.
Awamu ya Kikwete alikuwa kimya amekuja Mkristo akaanza mapichapicha, sahivi ametulia sababu muislamu mwenzenu yupo madarakaniWewe ndio mdini, huyo msukuma mwezako anasemwa na wangapi? Watu wa dini zote wanamsema kwa aliyoyafanya boya wewe.
Pamoja na weweWewe ndie mdini
Mama hajawahi kuteka mtu, wauwaji wanajurikana hata ukiwatazama kwa macho tu.Kwahiyo unataka na Mama yetu mpendwa naye aingiye kwenye hiyo hatia?Mh.Zitto nakushauri tu uendelee na mambo mengine ya kujenga nchi...
Nimependa hapo alivyongezea n.kKuna haja kubwa ya kuundwa kwa Tume ya Majaji kwa ajili ya kuwapa nafasi waathirika wa vitendo vya ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binaadam vilivyofanyila wakati wa utawala wa Rais Magufuli kupata Haki zao. Watu ambao wamepoteza ndugu zao, waliotekwa, waliobambikiwa Kesi nk. MUHIMU
I repeat a call for a commission of inquiry, to headed by a retired Judge of Court of Appeal, on atrocities committed during the tenure of J P Magufuli administration. All Killings, abductions, disappearance of people, trumped up charges of money laundering MUST be investigated
Uchaguzi wa 2015 ilikuwa ni uchaguzi wenye ushindani kuliko zote Tanzania, Ila hatukusikia watu wameuawa Kama huu wa 2020Mtu wa chini ni ngumu kuelewa, ila hakuna Rais yoyote yule atakaeachia kiti chake bila kuwa na damu za watu kwenye mikono yake.
Wakati wewe unaufurahia huu utawala, kuna wanaolia kila siku. Kwahiyo ni swala la kufikiwa zamu tu.
Uko sawa, maumivu ni makubwa lakini ikitumika ile hoja ya kuibuka kwa kikundi fulani huko KIBITI tunashindwa kujua nini ni nini na kwanini ilikuwa vile.Nikweli Mkuu, ila hivi vitu huwezi jua machungu yake mpaka vikupate kwa namna moja au nyingine.
Hoja ya Zitto kabwe kama akienda kuiongelea kule maeneo ya kwetu KIBITI NA RUFIJI atapata uungwaji mkono mkubwa.
KabisaNi tapeli la kisiasa
Hatari snKabisa
Jibu hoja zake, then anzisha uzi wako juu ya udini wa zito!!Huyu naye ni mdini sn, haoni maovu ya awamu ya 6 sahivi