Zitto Kabwe: Iundwe Tume kwa ajili ya ukiukwaji mkubwa wa Haki za Kibinadamu awamu ya 5

Zitto Kabwe: Iundwe Tume kwa ajili ya ukiukwaji mkubwa wa Haki za Kibinadamu awamu ya 5

Kuna haja kubwa ya kuundwa kwa Tume ya Majaji kwa ajili ya kuwapa nafasi waathirika wa vitendo vya ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binaadam vilivyofanyila wakati wa utawala...
Iundwe.
 
Kuna haja kubwa ya kuundwa kwa Tume ya Majaji kwa ajili ya kuwapa nafasi waathirika wa vitendo vya ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binaadam vilivyofanyila wakati wa utawala wa Rais Magufuli kupata Haki zao. Watu ambao wamepoteza ndugu zao, waliotekwa, waliobambikiwa Kesi nk. MUHIMU

I repeat a call for a commission of inquiry, to headed by a retired Judge of Court of Appeal, on atrocities committed during the tenure of J P Magufuli administration. All Killings, abductions, disappearance of people, trumped up charges of money laundering MUST be investigated


Huyu jamaaaa baaana alafu nashotakuwa nan sasaaaaa maaana anae mwandama ameshakufa
 
Mtu wa chini ni ngumu kuelewa, ila hakuna Rais yoyote yule atakaeachia kiti chake bila kuwa na damu za watu kwenye mikono yake.

Wakati wewe unaufurahia huu utawala, kuna wanaolia kila siku. Kwahiyo ni swala la kufikiwa zamu tu.
Nikweli Mkuu, ila hivi vitu huwezi jua machungu yake mpaka vikupate kwa namna moja au nyingine.
Hoja ya Zitto kabwe kama akienda kuiongelea kule maeneo ya kwetu KIBITI NA RUFIJI atapata uungwaji mkono mkubwa.
 
Kwahiyo unataka na Mama yetu mpendwa naye aingiye kwenye hiyo hatia?Mh.Zitto nakushauri tu uendelee na mambo mengine ya kujenga nchi...
Mama hajawahi kuteka mtu, wauwaji wanajurikana hata ukiwatazama kwa macho tu.

IMG_20211028_135238_003.jpg
 
Hajielewi

Jina lake lime evolve tena, kaondoa Zuberi, kaunganisha Mwami na Ruyagwa
 
Kuna haja kubwa ya kuundwa kwa Tume ya Majaji kwa ajili ya kuwapa nafasi waathirika wa vitendo vya ukiukwaji mkubwa wa Haki za Binaadam vilivyofanyila wakati wa utawala wa Rais Magufuli kupata Haki zao. Watu ambao wamepoteza ndugu zao, waliotekwa, waliobambikiwa Kesi nk. MUHIMU

I repeat a call for a commission of inquiry, to headed by a retired Judge of Court of Appeal, on atrocities committed during the tenure of J P Magufuli administration. All Killings, abductions, disappearance of people, trumped up charges of money laundering MUST be investigated


Nimependa hapo alivyongezea n.k
Yeye binafsi yuko tayari afunguliwe uchunguzi wa n.k?

Unamtetea vipi Mh. Kabwe?
 
Mtu wa chini ni ngumu kuelewa, ila hakuna Rais yoyote yule atakaeachia kiti chake bila kuwa na damu za watu kwenye mikono yake.

Wakati wewe unaufurahia huu utawala, kuna wanaolia kila siku. Kwahiyo ni swala la kufikiwa zamu tu.
Uchaguzi wa 2015 ilikuwa ni uchaguzi wenye ushindani kuliko zote Tanzania, Ila hatukusikia watu wameuawa Kama huu wa 2020
 
Nikweli Mkuu, ila hivi vitu huwezi jua machungu yake mpaka vikupate kwa namna moja au nyingine.
Hoja ya Zitto kabwe kama akienda kuiongelea kule maeneo ya kwetu KIBITI NA RUFIJI atapata uungwaji mkono mkubwa.
Uko sawa, maumivu ni makubwa lakini ikitumika ile hoja ya kuibuka kwa kikundi fulani huko KIBITI tunashindwa kujua nini ni nini na kwanini ilikuwa vile.

Kuna baadhi ya watu waliopoteza wapendwa wao kupitia kile kikundi cha wauwaji kwana namna moja ama nyingine watakuwa wanaipongeza serikali.
 
Shida waliopata matatizo wao wenyewe au ndugu zao no waoga au tayari wameshapoozwa na mamlaka iliyopita hata nguvu ya kufungua kesi hawana.au wanatishwa na mamlaka
 
Back
Top Bottom