Zitto Kabwe: Kabla ya kuja wakoloni Kigoma na Kisiwa cha Mafia zilikuwa ni nchi huru

Zitto Kabwe: Kabla ya kuja wakoloni Kigoma na Kisiwa cha Mafia zilikuwa ni nchi huru

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kuna wakati miaka ya nyuma Zitto Kabwe akiwa mbunge kutokea Kigoma alidai hapo zamani kabla ya ujio wa Wakoloni Kigoma na Kisiwa cha Mafia zilikuwa ni nchi huru.

Sijajua ukweli wa jambo hili ila ninachokumbuka kabla ya ukolomi wachagga walikuwa na Rais wao ila sijui kama Moshi ilikuwa ni nchi huru

Maadamu sasa tunaishi ndani ya mama Tanzania basi sisi sote ni watanzania yatupasa kushikamana

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kuna wakati miaka ya nyuma Zitto Kabwe akiwa mbunge kutokea Kigoma alidai hapo zamani kabla ya ujio wa Wakoloni Kigoma na Kisiwa cha Mafia zilikuwa ni nchi huru.

Sijajua ukweli wa jambo hili ila ninachokumbuka kabla ya ukolomi wachagga walikuwa na Rais wao ila sijui kama Moshi ilikuwa ni nchi huru

Maadamu sasa tunaishi ndani ya mama Tanzania basi sisi sote ni watanzania yatupasa kushikamana

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
Huu ni uchokozi.
 
Kuna wakati miaka ya nyuma Zitto Kabwe akiwa mbunge kutokea Kigoma alidai hapo zamani kabla ya ujio wa Wakoloni Kigoma na Kisiwa cha Mafia zilikuwa ni nchi huru.

Sijajua ukweli wa jambo hili ila ninachokumbuka kabla ya ukolomi wachagga walikuwa na Rais wao ila sijui kama Moshi ilikuwa ni nchi huru

Maadamu sasa tunaishi ndani ya mama Tanzania basi sisi sote ni watanzania yatupasa kushikamana

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
Sasa huyu Edo Kumwembe na Chadema walitaka wana ccm wamchukie rais anayetokana na ccm?

Au anafikiri Rais Samia anatekeleza ilani ya Chadema?

Hii jamhuri ya twita inasikitisha sana
 
Kuna wakati miaka ya nyuma Zitto Kabwe akiwa mbunge kutokea Kigoma alidai hapo zamani kabla ya ujio wa Wakoloni Kigoma na Kisiwa cha Mafia zilikuwa ni nchi huru.

Sijajua ukweli wa jambo hili ila ninachokumbuka kabla ya ukolomi wachagga walikuwa na Rais wao ila sijui kama Moshi ilikuwa ni nchi huru

Maadamu sasa tunaishi ndani ya mama Tanzania basi sisi sote ni watanzania yatupasa kushikamana

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
Anapindisha maneno tu. Awali karibu kila eneo lilikuwa lina aina fulani ya utawala, aina za kichifu yeye anataka kuita nchi ni sawa lakini nchi ina definition yake na sidhani kama hizo tawala za enzi hizo zilikidhi vigezo vya nchi.
 
Kuna wakati miaka ya nyuma Zitto Kabwe akiwa mbunge kutokea Kigoma alidai hapo zamani kabla ya ujio wa Wakoloni Kigoma na Kisiwa cha Mafia zilikuwa ni nchi huru.

Sijajua ukweli wa jambo hili ila ninachokumbuka kabla ya ukolomi wachagga walikuwa na Rais wao ila sijui kama Moshi ilikuwa ni nchi huru

Maadamu sasa tunaishi ndani ya mama Tanzania basi sisi sote ni watanzania yatupasa kushikamana

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
Kama vp kigoma ipewe rasmi burundi tuache kuingangania na kuwaaengenya watu wa kigoma

Ova
 
Tungekuwa mbali sana wachaga... Kutuchanganya na watu wa pwani dodoma ndiyo maana tz ipo nyuma..

Ebu assume Tanzania ingekuwa wachaga
Ona kama sasa hivi Moshi ni jiji kwa watindiga wengine ni vijiji
 
Kuna wakati miaka ya nyuma Zitto Kabwe akiwa mbunge kutokea Kigoma alidai hapo zamani kabla ya ujio wa Wakoloni Kigoma na Kisiwa cha Mafia zilikuwa ni nchi huru.

Sijajua ukweli wa jambo hili ila ninachokumbuka kabla ya ukolomi wachagga walikuwa na Rais wao ila sijui kama Moshi ilikuwa ni nchi huru

Maadamu sasa tunaishi ndani ya mama Tanzania basi sisi sote ni watanzania yatupasa kushikamana

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!


Kigoma inaweza kujiendesha yenyewe kama nchi na ikawa na maendeleo makubwa kuzidi Rwanda.
 
Tungekuwa mbali sana wachaga... Kutuchanganya na watu wa pwani dodoma ndiyo maana tz ipo nyuma..

Ebu assume Tanzania ingekuwa wachaga
Yaani unashindwa kuna kuwa matajiri wengi wenye uwezo mumetawanyika kwenye mikoa mbalimbali ndiko mnakotafita guess na mnatajirikia huko. Moshi mkoani huwa mnarudi moja kwa moja pale Mungu akimuita mja wake. Uchagani imebakia vihamba vyao kwenda kusitiriwa siku ya mwisho uhai ukiwatoka. Na mikoa mwingine ndipo matajiri wachaga wamejenga nyuma nzuri like wanakofanyia biashara . Hanna tofauti na wapemba waliotajirikia kariakoo na kujijenga pale lakini pemba hanna kitu. Think beyond your nose.
Kuna wakati miaka ya nyuma Zitto Kabwe akiwa mbunge kutokea Kigoma alidai hapo zamani kabla ya ujio wa Wakoloni Kigoma na Kisiwa cha Mafia zilikuwa ni nchi huru.

Sijajua ukweli wa jambo hili ila ninachokumbuka kabla ya ukolomi wachagga walikuwa na Rais wao ila sijui kama Moshi ilikuwa ni nchi huru

Maadamu sasa tunaishi ndani ya mama Tanzania basi sisi sote ni watanzania yatupasa kushikamana

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom