Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 14,809
- 11,825
Tufukue mafail? Wizi ni mbaya sana na wezi huwa hawajitapitapi kipumbavu... acha na tulia tuli... Kuna watu wanatafuta kihalali na wengine ni majambazi tu...Ona kama sasa hivi Moshi ni jiji kwa watindiga wengine ni vijiji