Zitto Kabwe: Kabla ya kuja wakoloni Kigoma na Kisiwa cha Mafia zilikuwa ni nchi huru

Zitto Kabwe: Kabla ya kuja wakoloni Kigoma na Kisiwa cha Mafia zilikuwa ni nchi huru

Sasa huyu Edo Kumwembe na Chadema walitaka wana ccm wamchukie rais anayetokana na ccm?

Au anafikiri Rais Samia anatekeleza ilani ya Chadema?

Hii jamhuri ya twita inasikitisha sana
Johnthebaptist njoo uliprogram vizuri ili robot lenu la Mataga.
 
Tungekuwa mbali sana wachaga... Kutuchanganya na watu wa pwani dodoma ndiyo maana tz ipo nyuma..

Ebu assume Tanzania ingekuwa wachaga
Wachaga acheni hizo, mmetengeneza pesa nje ya uchagani, isinge kuwa Dar, mngebaki na midizi, mbuzi na pombe zenu za kienyeji.
 
Na sisi, chini ya Mtwaa wetu Mkwawa, tulikuwa nchi huru.

Fikiria the big 4 ,(nowadays the big 7 - imeongezeka mkoa wa Katavi, Songwe na Njombe) ingekuwa ni nchi, halafu mikoa mingine yote ya Tanzania iwe soko letu la mataifa jirani la mbao, chai, kahawa, tumbaku, mbao, chuma, tin, makaa ya mawe na ulanzi. Lazima tungekuwa juu sana. Ukizingatia pia kuwa kule uzazi wa mpango unaheshimika kwa kiasi kikubwa, na nidhamu ya kufanya kazi imekuwa sehemu ya desturi za maisha ya kila siku.

Sukumaland na dhahabu zao na ng'ombe wao, wangekuwa nao nchi inayojitegemea. Wajichagulie viongozi wao wa kuwacharaza fimbo, kuwateka na kuwapoteza. Kule ustaarabu huu wa kuheshimu utu na uhai wa watu, bado ni wa karne iliyopita. Wangeishi kwa furaha kabisa maana wanaona hakuna ubaya wa binadamu kuswagwa king'ombe kama ambavyo wanawaswaga ng'ombe wao.
 
Kwanini hatupendi ukweli, uchangani utalinganisha na Singida, Simiyu, Dodoma, Moro na kwingineko?
Ishu sio kupenda au kutopenda ukweli,Ishu hapa ni kuwa Huko Uchagani si kwamba wameendelea kwa juhudi zao bali ni kutokana na Wakoloni waliowahi kufika huko wakawapa Elimu mapema ikawasaidia kufika walipofika sasa hicho kisiwe kigezo cha kujiona wao ni bora sana kuliko wengine.Wachaga waache ushamba.
 
Kuna wakati miaka ya nyuma Zitto Kabwe akiwa mbunge kutokea Kigoma alidai hapo zamani kabla ya ujio wa Wakoloni Kigoma na Kisiwa cha Mafia zilikuwa ni nchi huru.

Sijajua ukweli wa jambo hili ila ninachokumbuka kabla ya ukolomi wachagga walikuwa na Rais wao ila sijui kama Moshi ilikuwa ni nchi huru

Maadamu sasa tunaishi ndani ya mama Tanzania basi sisi sote ni watanzania yatupasa kushikamana

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
Zito anaonekana ana katabia ka ukabila Leo anachkizwa na watu wanaouliza uhalali uraia wa VP.
 
Binafsi mh zitto nilikua namkubali Sana, wenda Kuna vitu mpaka Sasa navikubali but percent imepungua ,
Mh zitto ni kweli kisiasa mpaka mda huu au uliopita alijijenga kisiasa akitokea Chadema chini ya mlezi wake mh Mbowe, na amejitahidi kidogo,
Ila hoja hapa asitake kujifanya anaijua tz in and out , ila aelewe wapo watu hasa wazee wanaijua vizuri tu japo wazee,
Zitto kusema ni mkongwe katika taifa Hili,kisiasa anafanya japo atakua mkongwe kwetu sie ambao hatukuwai may be kua wabunge,hivyo
KWA maono yangu
Tz ni nchi huru, yenye watu Kama m 6 haiwezekani mtu mgeni Kama kweli,aje achukue nafasi za juu wakati watanzania wapo, why
Kutengeneza ukachero wa nchi flani kwenye nchi yetu,wakati uwezo tunao ,nguvu kazi tunayo hasa sehem nyeti,mfano jeshini, tiss, ikulu,n.k hii yaweza kua ni haibu Sana
Lazima kililinda taifa letu KWA wivu mkubwa Sana so zitto awe mpole KWA Hili tz ina mamlaka imara wafuatilie Hili na KWA kweli ni muhimu Sana then Kama sio kweli basi ila Kama kweli ni lazima kuvulumishwa KWA faida pana ya taifa ,
Mwisho
Nina rafiki yangu huyu bwana alikuja na wazazi wake miaka iyo akiwa mtoto wa miaka Kama 2 na busu KWA history yake walifika kagera kutoka Rwanda, then wazazi wake alifaliki akabaki na bosi wa wazazi wake , leo amesoma ameajiriwa tz vipi akipata Urais huyu ni muhamiaji au ni raia kamili wa tz ??????
Kuna wakati miaka ya nyuma Zitto Kabwe akiwa mbunge kutokea Kigoma alidai hapo zamani kabla ya ujio wa Wakoloni Kigoma na Kisiwa cha Mafia zilikuwa ni nchi huru.

Sijajua ukweli wa jambo hili ila ninachokumbuka kabla ya ukolomi wachagga walikuwa na Rais wao ila sijui kama Moshi ilikuwa ni nchi huru

Maadamu sasa tunaishi ndani ya mama Tanzania basi sisi sote ni watanzania yatupasa kushikamana

Kila zama na kitabu chake.

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom