Africa kivyetu vyetu [emoji1]Taifa la waliofeli kwasababu lina viongozi failures, ajabu ndio anajiona mzalendo kwa huo ujinga alioandika.
Kama Algeria katoka kwanini sisi tusiwe mabingwa? wale Cape Verde ni mfano halisi wa timu inayoongozwa na wanaojielewa, sio uzalendo maandazi kusifia mpaka tunapofeli.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Je Kuna unafuu wowote kujisifia kuwa failureZito ameonge ukweli Hana chembe ya unafiq ila kama Brain Yako kisoda lazima utoe povu.
Kauli ya zito kwa wale wasio elewa ana maanisha: Kama Algeria na Ghana wamewekeza mamilioni ya shilingi katika soka tena kwa miaka mingi Bado wame feli.
Sisi ambao kwa asilimia kubwa tuna vituo vichache kama si kimoja (Azam) kinacho zalisha wachezji tunawezaje kulalamika kwa nchi zenye vituo zaidi ya 30 Tena vya kisasa na Bado wametolewa mapema?
Sisi ambao tuna wachezaji wachache Ulaya n.k Tena wanao cheza katika ligi za kawaida kwanini tusishukuru, ikiwa Algeria na Ghana Wana wachezaji wanao tamba Ulaya katika ligi kubwa na hawakufanikiwa!!
Sisi ambao Tangu tumeanza kushiriki AFCON hatujawahi kupata point 2 kwanini tusijivunie kwa izo alama 2 wakati hatuja wekeza vya kutosha!!
Swali gumu hili[emoji23]Zitto ni mwehu...
Vipi kuhusu Guinea ya ikweta na Cape Verde?
So mkubwa akiwa mjinga, ujinga unakua halali kwa mdogo?
[emoji23][emoji23]Hizo ni sifa kwa marehemu...hazina tija.
Kwani ni mu IranAyatollah na mpira wapi na wapi
Amna bna ....mbna Sasa alikuwa haziivi na maguUkitaka kujipima ubora wa afya yako kamwe usijilinganishe na mgonjwa!
Siasa za u-CCM B zimemshinda sasa kafufukia kwenye soka.
FactZito ameonge ukweli Hana chembe ya unafiq ila kama Brain Yako kisoda lazima utoe povu.
Kauli ya zito kwa wale wasio elewa ana maanisha: Kama Algeria na Ghana wamewekeza mamilioni ya shilingi katika soka tena kwa miaka mingi Bado wame feli.
Sisi ambao kwa asilimia kubwa tuna vituo vichache kama si kimoja (Azam) kinacho zalisha wachezji tunawezaje kulalamika kwa nchi zenye vituo zaidi ya 30 Tena vya kisasa na Bado wametolewa mapema?
Sisi ambao tuna wachezaji wachache Ulaya n.k Tena wanao cheza katika ligi za kawaida kwanini tusishukuru, ikiwa Algeria na Ghana Wana wachezaji wanao tamba Ulaya katika ligi kubwa na hawakufanikiwa!!
Sisi ambao Tangu tumeanza kushiriki AFCON hatujawahi kupata point 2 kwanini tusijivunie kwa izo alama 2 wakati hatuja wekeza vya kutosha!!
Sasa umeme unahusikaje hapa kwenye uzi,wewe naye ndio walewaleHuyu mnafiki haoni tatizo la umeme?
Fanya kurestore App ya jamii forum mkuu imejaza vitu vingi mno ,clear caches