Zitto Kabwe: Kama Ghana, Algeria wametoka AFCON sisi ni nani?

Zitto Kabwe: Kama Ghana, Algeria wametoka AFCON sisi ni nani?

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
"Hongera Taifa Stars, mmeonyesha ukuaji na uvumilivu. Ghana katoka, Algeria katoka. Sisi ni nani?" - Zitto Kabwe

#PlusXtraUpdates

Je sisi ni nani tupinge??
1706385020924.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Zito ameonge ukweli Hana chembe ya unafiq ila kama Brain Yako kisoda lazima utoe povu.
Kauli ya zito kwa wale wasio elewa ana maanisha: Kama Algeria na Ghana wamewekeza mamilioni ya shilingi katika soka tena kwa miaka mingi Bado wame feli.
Sisi ambao kwa asilimia kubwa tuna vituo vichache kama si kimoja (Azam) kinacho zalisha wachezji tunawezaje kulalamika kwa nchi zenye vituo zaidi ya 30 Tena vya kisasa na Bado wametolewa mapema?

Sisi ambao tuna wachezaji wachache Ulaya n.k Tena wanao cheza katika ligi za kawaida kwanini tusishukuru, ikiwa Algeria na Ghana Wana wachezaji wanao tamba Ulaya katika ligi kubwa na hawakufanikiwa!!

Sisi ambao Tangu tumeanza kushiriki AFCON hatujawahi kupata point 2 kwanini tusijivunie kwa izo alama 2 wakati hatuja wekeza vya kutosha!!
 
Taifa la waliofeli kwasababu lina viongozi failures, ajabu ndio anajiona mzalendo kwa huo ujinga alioandika.

Kama Algeria katoka kwanini sisi tusiwe mabingwa? wale Cape Verde ni mfano halisi wa timu inayoongozwa na wanaojielewa, sio uzalendo maandazi kusifia mpaka tunapofeli.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Africa kivyetu vyetu [emoji1]

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Zito ameonge ukweli Hana chembe ya unafiq ila kama Brain Yako kisoda lazima utoe povu.
Kauli ya zito kwa wale wasio elewa ana maanisha: Kama Algeria na Ghana wamewekeza mamilioni ya shilingi katika soka tena kwa miaka mingi Bado wame feli.
Sisi ambao kwa asilimia kubwa tuna vituo vichache kama si kimoja (Azam) kinacho zalisha wachezji tunawezaje kulalamika kwa nchi zenye vituo zaidi ya 30 Tena vya kisasa na Bado wametolewa mapema?

Sisi ambao tuna wachezaji wachache Ulaya n.k Tena wanao cheza katika ligi za kawaida kwanini tusishukuru, ikiwa Algeria na Ghana Wana wachezaji wanao tamba Ulaya katika ligi kubwa na hawakufanikiwa!!

Sisi ambao Tangu tumeanza kushiriki AFCON hatujawahi kupata point 2 kwanini tusijivunie kwa izo alama 2 wakati hatuja wekeza vya kutosha!!
Je Kuna unafuu wowote kujisifia kuwa failure

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Zito ameonge ukweli Hana chembe ya unafiq ila kama Brain Yako kisoda lazima utoe povu.
Kauli ya zito kwa wale wasio elewa ana maanisha: Kama Algeria na Ghana wamewekeza mamilioni ya shilingi katika soka tena kwa miaka mingi Bado wame feli.
Sisi ambao kwa asilimia kubwa tuna vituo vichache kama si kimoja (Azam) kinacho zalisha wachezji tunawezaje kulalamika kwa nchi zenye vituo zaidi ya 30 Tena vya kisasa na Bado wametolewa mapema?

Sisi ambao tuna wachezaji wachache Ulaya n.k Tena wanao cheza katika ligi za kawaida kwanini tusishukuru, ikiwa Algeria na Ghana Wana wachezaji wanao tamba Ulaya katika ligi kubwa na hawakufanikiwa!!

Sisi ambao Tangu tumeanza kushiriki AFCON hatujawahi kupata point 2 kwanini tusijivunie kwa izo alama 2 wakati hatuja wekeza vya kutosha!!
Fact
 
Back
Top Bottom