Vumilia mkuu....up to machi hili tatizo la Umeme litakuwa historiaHuyu mnafiki haoni tatizo la umeme?
Utasikia.....hata nikifeli ntaenda simamia projects za dady[emoji1]Hawa ndio tunawategemea kama taifa, kumbe hamna kitu. Kwa vile fulani kafeli, hata nikifeli ni sawa tu. Pathetic!
Acha uzwazwa mtu mzima"Hongera Taifa Stars, mmeonyesha ukuaji na uvumilivu. Ghana katoka, Algeria katoka. Sisi ni nani?" - Zitto Kabwe
#PlusXtraUpdates
Je sisi ni nani tupinge??View attachment 2885365
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ghana. Algeria for now hatuna utofautiAcha uzwazwa mtu mzima
Usifananishe Ghana , Algeria na vitu vya kijinga, [emoji35]
ZItto tangu anajisiwe na Kikwete enzi zile za usaliti, tulimpoteza mazimaTaifa la waliofeli kwasababu lina viongozi failures, ajabu ndio anajiona mzalendo kwa huo ujinga alioandika.
Kama Algeria katoka kwanini sisi tusiwe mabingwa? wale Cape Verde ni mfano halisi wa timu inayoongozwa na wanaojielewa, sio uzalendo maandazi kusifia mpaka tunapofeli.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hilo nakataa mkuu
Wenzetu wanaweza kurecover Kwa kipind hch kifup sababu wanauwezo wakulekebisha sehem chache
Ni kweli mkuu....kama tukifungwa na timu pungufu [emoji23]Hilo nakataa mkuu
Umeangalia mech zote alizocheza Ghana , Algeria
Na umeangalia na mechi zote tulizocheza Tz ?
Hapo ni kweli mkuu....Wenzetu wanaweza kurecover Kwa kipind hch kifup sababu wanauwezo wakulekebisha sehem chache
lkn Kwa ss itatuchukua muda sababu tunahitaj turud hatua nyuma
Huu ndo ujinga ambao hata Maandiko yanaukataa, Usipime ubora wa kazi yako kwa kuilinganisha na kazi ya Wengine. Kwahiyo hao wakiliwa kiboga nasi tuliwe?"Hongera Taifa Stars, mmeonyesha ukuaji na uvumilivu. Ghana katoka, Algeria katoka. Sisi ni nani?" - Zitto Kabwe
#PlusXtraUpdates
Je sisi ni nani tupinge??View attachment 2885365
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hilo haliwezekani [emoji23][emoji23]Baba mwenye familia anawaambia watoto tulale njaa kwani hata majirani wanalala njaa!
[emoji23][emoji23]Huu ndo ujinga ambao hata Maandiko yanaukataa, Usipime ubora wa kazi yako kwa kuilinganisha na kazi ya Wengine. Kwahiyo hao wakiliwa kiboga nasi tuliwe?
Nenda kafuatilie iyo Squad ya Equatorial Gine au Cap Verde ao wachezaji wamewatoa wapi. 70% Wana Toka Ulaya.Zitto ni mwehu...
Vipi kuhusu Guinea ya ikweta na Cape Verde?
So mkubwa akiwa mjinga, ujinga unakua halali kwa mdogo?
So inawezekana tulienda kibahati??Nenda jafuatilie iyo Squad ya Equatorial Gine au Cap Verde ao wachezaji wamewatoa wapi. 70% Wana Toka Ulaya.
Sisi tumepanda haba na tume vuna haba.
Sisi ndio wa mwisho katika timu shiriki katika Rank za FIFA hatuna tunaye lingana wote wapo juu yetu
Hivi kati ya equatorial Guinea na Guinea ipi ipo vzr zaidi?Nenda jafuatilie iyo Squad ya Equatorial Gine au Cap Verde ao wachezaji wamewatoa wapi. 70% Wana Toka Ulaya.
Sisi tumepanda haba na tume vuna haba.
Sisi ndio wa mwisho katika timu shiriki katika Rank za FIFA hatuna tunaye lingana wote wapo juu yetu
Wewe ni mjinga kama huyo Zitto, unataka kusema sisi ni dependant wa izo timu kwamba zikishindwa ni sawa hata sisi tukishindwaZito ameonge ukweli Hana chembe ya unafiq ila kama Brain Yako kisoda lazima utoe povu.
Kauli ya zito kwa wale wasio elewa ana maanisha: Kama Algeria na Ghana wamewekeza mamilioni ya shilingi katika soka tena kwa miaka mingi Bado wame feli.
Sisi ambao kwa asilimia kubwa tuna vituo vichache kama si kimoja (Azam) kinacho zalisha wachezji tunawezaje kulalamika kwa nchi zenye vituo zaidi ya 30 Tena vya kisasa na Bado wametolewa mapema?
Sisi ambao tuna wachezaji wachache Ulaya n.k Tena wanao cheza katika ligi za kawaida kwanini tusishukuru, ikiwa Algeria na Ghana Wana wachezaji wanao tamba Ulaya katika ligi kubwa na hawakufanikiwa!!
Sisi ambao Tangu tumeanza kushiriki AFCON hatujawahi kupata point 2 kwanini tusijivunie kwa izo alama 2 wakati hatuja wekeza vya kutosha!!
Na Kwa huruma tuu za Algeria bila yy tusingefuzu