Zitto Kabwe: Kama Ghana, Algeria wametoka AFCON sisi ni nani?

Zitto Kabwe: Kama Ghana, Algeria wametoka AFCON sisi ni nani?

Taifa la waliofeli kwasababu lina viongozi failures, ajabu ndio anajiona mzalendo kwa huo ujinga alioandika.

Kama Algeria katoka kwanini sisi tusiwe mabingwa? wale Cape Verde ni mfano halisi wa timu inayoongozwa na wanaojielewa, sio uzalendo maandazi kusifia mpaka tunapofeli.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
ZItto tangu anajisiwe na Kikwete enzi zile za usaliti, tulimpoteza mazima
 
Baba mwenye familia anawaambia watoto tulale njaa kwani hata majirani wanalala njaa!
 
"Hongera Taifa Stars, mmeonyesha ukuaji na uvumilivu. Ghana katoka, Algeria katoka. Sisi ni nani?" - Zitto Kabwe

#PlusXtraUpdates

Je sisi ni nani tupinge??View attachment 2885365

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Huu ndo ujinga ambao hata Maandiko yanaukataa, Usipime ubora wa kazi yako kwa kuilinganisha na kazi ya Wengine. Kwahiyo hao wakiliwa kiboga nasi tuliwe?
 
Zitto ni mwehu...

Vipi kuhusu Guinea ya ikweta na Cape Verde?

So mkubwa akiwa mjinga, ujinga unakua halali kwa mdogo?
Nenda kafuatilie iyo Squad ya Equatorial Gine au Cap Verde ao wachezaji wamewatoa wapi. 70% Wana Toka Ulaya.
Sisi tumepanda haba na tume vuna haba.
Sisi ndio wa mwisho katika timu shiriki katika Rank za FIFA hatuna tunaye lingana wote wapo juu yetu
 
Nenda jafuatilie iyo Squad ya Equatorial Gine au Cap Verde ao wachezaji wamewatoa wapi. 70% Wana Toka Ulaya.
Sisi tumepanda haba na tume vuna haba.
Sisi ndio wa mwisho katika timu shiriki katika Rank za FIFA hatuna tunaye lingana wote wapo juu yetu
So inawezekana tulienda kibahati??

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Nenda jafuatilie iyo Squad ya Equatorial Gine au Cap Verde ao wachezaji wamewatoa wapi. 70% Wana Toka Ulaya.
Sisi tumepanda haba na tume vuna haba.
Sisi ndio wa mwisho katika timu shiriki katika Rank za FIFA hatuna tunaye lingana wote wapo juu yetu
Hivi kati ya equatorial Guinea na Guinea ipi ipo vzr zaidi?
 
Kweli tusitegemee mabadiliko chini ya CCM, Chadema AcT, sababu viongozi wao ni special in failure, kushindwa kwa mwingine aimaanishi na sisi tushindwe, uyu ajitambui, kwamba sisi tunawategemea Algeria misri
 
Zito ameonge ukweli Hana chembe ya unafiq ila kama Brain Yako kisoda lazima utoe povu.
Kauli ya zito kwa wale wasio elewa ana maanisha: Kama Algeria na Ghana wamewekeza mamilioni ya shilingi katika soka tena kwa miaka mingi Bado wame feli.
Sisi ambao kwa asilimia kubwa tuna vituo vichache kama si kimoja (Azam) kinacho zalisha wachezji tunawezaje kulalamika kwa nchi zenye vituo zaidi ya 30 Tena vya kisasa na Bado wametolewa mapema?

Sisi ambao tuna wachezaji wachache Ulaya n.k Tena wanao cheza katika ligi za kawaida kwanini tusishukuru, ikiwa Algeria na Ghana Wana wachezaji wanao tamba Ulaya katika ligi kubwa na hawakufanikiwa!!

Sisi ambao Tangu tumeanza kushiriki AFCON hatujawahi kupata point 2 kwanini tusijivunie kwa izo alama 2 wakati hatuja wekeza vya kutosha!!
Wewe ni mjinga kama huyo Zitto, unataka kusema sisi ni dependant wa izo timu kwamba zikishindwa ni sawa hata sisi tukishindwa
 
Back
Top Bottom