Zitto Kabwe: Katika ndege 12 alizonunua Hayati Magufuli, ndege 6 hazifanyi kazi, ziko grounded, zina kutu, ingawa tuliambiwa ni mpya

..usimshambulie Zitto binafsi, shambulia hoja yake.

..hivi unaona ni sahihi ndege hizo 6 kuwa grounded muda mfupi baada ya kununuliwa?
Huu ugonjwa wa mtu anayedhaniwa walau ana elimu dunia kias kujitoa fahamu za nguvu ya hoja na kushughulika na mtoa hoja sijui litibiwe vipi maana limezidi na kuzalisha non critical thinking.

Binafsi huwa inanikera sana.

Ni sawa na anayelaumu jambo na hatoi suluhisho.

Wataalam watusaidie haraka kuboresha afya ya akili. Wajenzi wa hoja ni kama wanapotea hivi.

Fikiria hadi limezalishwa jina la uchawa/uzombi!.
 

1. Ziko grounded kwasababu ya kukosa matunzo.

2. Ziko grounded kwasababu zilinunuliwa zikiwa chini ya viwango.

3. Haziko grounded.
 
Ndege 6 kuwa ground sio kosa la JOHN JOSEPH POMBE MAGUFURI naamin dhamira yake ilikuwa kutuletea ndege mpya.

Kosa hilo lielekezwe kwa DOLACCM Iliomuhakikishia kuwa ndege ni mpya kweli.
 
Kumtukana JPM hakuta kujenga kisiasa hata watu wa kigoma watakukataa labda upewe ubunge wa mchogo ili kulipwa fadhila za aliyekutuma kumchafua JPM
Je ni kweli kuna ndege 6 hazifanyi kazi?
 
Zitto ametoa tuhuma nyingi dhidi ya Magufuli na utawala wake.

Mojawapo ni hiyo ya ndege 6 alizonunua Magufuli kuwa grounded wakati tuliambiwa ni ndege mpya.

Nasubiri kusikia kama serikali au ATCL watakanusha tuhuma hizi.

Mzee wa migebuka umechokoza nyuki, ngoja walinz waje!!
 
Sasa ungeleta evidence kwamba haziko benchi wala hazina kutu ili uongo wa zito uonekane!!
 
JPM alikuwa na maono yapi?
 
Asante mkuu
 
Hakuna kitu magu alichofaulu hata kimoja. Alishauriwa akajiona yeye ndio mwenye akili kuliko wote nchini. Kiko wapi sasa?
 
Zitto ametoa tuhuma nyingi dhidi ya Magufuli na utawala wake.

Mojawapo ni hiyo ya ndege 6 alizonunua Magufuli kuwa grounded wakati tuliambiwa ni ndege mpya.

Nasubiri kusikia kama serikali au ATCL watakanusha tuhuma hizi.

Tusubiri maelezo ya kiufundi wanasiasa sio wa kuwaamini hata kidogo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…