Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,042
- 2,005
Il wewee jamaa ni kiazi,baada ya kushambulia alichokiandika kwa kuleta hoja ,unamshambulia mhusika.Tanzania tunasafari ndefuKumtukana JPM hakuta kujenga kisiasa hata watu wa kigoma watakukataa labda upewe ubunge wa mchogo ili kulipwa fadhila za aliyekutuma kumchafua JPM
Usizungumzie hisia, zungumzia facts.Ulitegemea ziwe grounded lini ? Kama service hamna unataka ziruke vip , hata kama ni mpya unajua service schedule yake , ndege sio Gari , hlo shirika wamedhamiria kuliua , na watu wanashangilia , ogopa sana kundi la wajinga
Crap!Kwaiyo kama zipo grounded ni Kosa la mbeba maono alozinunua au waendeshaji wa shirika wa Sasa au unataka JPM afufuke ili aliendeshe hilo shirika?
Hivi kama ukijenga nyumba warithi wako wakaamua kuigeuza ile nyumba danguro inabidi tukulaumu wewe kwa kujenga hiyo nyumba?
Zito Hana hoja ni shoga tu la kisiasa lenye njaa.
Yani tuna wasomi wa kipumbavu sana sijui anajua Maintenance Schedule ipoje?Ulitegemea ziwe grounded lini ? Kama service hamna unataka ziruke vip , hata kama ni mpya unajua service schedule yake , ndege sio Gari , hlo shirika wamedhamiria kuliua , na watu wanashangilia , ogopa sana kundi la wajinga
Zito ni muongo toka zamani haaminiki..usimshambulie Zitto binafsi, shambulia hoja yake.
..hivi unaona ni sahihi ndege hizo 6 kuwa grounded muda mfupi baada ya kununuliwa?
Acha kumpaka mafuta dikteta muuaji yule. Ndege hizi tangu anunue ni 6 tu ndiyo zimekuwa zikifanya kazi.Kwaiyo kama zipo grounded ni Kosa la mbeba maono alozinunua au waendeshaji wa shirika wa Sasa au unataka JPM afufuke ili aliendeshe hilo shirika?
Unamwambia mwenzio azungumze facts, ikiwa hata wewe hujui kama hizo ndege unazotetea kuwa grounded ni mpya au mitumba?Usizungumzie hisia, zungumzia facts.
Ndege 6 zimekuwa grounded, ni fact.
Ndege hazifanyiwi service ni hisia.
Ndege ni mitumba ni possibility, kwa sababu si kawaida ndege mpya 6 kwa wakati mmoja ziharibike, na si jambo linaloingia akilini kuwa shirika limeshindwa kuzifanyia service ya kawaida ndege 6.
Inatakiwa itolewe taarifa kamili juu ya ukweli wa kila jambo kama ilivyokuwa kwenye mabehewa ya treni tuliyoambiwa ni mapya, baadaye ikagundulika ni mitumba. Rais na Waziri walikuwa waungwana katika kulikiri hilo, lakini kuna wapamve wajinga, waliojifanya ni watetezi wa Serikali, ni watetezi wa Rais Samia, walikuwa wakiropoka tena kwa nguvu kweli kuwa mavehewa ni mapya. Hana hata access ya kujua manunuzi yalivyofanyika, halafu anabakia na ubishi wa kijinga.
Kama huna uhakika, changia hoja, toa mawazo yako, lakini usiwe mbishi.
kinachozungumziwa ni serikali yake yeye akiwa kiongozi mkuu.Imefikia hatua kuchangia mada za huyu dingi aliyefariki naona jau. Yaan mtu hata hayupo afu nikomae kuchangia naona upuuzi tu
Anapanda kwakuwa hakuna mbadala, lakini haiondoi ukweli kuwe hizo ndege ni mbovu. Jitahidi kutengenisha mambo hayo.Cha ajabu utakuta akitoka hapo apanda hizo ndege ila awahi Dar ili uchukue posho za wanaokuuma
Hoja zipo ila zinakuumiza.Hakuna hoja hapo zaidi ya njaa zake binafsi
Ulitegemea ziwe grounded lini ? Kama service hamna unataka ziruke vip , hata kama ni mpya unajua service schedule yake , ndege sio Gari , hlo shirika wamedhamiria kuliua , na watu wanashangilia , ogopa sana kundi la wajinga
Kina nani wamedhamiria kuliua? Kwani walipokuwa wananunua ndege hawakuweka business plan ili haya yasitokee?Ulitegemea ziwe grounded lini ? Kama service hamna unataka ziruke vip , hata kama ni mpya unajua service schedule yake , ndege sio Gari , hlo shirika wamedhamiria kuliua , na watu wanashangilia , ogopa sana kundi la wajinga
Biashara ya ndege ni ngumu sana kwa kweli halikuwa sahihi
Angelifanikiwa tu kama tungeingia ubia na shirika lingine kama Kenya walivyo na Air France, KLM na serikali pamoja na watu binafsi
Sisi tunajifungia sana ndani yanayoendelea duniani hatujui na hawa wakosoaji wanajua kuita press na kukosoa na kubeza badala ya kuisaidia serikali na kutoa mawazo mema
Wanafikiri kuiponda serikali bila kutoa mawazo wanajiona wajanja zaidi ili washangiliwe
Tunataka nini kifanyike kuliko kuponda tu
Sasa mkuu hapo inatusaidia nn, maana hata hiyo serikali yake kwa sasa nayo haipo, ipo nyingine hivi hadi leo wajerumani wanazungumzia serikali ya hittler zaidi ya kumuacha vitabuni tu...kinachozungumziwa ni serikali yake yeye akiwa kiongozi mkuu.
Mkuu kwa maoni yangu ni kwamba ndege ziko grounded kwa sababu ya kukosa matunzo kwa sababu hakukuwa na business plan kabla ya kuzinunua. Ilitakiwa shirika lifumuliwe kabisa na lisukwe upya chini ya management nzuri na business plan ndiyo ndege zinunuliwe. Hili jambo la ufanisi wa shirika au kampuni kutegemea ni nani aliyeko madarakani linaonyesha ubovu wa mfumo wetu. Wanasema ndege zilikuwa mitumba nadhani siyo sahihi kwa sababu ndege siyo gari, ili uweze kudanganya kwenye manunuzi. Kwa mfano zile airbus ni toleo jipya kabisa na sisi tulikuwa miongozi mwa nchi za kwanza kuzinunua.1. Ziko grounded kwasababu ya kukosa matunzo.
2. Ziko grounded kwasababu zilinunuliwa zikiwa chini ya viwango.
3. Haziko grounded.
Kama zina kutu mbona sa mia kanunua mabehewa ya treni ya mitumba na zito asemi kitu tena kanunua kinyume na sheria za nchi kuhusu serikali kununua vitu used ...pia kwanini asinge mlaumu Samia kwa hizo ndehe kupata kutu na kuto kuruka wakati wa jpm zote zilikuwa zinafanya kazi au ana dhani watanzania ni wapumbavu wenzake..... blodi shiti .Zitto ametoa tuhuma nyingi dhidi ya Hayati Magufuli na utawala wake.
Mojawapo ni hiyo ya ndege 6 alizonunua Hayati Magufuli kuwa grounded wakati tuliambiwa ni ndege mpya.
Nasubiri kusikia kama Serikali au ATCL watakanusha tuhuma hizi.