Zitto Kabwe: Kila Novemba kunakuwa na mgao wa Umeme ila tulikuwa hatutangaziwi kwa sababu za kibabe tu

Zitto Kabwe: Kila Novemba kunakuwa na mgao wa Umeme ila tulikuwa hatutangaziwi kwa sababu za kibabe tu

Kwahio tulikuwa hatuoni mpaka tuambiwe...

Ofcourse sisemi kwamba Umeme ulikuwa haukatiki wakati wa mwendazake ila nadhani hizi siku kadhaa hali sio Shwari..., Pili huenda ikawa ni Bahati kipindi kile ukame haukuwa kama sasa ila hii ni too soon ningetegemea hali hii itokee miezi ya huko mbele lakini by the time inataka kutokea Bwawa litakuwa tayari hivyo isingetokea
 
Mtu ameshajifia muacheni apumzike sasa nyie mlio hai mnafanya nini Sasa..?
Hivi mtaacha lini kimbelembele na kupangia watu cha kusema? Hebu acheni undezi aisee aaaah!! Akina Nyerere, Mkapa, Mandela nk hawatajwi?? Au wao hawajatangulia mbele za haki?? Na umejuaje huko waliko wamepumzika?? Ulienda ukawaona wako Beach au mbuga za wanyama wamepumzika??
 
Huyu jamaa......
badala ya kushauri mipango mkakati hali kama hii isijirudie.......
Yy anaongea kwa maana ya kutetea!?
Huyo jamaa akishauli lazima nchi itoe machozi, yaani ni full upigaji, wanasiasa wa kizazi kipya wapo kwa maslahi yao Siyo ya taifa.

👉🏾Ndiyo maana nasema Naendelea kujifunza tabia ya binadamu.
 
Kiongozi mkuu wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amesema ni hali ya kawaida mwezi November kuwa na mgao wa umeme ila tu awamu iliyopita tulikuwa hatutangaziwi lakini mgao ulikuwepo.

Zitto anasema isingekuwa rahisi kutangaza kuwa kuna mgao wa umeme awamu iliyopita kwa sababu ya kuogopa ubabe.

Ameandika Zitto Kabwe.
Kanafki kakubwa haka. Kanafanya watu wajinga. Kanadhani watu wote hatujui kuwa kanam_favour mshikaji wake Waziri wa Nishati.
 
Kiongozi mkuu wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amesema ni hali ya kawaida mwezi November kuwa na mgao wa umeme ila tu awamu iliyopita tulikuwa hatutangaziwi lakini mgao ulikuwepo.

Zitto anasema isingekuwa rahisi kutangaza kuwa kuna mgao wa umeme awamu iliyopita kwa sababu ya kuogopa ubabe.

Ameandika Zitto Kabwe.
Amekuwa zuzu siku hizi zito
 
Zitto ni mtwana wa Makamba and Co, sioni kipya hapo

Tumwamini nani hapa?

Zitto: kila mwezi November hua kuna mgao wa umeme

Makamba: kuna maintanance ya vifaa

Mh raisi: kina cha maji kimepungua

Ukiangalia kauli ya Zitto inapita kule anakopita slave master wake!

Huyu jamaa ndio maana wenzake hawamwamini.
Wewe unamwamini?
 
Zitto kwa unafiki na udini ni sehemu ya ngozi yake!!! Kwa sasa hutmuona akimkosoa Mama,anavizia uchaguzi ujao apewe majimbo bara ili chama chake ambacho ni CCM B kiwe ndio kama Chama kikuu cha upinzani!!
 
Makamu wa rais wa Zanzibari anatoka ACT wazalendo.
Zitto ni mwenyekiti wa ACT WAZALENDO
 
Kiongozi mkuu wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amesema ni hali ya kawaida mwezi November kuwa na mgao wa umeme ila tu awamu iliyopita tulikuwa hatutangaziwi lakini mgao ulikuwepo.

Zitto anasema isingekuwa rahisi kutangaza kuwa kuna mgao wa umeme awamu iliyopita kwa sababu ya kuogopa ubabe.

Ameandika Zitto Kabwe.
Huyu jamaa vipi? Kinachowakera wananchi ni kutangaziwa na kutangaziwa au ni kukosekana kwa huduma kulikokithiri?
Wanasiasa akili zao hata wenyewe hawazielewi!
 
Kiongozi mkuu wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amesema ni hali ya kawaida mwezi November kuwa na mgao wa umeme ila tu awamu iliyopita tulikuwa hatutangaziwi lakini mgao ulikuwepo.

Zitto anasema isingekuwa rahisi kutangaza kuwa kuna mgao wa umeme awamu iliyopita kwa sababu ya kuogopa ubabe.

Ameandika Zitto Kabwe.
Mpumbavu mwingine.
 
Back
Top Bottom