Ningependa kuona watu wanaomkosoa
Zitto waje na hoja na si personal attack
1. Maridhiano kutokana na kitu gani? Kuna tatizo gani lililohitaji maridhiano?
2. Uchaguzi wa serikali za mitaa umefanyika kihuni, umemamlizika kihuni.
Mbowe anataka maridhiano gani katika mazingira kama hayo?
3. Kwanini Mbowe akiwa KUB hakushirikisha Wapinzani wengine ambao walishiriki vyema katika kupinga uchaguzi wa serikali za mitaa, kama ACT?
4. Mbowe anataka maridhiano kama Kiongozi wa Chadema au kiongozi wa kambi ya Upinzani?
Someni hoja za Zitto kwa upana na utulivu, kuna makosa makubwa sana ya Mbowe na CDM
Kwa wanaofuatilia duru za siasa, Mbowe anataka kuondoa pressure ndani ya chama chake kuelekea uchaguzi. Presha hiyo imejengwa na mazingira ya kutatanisha sana
Kuna malalamiko kwamba uchaguzi mkuu utaishia, mtu vs giza, template ya CCM
Huu kama siyo ujima ni maridhiano!
Ili kubadili mwenendo, Mbowe anataka maridhiano ya kudai haki!
Yaani anataka haki katika silver plate, tena haki yake. Ni mbaya kuliko
Ninyi CDM kuna tatizo, hili la maridhiano ni dalili tu. Kuna tatizo la uongozi, kwenu huenda ni jipya kwa wengine si jipya.