ACT Wazalendo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 631
- 1,577
Tazama mahojiano ya BBC jinsi Kiongozi wa ACT Wazalendo Ndg. Zitto Kabwe anavyopangua propaganda dhaifu za CCM na Serikali ya Rais Magufuli kuhusu kusogezwa mbele kwa maamuzi ya Benki ya Dunia (WB) kuipa mkopo wa elimu Tanzania kutokana na hoja zilizotolewa na Zitto na wanaharakati wa Tanzania kwa WB.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app