ACT Wazalendo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 631
- 1,577
Hatujanyimwa, umecheleweshwa tu.Tanzania ikinyimwa huo mkopo nyinyi na chama chenu mnafaidika nini? Hao watoto ambao hela hizi zilikuwa zikawasaidie watafaidika nini na hio 3-0 ya Zitto?!
ID ya chama kabisa inakuja kuleta ushabiki maandazi JF.
katafuteni nchi yenu akufanyia ujinga wenu nchi hii inaongozwa kwa mujibu wa sheria na katiba mtaongea sana lakini hamuwezi kushindana na sisiTuko tayari kushirikiana na yeyote anayepinga ukandamizaji
Nimeandika....ikinyimwa....Hatujanyimwa, umecheleweshwa tu.
punguza jazba,Tanzania ikinyimwa huo mkopo nyinyi na chama chenu mnafaidika nini? Hao watoto ambao hela hizi zilikuwa zikawasaidie watafaidika nini na hio 3-0 ya Zitto?!
ID ya chama kabisa inakuja kuleta ushabiki maandazi JF.
Haitanyimwa.Nimeandika....ikinyimwa....
Pole kijana ushaumia kudadeki !Tanzania ikinyimwa huo mkopo nyinyi na chama chenu mnafaidika nini? Hao watoto ambao hela hizi zilikuwa zikawasaidie watafaidika nini na hio 3-0 ya Zitto?!
ID ya chama kabisa inakuja kuleta ushabiki maandazi JF.
Tajiri mkuda wewePole kijana ushaumia kudadeki !
Watoto gani ndugu? Wa kwangu mimi au wa kwenu huko CCM?Tanzania ikinyimwa huo mkopo nyinyi na chama chenu mnafaidika nini? Hao watoto ambao hela hizi zilikuwa zikawasaidie watafaidika nini na hio 3-0 ya Zitto?!
ID ya chama kabisa inakuja kuleta ushabiki maandazi JF.
Jazba iko wapi?!punguza jazba,
pesa inatakiwa ifanyiwe jambo lililokusudiwa na WB na sio utapeli wa CCM.
Hapa ndo naona maana ya sheria ya Kukataza warundi kuja kufanya siasa nchini. Zitto alimmukana Lissu kwa Sababu hizi hizi za kuomba kunyimwa miisaada leo kabugia tapishi lake na kushushia ulanzi wa baridi. Haya tumenyimwa msaada wale ndugu zake zitto Kule kazullamimba na funza wanapata faida ipi kama si uhaini wa nchiTanzania ikinyimwa huo mkopo nyinyi na chama chenu mnafaidika nini? Hao watoto ambao hela hizi zilikuwa zikawasaidie watafaidika nini na hio 3-0 ya Zitto?!
ID ya chama kabisa inakuja kuleta ushabiki maandazi JF.
Duh! Kwani WB wanesema wameinyima TZ huo mkopo? Soma na sikiliza kwanza uelewe ndiyo uje kutoa povo lako hapa kama upo umuhimu wa kulitoa.Hapa ndo naona maana ya sheria ya Kukataza warundi kuja kufanya siasa nchini. Zitto alimmukana Lissu kwa Sababu hizi hizi za kuomba kunyimwa miisaada leo kabugia tapishi lake na kushushia ulanzi wa baridi. Haya tumenyimwa msaada wale ndugu zake zitto Kule kazullamimba na funza wanapata faida ipi kama si uhaini wa nchi