Zitto Kabwe: Mkopo wa Benki ya Dunia kuboresha elimu, Serikali ililenga kuinufaisha CCM kwa kununua vyuo vilivyo chini ya chama hicho

"Zitto jiandae kwenda kugombea ubunge katika Jimbo la California au Washington Ila huku kwetu kigoma sahau kabisa. Mnafiki mkubwa wewe, Watoto wangu wanakaa chini na wanasoma mazingira magumu harafu Wewe kwa uchumia tumbo wako unachochea pesa isije.. laana zetu Wana kigoma hazitakuacha salama kijana mrundi wewe" mwisho wa kunukuu

Maneno ya mzazi mmoja wa kigoma
 
mkuu achana na propaganda za kidini kabisa, moto wake hutouweza kbs..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Huu mkopo wakitoa ACT mtafanya nini ? Naona mnafikiria kama ndio mmeshika kura ya veto. Muda utaongea
 
katafuteni nchi yenu akufanyia ujinga wenu nchi hii inaongozwa kwa mujibu wa sheria na katiba mtaongea sana lakini hamuwezi kushindana na sisi
Kalaghabaho! Ninyi ni akina nani!!? Yaani mvunje haki za watu halafu Dunia iwaanglie tu.
Hivi nyie si matajiri, Kwani kulilia mkopo!!?
 
Tanzania ikinyimwa huo mkopo nyinyi na chama chenu mnafaidika nini? Hao watoto ambao hela hizi zilikuwa zikawasaidie watafaidika nini na hio 3-0 ya Zitto?!

ID ya chama kabisa inakuja kuleta ushabiki maandazi JF.
Tukipinga UKANDAMIZAJI na utawala usiozingatia taratibu, SERIKALI (sio wananchi) itawekewa vikwazo then ITASHINDWA halafu itakosa uhalali wa kuongoza then TUTACHOKA NA KUITIMUA baas. Hakuna mwenye hasara, kwani wapi pameandikwa kuwa ni lazima watawale wao tu tena kwa namna wanayotaka wao? TUMECHOKA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anayekopa Ni binti au serikali? Huyo binti analipaje mkopo?
kwani serikali ikikopa nan analipa mkopo? kama ulikuwa hujui mim na wew na wajukuu zako ndio tutaulipa mkopo
 
Ccm wanataka kuiuzia serikali vyuo vyake,maweeee
 
Tajiri mkuda wewe
Ahaaa!!! ahaaa! Rrondo umenichekesha kweli! yaani nimekujua bureee!

Pole sana kitukuu! inauma lkn?! eee! nikwambie dawa!...

Kunywa maji bariiidaa!!! halafu lala......
 
Hivi Zitto kuongozwa na hisia kwamba eti ccm huenda itatumia Mkopo kutoka WB kujinufaisha kisiasa kwa kudanganya wapiga kura CCM ndiyo imetoa hela zake kusomesha Watoto, ndizo zinatosha kuhamaki na kwenda kuichonganisha Serikali na WB ? Je nini Afya ya Jitihada za Zitto kwa Taifa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hizi hela zingeelekezwa tofauti, hata kama zingejenga shule za wanaopata mimba, serikali ingesema ni shule za ccm, hisia au maoni ya zitto yako sahihi ukizingatia tunaenda kwenye uchaguzi, si ajabu zingeekekezwa huko, kuna siku tutaambiwa hela za tasafu zinaelekezawa kwingine si ajabu zikaenda kwenye kampeni za uchaguzi mkuu, jamaa hawana hela hawa, ohoo..!
 
Laana imekwisha mpata huyo
Sent using Jamii Forums mobile app
 

..kama hizo ndizo hoja alizowasilisha WB na wao wakakubaliana nazo basi makosa siyo ya Zitto bali upumbavu wa wahusika wa WB.

..pia sioni sababu ya wabunge wa CCM kufura na kutishia KUMUUA / KUMWAGA DAMU.

..Haiyumkiniki SERIKALI na CCM kushindwa kuwasilisha hoja za kupangua madai ya Zitto na kuishia kutoa vitisho vya kumuua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…