Zitto Kabwe Mtegoni

Kwa hiyo kesi ndio mmeamua mumfungulie leo baada ya muda wote huo?[emoji16]

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
 
kwa hiyo kama alishiriki kutunga basi ndio abambikiziwe kesi ya Uongo?

sh*t

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
Kwanini watunge sheria kunyima watu dhamana? Dhambi hiyo imawarudia na kuwatafuna wenyewe
 
Muosha huoshwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weken kavideo bas

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[QUOTE="Erythrocyte, post: 34307124, member: 1092
Kwa maneno hayo tunachelea kuamini ya kwamba baadhi ya watu wenye kesi za uhujumu uchumi pengine ilitokana na hali Kama hii ya kwenda kinyume na fikra za bwana mkubwa
 
Sitaki kuamini Zito kafanya a very technical mistake in his political career.

Kwenda kinyume Na Ustawi wa Taifa lake.
 
Mkuu wewe unakijua kiingereza vizuri? Kama ndiyo mrekebishe wewe unayekijua basi. Yaani mtu aki skip herufi au neno moja ndiyo tayari hajui kiingereza? Haya mambo ndiyo yanayo letelezea watu kufikiri kujua kiingereza ndiyo kuelimika au kuwa msomi. Mbona Msema kweli ni mpenzi wa Mungu ni Dr lakini hajui kiingereza vizuri zaidi ya kisukuma. Ina maana yeye siyo miomi?!
When I back! Kama hujui kiingereza si uache tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[QUOTE="Erythrocyte, post: 34307124, member: 1092
Kwa maneno hayo tunachelea kuamini ya kwamba baadhi ya watu wenye kesi za uhujumu uchumi pengine ilitokana na hali Kama hii ya kwenda kinyume na fikra za bwana mkubwa
Mbona iko wazi sana !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…