Zitto Kabwe Mtegoni

Zitto Kabwe Mtegoni

Zitto anaogopa nini sasa,si alisema haogopi anajamba jamba tu
Ukitaka kupambana na serikali hakikisha upo msafi maeneo yote
Analalamikia sheria ya money laundering wakati ni yeye ndio alietunga,nakumbuka alikua anasimama kila dakika kurekebisha sentensi,koma na nukta ili hao aliowaita mafisadi wasitoke salama
Naam mchimba kaburi anaingia mwenyewe sasa
Alifanya hivyo kwa nia nzuri na sheria, kila nchi ina money laundering laws, sheria inapaswa kutumika kihalali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilimsikia kwa masikio yangu maana wakati huo bunge likirushwa live, akishadidia kupitishwa kwa hii sheria ya utakatishaji mwenyewe akisema ni muhimu ili kuzuia "wapigaji" na "upigaji"

Zitto Kabwe alalamikie mambo mengine naweza kumuunga mkono, lakini kwa kupitishwa na kutumika kwa sheria hii awe mpole tu, kwani alidhani anamtungia nani?
Zitto anacholalamika ni hiyo sheria kutumiwa vibaya kwake! Kama sheria haina shida kama itatumiwa vizuri eg sheria inakataza mtu kuiba, hiyo hiyo sheria naweza kutumika vibaya kwa kumsingizia mtu ni mwizi! Sijui kuna shida gani kuelewa hapo!
 
Nilidhani zitto kabwe kakamatwa na majini kumbe huu ujinga
 
Zitto anacholalamika ni hiyo sheria kutumiwa vibaya kwake! Kama sheria haina shida kama itatumiwa vizuri eg sheria inakataza mtu kuiba, hiyo hiyo sheria naweza kutumika vibaya kwa kumsingizia mtu ni mwizi! Sijui kuna shida gani kuelewa hapo!
Ndugu yangu Watanzania wote ni kama haya magari tunayoagiza kutoka Japan. Traffic police akiamua kukukagua kikamilifu lazima atakupata na makosa tu. Leo hii kwa life style ya watu wengi wa vipato vya kati na vya juu na viongozi wa kisiasa wakiwemo ukiamua kuwachunguza nyendo zao na vyanzo vya mapato yao lazima utawapata na dosari ya aina moja ama nyingine. Sasa kama kuna faini ya elfu thelathini kwa kila kosa la barabarani lazima ikuhusu na wewe hata kama kosa lako lilikua limejificha na sheria umeitunga mwenyewe

Kwanini mtunge sheria ya kuwanyima watu dhamana wakati kesi zinaendelea huku hata uchunguzi haujakamilika? Zitto na wenzake walipokua wanaitunga hii hawakujua kua wanatengeneza mtego wa panya ambao wanaweza kuingia na wao pia na kwamba kuna watu wataumizwa nayo?

Tupiganie kurekebishwa na kuondolewa kwa sheria hii na ile ya ugaidi kwasababu ni sheria mbaya, sio kwa sababu safari hii inambana Zitto Kabwe
 
Ndugu yangu Watanzania wote ni kama haya magari tunayoagiza kutoka Japan. Traffic police akiamua kukukagua kikamilifu lazima atakupata na makosa tu. Leo hii kwa life style ya watu wengi wa vipato vya kati na vya juu na viongozi wa kisiasa wakiwemo ukiamua kuwachunguza nyendo zao na vyanzo vya mapato yao lazima utawapata na dosari ya aina moja ama nyingine. Sasa kama kuna faini ya elfu thelathini kwa kila kosa la barabarani lazima ikuhusu na wewe hata kama kosa lako lilikua limejificha na sheria umeitunga mwenyewe

Kwanini mtunge sheria ya kuwanyima watu dhamana wakati kesi zinaendelea huku hata uchunguzi haujakamilika? Zitto na wenzake walipokua wanaitunga hii hawakujua kua wanatengeneza mtego wa panya ambao wanaweza kuingia na wao pia na kwamba kuna watu wataumizwa nayo?

Tupiganie kurekebishwa na kuondolewa kwa sheria hii na ile ya ugaidi kwasababu ni sheria mbaya, sio kwa sababu safari hii inambana Zitto Kabwe
Mi nadhani sheria iko sawa kama ikitumiwa vizuri!
 
Mi nadhani sheria iko sawa kama ikitumiwa vizuri!
Not in Africa brother, kama alivyowahi kusema Benjamin Netanyahu kua Waafrika ukiwapa silaha wanauwana wenyewe kwa wenyewe. Hiyo sheria ni kama silaha, na kwetu huku Africa lazima tuonyeshane ubabe na tutiane adabu. Dawa ni kuirekebisha. Makosa yote yawe na dhamana. Kutakua hakuna tena kuwekana ndani bila kufikishwa mahakamani
 
Ndugu yangu Watanzania wote ni kama haya magari tunayoagiza kutoka Japan. Traffic police akiamua kukukagua kikamilifu lazima atakupata na makosa tu. Leo hii kwa life style ya watu wengi wa vipato vya kati na vya juu na viongozi wa kisiasa wakiwemo ukiamua kuwachunguza nyendo zao na vyanzo vya mapato yao lazima utawapata na dosari ya aina moja ama nyingine. Sasa kama kuna faini ya elfu thelathini kwa kila kosa la barabarani lazima ikuhusu na wewe hata kama kosa lako lilikua limejificha na sheria umeitunga mwenyewe

Kwanini mtunge sheria ya kuwanyima watu dhamana wakati kesi zinaendelea huku hata uchunguzi haujakamilika? Zitto na wenzake walipokua wanaitunga hii hawakujua kua wanatengeneza mtego wa panya ambao wanaweza kuingia na wao pia na kwamba kuna watu wataumizwa nayo?

Tupiganie kurekebishwa na kuondolewa kwa sheria hii na ile ya ugaidi kwasababu ni sheria mbaya, sio kwa sababu safari hii inambana Zitto Kabwe
Mi naona hio sheria tuiache tu kama ilivyo boss,sababu kuna siku itakua ni zamu ya wana CCM ku-enjoy utamu wa hio sheria.


dodge
 
Nilimsikia kwa masikio yangu maana wakati huo bunge likirushwa live, akishadidia kupitishwa kwa hii sheria ya utakatishaji mwenyewe akisema ni muhimu ili kuzuia "wapigaji" na "upigaji"

Zitto Kabwe alalamikie mambo mengine naweza kumuunga mkono, lakini kwa kupitishwa na kutumika kwa sheria hii awe mpole tu, kwani alidhani anamtungia nani?

Shida iliyopo hii sharia inatumika vibaya na kisiasa imeumiza watu wengi sana na ndio malalamiko ya walio wengi.
 
Zitto anaogopa nini sasa,si alisema haogopi anajamba jamba tu
Ukitaka kupambana na serikali hakikisha upo msafi maeneo yote
Analalamikia sheria ya money laundering wakati ni yeye ndio alietunga,nakumbuka alikua anasimama kila dakika kurekebisha sentensi,koma na nukta ili hao aliowaita mafisadi wasitoke salama
Naam mchimba kaburi anaingia mwenyewe sasa

Hivi sheria ya money laundering Zitto ndiyo katunga halafu analalama? Je na hizi za chaguzi, katazo za mikutano, na nyingi zinazolalamikwa na kina Zitto nazo nani katunga? Au zipi ni za Zitto na zipi ni za Zungu, Msukuma, Ndugai au Nape?

'Watanzania wa leo mbona si wa jana?'

Tuko macho mno na hawa watu wasiojulikana kwa maana tumekuwa tukitaarifiwa na jiwe kuwa ati hamlali - be it wazi wazi, in disguise au kwa kuwatumia wenzetu pasi na kujua.

Hatushabikii tu issue zenu bali mjue nasi tunadadavua pia.

Namna ya kushughulika na watu hawa ni kuwa pre-empty na wanayotaka kufanya. Kelele za wanachotaka kufanya ni deterrent kuliko patriot batteries. Mrema wa TLP then alifanikiwa sana katika hili.

Mh. Zitto hatua hii ni njema. Hauko peke yako.
 
View attachment 1347892

Hii ni alarm ya hatari , yetu macho .
Kama kutekwa kwa CAG mstaafu ambako Zitto aliaminisha wote wasiotaka kutulia na kufikiria, wakaamini ni kweli. Mzee akaja kukana mchana kweupe kwamba amepewa.
Why do some people use all at their disposal to seek the attention of others?
 
Nilimsikia kwa masikio yangu maana wakati huo bunge likirushwa live, akishadidia kupitishwa kwa hii sheria ya utakatishaji mwenyewe akisema ni muhimu ili kuzuia "wapigaji" na "upigaji"

Zitto Kabwe alalamikie mambo mengine naweza kumuunga mkono, lakini kwa kupitishwa na kutumika kwa sheria hii awe mpole tu, kwani alidhani anamtungia nani?
kwa hiyo kama alishiriki kutunga basi ndio abambikiziwe kesi ya Uongo?

sh*t

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
 
Tunachoelewa kinachomwandama huyo kiumbe ni Laaana aliyopewa na wanaukoo. Wamemkataza asitumie jina la ukoo wao na wamemtaka atumie jina la Zitto Ruyaagwa na la kabwe lisiwepo.
Na wamepanga kumerusisha kwao inasemekana hata kabwe siyo dng wake [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] jamaaa yamemkuta. Alikataliwa Mwezi January,2020 kwenye kikao cha Familia yake.
Kwenye kikao hicho walimweleza kuwa ni Mbinafsi, Mbishi, Haheshimu Wazee wake, Ukoo wake na amekuwa hashiriki misiba ya ndugu zake labda yenye Maslahi kisiasa kwake.
Tuondolee porojo na fitna zako

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
 
Sesten Zakazaka,
Ndugu zake Zitto Kabwe wanajua uhuni wake mpaka wamemtenga kifamilia wewe ni nani ambaye kutwa unampamba wakati hujui hata kitofu chake kilipotumwa. Nakushauri muulize Zitto yaliyomkuta Mwandiga. Nitapost special thread
wewe ni mke wake Zitto?

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
 
Back
Top Bottom