Akitoa mada yake katika mazungumzo ya miaka 30 ya vyama vingi vya siasa, Zuberi Zitto Kabwe, alieleza kwamba kwa miaka mitatu tu, utawala wa JPM ulitengeneza masikini milioni nne, ambao,hapo awali, walikuwa wanajimudu kimaisha...
Nasikia Mbowe akaanda mazingira 2025 mtashinda kwa kishindo kikuuMagufuli hakuwahi kutegemea kura kupata madaraka toka alipokuwa mbunge. Wangalau ubunge wake wa kwanza ndio alipata kwa kura halali, lakini toka amekuwa mbunge, hakuwahi kuwa muumini wa ushindani wa haki. Alipokuwa rais kutokana na udhaifu wa katiba hii, akanajisi uchaguzi waziwazi. Hivyo bila kujali hali ya wananchi kimaisha, yeye angefia madarakani kama sio Mungu kuchukua hatua.
Wakulima wa korosho, wavuvi waliofilisiwa na Mpina na wafugaji ambao ng'ombe zao hazijulikani ziko wapi baada ya JPM na Mpina kuzikamata. Kariakoo iligeuka "mahame" mwanza ikafa kibiashara, Arusha na mbeya kwisha kaziNaona umebadili id kutoka kinembe hadi kiembe!
Ok.. Huyo Zito wako amesema hao watu walikuwa wanafanya kazi zipi zilizokuwa zinawapa utajili kisha wakawa masikini?
Zitto aendelee kuramba asali tu hakuna mtu atamlaumu
Nasikia Mbowe akaanda mazingira 2025 mtashinda kwa kishindo kikuu
Kwahiyo Mungu kamuwahi hahahaMagufuli hakuwahi kutegemea kura kupata madaraka toka alipokuwa mbunge. Wangalau ubunge wake wa kwanza ndio alipata kwa kura halali, lakini toka amekuwa mbunge, hakuwahi kuwa muumini wa ushindani wa haki. Alipokuwa rais kutokana na udhaifu wa katiba hii, akanajisi uchaguzi waziwazi. Hivyo bila kujali hali ya wananchi kimaisha, yeye angefia madarakani kama sio Mungu kuchukua hatua.
Kwahiyo Mungu kamuwahi hahaha
Naona umebadili id kutoka kinembe hadi kiembe!
Ok.. Huyo Zito wako amesema hao watu walikuwa wanafanya kazi zipi zilizokuwa zinawapa utajili kisha wakawa masikini?
Zitto aendelee kuramba asali tu hakuna mtu atamlaumu
Kumbe WB wana propaganda?Nyie washamba ndio mlikuwa mnalishwa hizo propaganda mfu na kuziamini.
Kwa hiyo hamtaki kwenda ikulu kabisa?Mbowe kafikia mwisho wa siasa, ataandaa mazingira gani ya 2025 boss? Bado unaoongelea habari za uchaguzi, kwani nchi hii kuna uchaguzi? Watu tuna mahesabu tofauti kabisa, sio hayo ya kwenda kupoteza muda kwenye mstari wa kura.
Kumbe WB wana propaganda?
Ikulu kwa hisani ya CCM ama?Kwa hiyo hamtaki kwenda ikulu kabisa?