Upuuzi mtupu!!!!!!
Ni mbumbumbu pekee atashabikia uharomaji uliouandika humu
Hivi ulishawahiona marekani ,Canada,australia,Sweeden Denmak n.k wanakuja nchi yoyote ya Afrika kuanika nyuchi zao na mambo yao ya ndani?
Au unataka kutuaminisha kwamba wao ni watakatifu?
Black Americans hawanyanyaswi Marekani?
Uingereza na washirika wao hawapangi vamizi za kuwaua mamilioni ya raia kote duniani?
Hawaibi mafuta nchi za kiarabu?
Au bado mnaamini kama mlovyoaminishwa kwamba wao ni "HE" na nyie ni "SHE" country hivyo mnaenda kwa waumezenu?
Hamna tofauti na jike shupa lililoolewa kisha kutwa nzima linashinda mtaani kuwaelezea vijana wa bodaboda namna ambavyo mumewe hamfikishi kisawasawa...... bado mnashabikia?
Kama ndivyo sawa nhoja niishie hapo nisijenikaingilia mambo yenu ya ukewenza
NB//
Hivi tujikumbushe yule aliyeamua kuianika marekani bwana Edward, S anayeishi uhamishoni kwa sasa na jinsi wamarekani wanavyohaha kumtafuta yeye au kichwa chake whether died or alive halafu sisi tunachukulia poa.....
Sent using
Jamii Forums mobile app