Zitto Kabwe na ujumbe wake watua Ulaya, shughuli imeanza rasmi

Yale yale ya Maalim sefu Alienda Marekani
Akaishia kujipigia tupicha ukumbini
Upinzani wa tanzania
Aliye waroga kisha kufa na dawa yake
Full Kucheza na Akili za Vibendera wao hovyo

Umejisahaulisha wewe mwenyewe ulikua mpiga debe wa ACT humu JF?

Wewe aliyekuroga dawa zake zili expire sio?

dodge
 
Hopeless comment! Subiri baada ya October utajua na wewe ukileta cha kuleta utajua kama maharage ni mboga!
Childish mentality. Hakuna anayetisha watu yeye akabaki salama. Akina Samuel Doe, Muamar Gaddafi, Saddam Hussein (Rip) laiti kama wangekuwepo, wangetupa ushuhuda, tena mzuri tu.

History is not on the side of those tyrants who live by the sword, refer Matthew 26:52
 
Asiache kupita World Bank kuhakikisha jamaa hapati ule mkopo asilani.. maana anaweza kupewa mkopo wa Elimu, kichaa chake kikamtuma akaagiza Mindege.
 
Mh mbona jengo lenyewe kama wako bongo ni ulaya hapo?
Sasa unadhani wabeba mabox wanatakuwa wanaishi masaki ya ulaya? na wenyewe wanaishi kule uswazi ma mbagala ya ulaya lakini wakija bongo wanajifanya bab kubwa
 
Tunaitaji watu zaidi kama Zitto katika nchi..., wote hatuwezi kuwa na mawazo sawa na wale wenye mawazo tofauti na sisi ndio chachu ya maendeleo na sio wale wanaokubaliana na lolote tunaloliona ni sawa..., Tuwafundishe vijana wate kuwa na misimamo yao na kuisimamia misimamo yao no matter wangapi wanakubaliana nao.
 
Usipotishe, wapo... namfahamu mmoja alisoma Songea Girls akapata mimba akiwa foem two. Akalea kwa mida mfupi akahamia Peramiho girls akamaliza. Sasa ni mwalimu huko Songea
 
Kwa kusaliti watanzania wenzako???too low eti kwa sababu hana nasaba na JPM chuki zake hazina mashiko
 
Kwa kusaliti watanzania wenzako???too low eti kwa sababu hana nasaba na JPM chuki zake hazina mashiko
Usaliti ni nini ?, na Anawasaliti kwenye nini ?
Hakuna jambo baya duniani kama kuisaliti nafsi yako, wewe unachokiona kinafaa binafsi..

Kwahio hata kama wewe unaona ndugu zako wanapotoka (hata kama sio kweli ila kwa maono yako unaona ni hivyo) je uendelee kutetea upotofu wao kwa minaajili ya kwamba ni ndugu zako ndio wanafanya huo upotofu...

Na sisi ndugu zake kama tunajiamini tunachofanya ni sawa tuonaogopa nini so called uongo wake ?, si tumuache tu na kumpuuza kuliko kuita kila analofanya ni usaliti so long as ni tofauti na sisi fikra zetu...

All in all Kudos kwa msimamo wake no matter anasimamia wapi... na tuache hizo propaganda za kuita watu wasaliti badala ya kupingana na hoja inayoongelewa
 
Kaenda kusiliba mkopo wa shule, mwanangu akikosa Ada ninae?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…