Yale yale ya Maalim sefu Alienda Marekani
Akaishia kujipigia tupicha ukumbini
Upinzani wa tanzania
Aliye waroga kisha kufa na dawa yake
Full Kucheza na Akili za Vibendera wao hovyo
Childish mentality. Hakuna anayetisha watu yeye akabaki salama. Akina Samuel Doe, Muamar Gaddafi, Saddam Hussein (Rip) laiti kama wangekuwepo, wangetupa ushuhuda, tena mzuri tu.Hopeless comment! Subiri baada ya October utajua na wewe ukileta cha kuleta utajua kama maharage ni mboga!
mnaandika kwa mashinikizo hadi mnachanganyikiwa ! mnatumikishwa tu kama misukule kwa gharama duni ya elfu 7 .Ipi mbona sikumbuki mkuu?
Nikitaka kupata kichekesho kingine kama hiki nasubscribe wapi?Huyu ni mtu mwingine. Ameanza na mkopo wa WB ambao Meko alitaka kutumia kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu 2020.
Sasa anakamilisha taratibu za kumburuza (Meko) kule the Hague.
Mwaka huu mnae, dadadeki!
Sent using Jamii Forums mobile app
Asiache kupita World Bank kuhakikisha jamaa hapati ule mkopo asilani.. maana anaweza kupewa mkopo wa Elimu, kichaa chake kikamtuma akaagiza Mindege.View attachment 1338320
Tayari Mh Zitto Kabwe na ujumbe wake wameanza kazi iliyowapeleka Ulaya , wameishakutana na Makundi kadhaa ya watetezi wa haki za binadamu kwa lengo la kunusuru demokrasia ya Tanzania .
Sisi wapenda haki na demokrasia ambao ni Wazalendo wa kutupwa tuko tayari kuunga mkono juhudi zozote zinazofanywa ili kuunganisha nchi iliyogawanywa makusudi na watu waoga
Zitto 2020 hatorudi bungeni never, huyu jamaa akiondolewa bungeni lazma atafute nchi ya kukimbikia kama mkimbizi wa kisiasa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah! Unauzoefu na mageto, hadi leo unaendelea kuzama kwenye mageto ya vijana?
Sasa unadhani wabeba mabox wanatakuwa wanaishi masaki ya ulaya? na wenyewe wanaishi kule uswazi ma mbagala ya ulaya lakini wakija bongo wanajifanya bab kubwaMh mbona jengo lenyewe kama wako bongo ni ulaya hapo?
Usipotishe, wapo... namfahamu mmoja alisoma Songea Girls akapata mimba akiwa foem two. Akalea kwa mida mfupi akahamia Peramiho girls akamaliza. Sasa ni mwalimu huko SongeaOK noted
Tuache ushabiki kwa waliosoma zamani, Hivi lini mwanafunzi aliyepata mimba alirudi darasani tukasoma nae tena, Wengi waliacha kimya kimya
Mambo yalikuwa kimya kimya Sana, Tatizo la sasa watoto wanajua kuoga na kupendeza mambo ya Dot. COM Haya
Wanafunzi wanajipenda na kupendeza kuliko Mama zao wanaowalipia ada Unategemea boga litabaki boga lazima ua lipendwe
Serikali ikishapitisha sheria rasmi wengi watatoa ahadi kuwalipia ada hao wanafunzi
Kwa kusaliti watanzania wenzako???too low eti kwa sababu hana nasaba na JPM chuki zake hazina mashikoTunaitaji watu zaidi kama Zitto katika nchi..., wote hatuwezi kuwa na mawazo sawa na wale wenye mawazo tofauti na sisi ndio chachu ya maendeleo na sio wale wanaokubaliana na lolote tunaloliona ni sawa..., Tuwafundishe vijana wate kuwa na misimamo yao na kuisimamia misimamo yao no matter wangapi wanakubaliana nao.
Usaliti ni nini ?, na Anawasaliti kwenye nini ?Kwa kusaliti watanzania wenzako???too low eti kwa sababu hana nasaba na JPM chuki zake hazina mashiko
Kaenda kusiliba mkopo wa shule, mwanangu akikosa Ada ninae?View attachment 1338320
Tayari Mh Zitto Kabwe na ujumbe wake wameanza kazi iliyowapeleka Ulaya , wameishakutana na Makundi kadhaa ya watetezi wa haki za binadamu kwa lengo la kunusuru demokrasia ya Tanzania .
Sisi wapenda haki na demokrasia ambao ni Wazalendo wa kutupwa tuko tayari kuunga mkono juhudi zozote zinazofanywa ili kuunganisha nchi iliyogawanywa makusudi na watu waoga
Hao watu wasiozidi 10 sio viongozi bali ni jumuiya kwa ujumla wake ya watanzania nchini Uingereza ambao wengi ni "Wapemba waliojilipua"!
Kwa kukusaidia, Jumuiya ya watanzania nchini Uingereza kwa ujumla ni wanaCCM ndio maana waliohudhulia hawafiki hata 10!
Huoni hata ukumbi mzuri wameshindwa kukodi badala yake wanafanyia mkutano kwenye one bedroom ya Council house/Housing Association!
By the way, hivi ziara za Maalim Seif ziliishia wapi?
Ama kweli ukitaka kusikia tena kichekesho hiki andika message ''Zitto UK'' na utume kwa ACT-Wazalendo!
Wewe unalipwa kiasi gani na Saccos?mnaandika kwa mashinikizo hadi mnachanganyikiwa ! mnatumikishwa tu kama misukule kwa gharama duni ya elfu 7 .