Hivi wajua ?? Zitto anakula laki 3 kila siku kama posho ya kazi kwenye kikosi kazi alichounda mhe rais kinachoongozwa na prof. Mukandara.Zitto katisha sana hapo tena pembeni ana buyu lake la asali ni mwendo wa kufyonza tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wajua ?? Zitto anakula laki 3 kila siku kama posho ya kazi kwenye kikosi kazi alichounda mhe rais kinachoongozwa na prof. Mukandara.Zitto katisha sana hapo tena pembeni ana buyu lake la asali ni mwendo wa kufyonza tu.
Kama ndo hivo haya ni matumizi mabaya ya kodiHivi wajua ?? Zitto anakula laki 3 kila siku kama posho ya kazi kwenye kikosi kazi alichounda mhe rais kinachoongozwa na prof. Mukandara.
Alafu lkesho at fyucha izi papoAlipozungumza kwenye mkutano wa rais amesema Rais ameleta utulivu wa kisiasa kwa nchi yetu hasa baada ya kuunda kikosi kazi.
Amesema Rais Samia ana dhamira ya dhati ya kufanya mambo makubwa kwa taifa letu, akiwaomba wananchi wampokee na kumuunga mkono.
---
View attachment 2391123
"Rais wetu ana dhamira njema sana, ana maono na matamanio makubwa sana sio kwa nchi bali pia kwa Kigoma, niongee kama mwami, mama huyu hapa mpokeeni, tufanye naye kazi, tushirikiane naye tulete mabadiliko katika nchi" - Zitto Kabwe
Nyamaume nimechelea kukuita wewe ndiye zezeta kwa sababu najua hukudhamiria. Aliyekuambia Zitto ana ulazima wa kufanya mikutano au kuona ACT inakubalika ni nani? ACT anaitumia kama chombo cha kupiga madili yake tu , huyu ahata anyimwe kufanya maikutano maisha lakini apewe anachotaka ni poa tu. Huyu siyo mwanasiasa wa kuonea Tanzania au watanzania huruma. Tumbo lake likijaa mambo hana mpango na mengine.Zitto ni zezeta, juzi kule Songea mkoani Ruvuma, ACT Wazalendo wamekataliwa kufanya mkutano kwa kisingizio kwamba mikutano na mikusanyiko yote hairuhusiwi sababu ya tishio la ugaidi, lakini jioni hiyohiyo Mwamposa akafanya mkutano mkubwa sana nanukaendelea kwa siku tatu
ChawaAlipozungumza kwenye mkutano wa rais amesema Rais ameleta utulivu wa kisiasa kwa nchi yetu hasa baada ya kuunda kikosi kazi.
Amesema Rais Samia ana dhamira ya dhati ya kufanya mambo makubwa kwa taifa letu, akiwaomba wananchi wampokee na kumuunga mkono.
---
View attachment 2391123
"Rais wetu ana dhamira njema sana, ana maono na matamanio makubwa sana sio kwa nchi bali pia kwa Kigoma, niongee kama mwami, mama huyu hapa mpokeeni, tufanye naye kazi, tushirikiane naye tulete mabadiliko katika nchi" - Zitto Kabwe
hoja zijibiwe kwa hoja zisipigwe virungu.Palipo na udhia, penyeza rupia.