Zitto Kabwe: Nakushukuru Rais Samia kwa kudumisha utulivu wa kisiasa kwenye taifa letu

Zitto katisha sana hapo tena pembeni ana buyu lake la asali ni mwendo wa kufyonza tu.
Hivi wajua ?? Zitto anakula laki 3 kila siku kama posho ya kazi kwenye kikosi kazi alichounda mhe rais kinachoongozwa na prof. Mukandara.
 
Hivi wajua ?? Zitto anakula laki 3 kila siku kama posho ya kazi kwenye kikosi kazi alichounda mhe rais kinachoongozwa na prof. Mukandara.
Kama ndo hivo haya ni matumizi mabaya ya kodi
 
kudumisha utulivu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Lingekuwa ni jambo la Busara sana mkaisikilize Hotuba ya Mwami ndio mje kuishutumu.
 
Alafu lkesho at fyucha izi papo
 
Nyamaume nimechelea kukuita wewe ndiye zezeta kwa sababu najua hukudhamiria. Aliyekuambia Zitto ana ulazima wa kufanya mikutano au kuona ACT inakubalika ni nani? ACT anaitumia kama chombo cha kupiga madili yake tu , huyu ahata anyimwe kufanya maikutano maisha lakini apewe anachotaka ni poa tu. Huyu siyo mwanasiasa wa kuonea Tanzania au watanzania huruma. Tumbo lake likijaa mambo hana mpango na mengine.
 
Chawa
 
Kwani aliikuta nchi iko vitani kwamba vyama vya upinzani vipo msituni vikipambana na mgambo wa CCM?
Aka kajamaa unafiki wake ni wa kiwango Cha chuma cha Mchuchuma na Liganga,hapo kanatengeneza Mazingira ya kurudi Bungeni.Alafu kitu hawajui Mama Msafiri hapendi sifa za kifalafala.Bure kabisa!!
 
Palipo na udhia, penyeza rupia.
hoja zijibiwe kwa hoja zisipigwe virungu.
wasomi kama wemwe ni mmoja wapo hujibu hoja, hawakurupuki na kuhitimisha mijadala. huo ni ukasuku. kasuku huitika na kuimba wimbo wowote
je na wewe ni kasuku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…