Zitto Kabwe ni Mpinzani au mpenda madaraka?

Zitto Kabwe ni Mpinzani au mpenda madaraka?

Utakuwa mtu wa ajabu sana ku question uwezo, vision na objectives za zitto kwa kipindi hili ambacho IS THE ONLY PERSON ambaye kasimama kidete kama mpinzani

hao unaowataka au kuwasema wewe wako wapi? ni nani na nani???
Mkuu Waberoya, ni siku nyingi sana nimegundua kuwa humu jukwaani, ni watu wachache sana wana uwezo kwa kuona vision na objectives za watu wenye uwezo kama wa Zitto. Zitto ni levels za Prof. Kitila Mkumbo, ni a real and a true political strategist.

Chadema walipomfukuza Kitila na Zitto, niliwaeleza humu kuwa hawana watu wa caliber hiyo ndani yao hivyo they are going to suffer, hawakuamini. Sasa Zitto Kabwe asipogombea urais, yeye ndie anakwenda kuwa KUB katika Bunge lijalo na ACT ndio kinakwenda kuwa chama kikuu cha upinzani. Chadema is going to be reduced to nothing!.

Kuna Uwezekano CHADEMA Inaelekea Kwishney? Zitto amebadili Online Trend...

P
 
Hujui kuwa kuimba ni kupokezana?

Kwani kuna ubaya gani wa chama kingine kikawa kikuu cha upinzani? Cdm ilichukua hiyo nafasi kwa cuf mbona haikuwa stori? Wacheni kudanganya watu ili kutetea ugali wenu.

Wana cdm tunajua nini serikali imekusudia kwa cdm hilo halina ubishi na tupo tayari kuyapokea maana hakuna aliye tuandikia barua ya wito ili tujiunge cdm.
Mkuu Waberoya, ni siku nyingi sana nimegundua kuwa humu jukwaani, ni watu wachache sana wana uwezo kwa kuona vision na objectives za watu wenye uwezo kama wa Zitto. Zitto ni levels za Prof. Kitila Mkumbo, ni a real and a true political strategist.

Chadema walipomfukuza Kitila na Zitto, niliwaeleza humu kuwa hawana watu wa caliber hiyo ndani yao hivyo they are going to suffer, hawakuamini. Sasa Zitto Kabwe asipogombea urais, yeye ndie anakwenda kuwa KUB katika Bunge lijalo na ACT ndio kinakwenda kuwa chama kikuu cha upinzani. Chadema is going to be reduced to nothing!.

Kuna Uwezekano CHADEMA Inaelekea Kwishney? Zitto amebadili Online Trend...

P

In God we Trust
 
Wanajamvi nimekutana pahala na tweet ya Zitto Kabwe lkn baada ya kuusoma nimepatwa na mashaka makubwa juu ya huyu mtu.

Anaonekana anachopigania ni kuhakikisha anapata madaraka tu na siyo kuwa mtetezi wa wananchi kama anavyo jitanabaisha majukwaani.

Tuwe makini sana na wana siasa kama hawa. View attachment 1375687

In God we Trust
Dah...Chifu siku ukimpata mwanasiasa asiyependa madaraka naomba unitag[emoji41]

Sent using Beretta ARX 160
 
Aaaaaa aaaaaa aaaaaa Roho mbaya bhana
Dah...Chifu siku ukimpata mwanasiasa asiyependa madaraka naomba unitag[emoji41]

Sent using Beretta ARX 160

In God we Trust
 
Hahahaaaa! Yaani Mrundi awe state agent wa Tz! Chama chenyewe cha Membe afu mtu mwenyewe sasa ndo wa fursa kila kukicha.

CHADEMA ya akina Marando walimung'amua mapema lakini haishi kuwasalimia akina TL ili tu aishi kisiasa. Kumbuka wakati ule anauza siri za Chama kwa Membe.

Tunayajua madudu mengi sana aliyofanya wakati akimtishia Dau wa NSSF ili apige noti. Hata kuishi kwake kwenye hayo maflati akiwa halipi kodi tunajua.

Unakumbuka sakata la kupewa gari na tajiri mkono?

Tunajua alivyokuwa akitegea apate uwaziri wa nishati wakati Magu alipoukwaa mjengo, afu aliponyimwa akaamua kumwaga mboga kama tunavyomuona.

Fursa za kujiunga na magenge ya wahuni kuiandikia WB hela za shule bure zisije. Hata kupiga picha na yule demu aliyechana hotuba ya Trump zote fursa.

Kile kikundi cha kisanii kwa ajili ya upigaji cha LEKATUGiTE sijui nacho alikianzisha kwa lengo la fursa.

Ona katika Chama cha Membe cheo chake ndo utajua alivyo. Kuungana na akina Seif pia haikuja kwa bahati mbaya ni mpangilio wa fursa inayokaribiana na kamari.

Huyu hajawahi kuwa na huruma na Tz hata kama mkiuana yeye kazi yake ni kupata urais. Huko kwao alishashindwa kwa sababu ya wababe wa kivita ndo maana anajaribu karata yake hapa.

Siku akiupata urais nadhani atatuamrisha kumbeba barabarani IDD Amin akasome!





Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo leo ACT imegeuka kuw ya Membe wakati kinaanza mlisema cha Lowassa baadae Lowassa akachukuliwa na CHADEMA, leo mnasema cha Membe... Jamani hivi uwa mnakumbukumbu kweli ya maneno mnayosema kweli?
 
Umerogwa wewe kwa kukubali kuwa mfagizi wa lumumba

In God we Trust
Hapo misungwi mwenyewe unaona maisha umeyapatia dunia inakuangalia tu!
IMG-20200301-WA0007.jpeg
 
Wanajamvi nimekutana pahala na tweet ya Zitto Kabwe lkn baada ya kuusoma nimepatwa na mashaka makubwa juu ya huyu mtu.

Anaonekana anachopigania ni kuhakikisha anapata madaraka tu na siyo kuwa mtetezi wa wananchi kama anavyo jitanabaisha majukwaani.

Tuwe makini sana na wana siasa kama hawa. View attachment 1375687

In God we Trust
Kwani uongo?
We si ulisema Zitto anajitambua leo kakupa maneno ya kuudhi umemfungulia thread
 
Kama maswahiba wake wakubwa Kitila Mkumbo na Kafulila wameshindwa kumuelewa itakuwa mimi na wewe?
Mkuu Mingoi, amini nakuambia Prof. Kitila Mkumbo anamuelewa sana Zitto, na kwa vile sasa Kitila yuko CCM, atakuwa amemweleza, Magufuli, apart from Tundu Lissu, who is already done, Zitto Zuberi Kabwe is the only one to watch carefully now who will spoil the 99.9% victory party on early November this year!.
P
 
Hapo ajabu iko wapi?
Kwani Zitto ni baba yangu?
Kwani uongo?
We si ulisema Zitto anajitambua leo kakupa maneno ya kuudhi umemfungulia thread

In God we Trust
 
Wakuu huenda hamtamsikia tena Zitto akikosoa Serikali tukufu na kama atakosoa basi ni ile kosoa ya juu juu ambayo hata wana CCM wanazifanya.

Ni kwamba hilo ni moja ya sharti kuu walio pewa pale Ikulu ili basi waweze kupata pesa za kusimika wagombea nchi nzima.

Inadaiwa muda sio mrefu Zitto ataandika barua kwenda Benki ya Dunia kwamba kwa sasa wanaweza endelea na mchakato wa kutoa mkopo kwa Tanzania.Hii ilizungumzwa pia Ikulu.

Pia Zitto kaambiwa akae mbali mno na mtu anaye ita Tundu Lisu, hivyo usitarajie tena kusikia Zitto akimuongelea Lisu kwa mazuri.

Mjumbe hauwawi.
 
Na kweli, tangu Seif atoke ikulu jamaa kimya.

Chama cha upinzani Tanzania ni CHADEMA pekee, kinapambana kwa uwezo wake bila kusaidiwa na yeyote; dhidi ya CCM, vibaraka wake, polisi, tume ya uchaguzi, wakuu wa mikoa na wilaya, wakurugenzi wa majiji na manispaa.

Hakika CHADEMA wanajitahidi sana, na wasiogope wapambane mpaka mwisho, liwalo na liwe, jamaa anajitahidi kuwapoteza but chama hakitapotea, mwisho wa siku kitarudi tu, yeye ndie atakaepotea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Very possible and makes a lot of sense .... Ila ni ngumeu kuamini!!

Haiwezekani Zitto asicomment chochote mpaka sasa kuhusiana na huo mwaliko ..... Lakini kama hayo ni kweli na akakubali basi he is a weak leader na hafai kabisa kuwa kiongozi wa nchi kama ndoto zake zinavyomtuma!!

cc Zitto
 
Huyo jamaa mnayemuita Jiwe hana anachofanya ni kutengeneza mazingira ya kuwapumbaza wale mabwana wa kule nje ili waendelee kutoa fedha. Wenye akili tunajua, hayo maigizo watakayoyaamini ni mazoba tu.
 
Wakuu huenda hamtamsikia tena Zitto akikosoa Serikali tukufu na kama atakosoa basi ni ile kosoa ya juu juu ambayo hata wana CCM wanazifanya.

Ni kwamba hilo ni moja ya sharti kuu walio pewa pale Ikulu ili basi waweze kupata pesa za kusimika wagombea nchi nzima.

Inadaiwa muda sio mrefu Zitto ataandika barua kwenda Benki ya Dunia kwamba kwa sasa wanaweza endelea na mchakato wa kutoa mkopo kwa Tanzania.Hii ilizungumzwa pia Ikulu.

Pia Zitto kaambiwa akae mbali mno na mtu anaye ita Tundu Lisu, hivyo usitarajie tena kusikia Zitto akimuongelea Lisu kwa mazuri.

Mjumbe hauwawi.
post clip hapa tusikie au kuona wenyewe!
 
Back
Top Bottom