Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa! Yaani Mrundi awe state agent wa Tz! Chama chenyewe cha Membe afu mtu mwenyewe sasa ndo wa fursa kila kukicha.Hakika mkuu huyu jamaa haeleweki kabisa, kama siyo state agent basi atakuwa ni mtafuta madaraka
In God we Trust
Kwani huyo aliyeko madarakani leo anampigania nani ka si tumbo lake na familia yake?? Just call a spade a spade and not a big spoon. Msione kuleee kumbe hata hapa karibu yapoZzk anampigania nani?? wee sema tu anapigania tumbo lake na familia yake.
Kuna mwanasiasa yoyote asiekuwa mtafuta madaraka?Hakika mkuu huyu jamaa haeleweki kabisa, kama siyo state agent basi atakuwa ni mtafuta madaraka
In God we Trust
Wanajamvi nimekutana pahala na tweet ya Zitto Kabwe lkn baada ya kuusoma nimepatwa na mashaka makubwa juu ya huyu mtu.
Anaonekana anachopigania ni kuhakikisha anapata madaraka tu na siyo kuwa mtetezi wa wananchi kama anavyo jitanabaisha majukwaani.
Tuwe makini sana na wana siasa kama hawa. View attachment 1375687
In God we Trust
Utakuwa mtu wa ajabu sana ku question uwezo, vision na objectives za zitto kwa kipindi hili ambacho IS THE ONLY PERSON ambaye kasimama kidete kama mpinzani
hao unaowataka au kuwasema wewe wako wapi? ni nani na nani???
Zitto tumesha mstukia kuwa ni state agent. Hilo halina ubishi na anatanguliza tumbo lake na siyo kuwapigania watanzania
In God we Trust
Kwahiyo na wewe ni mwanasiasa?Mimi sitafuti madaraka bali nawapigania wananchi wanyonge
In God we Trust
Utakuwa mtu wa ajabu sana ku question uwezo, vision na objectives za zitto kwa kipindi hili ambacho IS THE ONLY PERSON ambaye kasimama kidete kama mpinzani
hao unaowataka au kuwasema wewe wako wapi? ni nani na nani???
Asante mkuuKaribu sana tupige Kayooga
In God we Trust
Ugomvi wa Chadema na ACT sio kiwania Dola bali nafasi ya Kiongozi wa Upinzani Bungeni kwa sababu wote wanatambua Ikulu ni ya Ccm 2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudia kusoma utajua kosa lako!Tatizo lako hujui hata kusoma, alafu wewe ndiyo ccm wanakutegemea kuwa mwana propaganda wao,
Hapo nini hakisomeki wewe Kipara?
In God we Trust
Mkuu Waberoya, mifano mingine siyo, ni ya udhalilishaji!. Unamaanisha nini kumuuliza Mmawia atajisikiaje akisikia Waberoya anatoka na mama yake Mmawia?!. Kisha leo ndio Mmawia akaambiwa Waberoya ndio baba yake!, Hivyo unamuuliza Mmawia kama atataka kuthibitisha kwa DNA kama ni kweli wewe Waberoya ndio baba yake au sio!. Mifano gani hii?!.Unajisikiaje mtaani ukisikia waberoya anatoka na mama yako kisha ukaambiwa leo mimi ni baba yako? Uta confirm tena kwa DNA, maana huyo anaweza hata akawa hana uhakika kama ni mimi au mwingine kuwa nani.. baba yako