Zitto Kabwe ni Mpinzani au mpenda madaraka?

Zitto Kabwe ni Mpinzani au mpenda madaraka?

Muzinaaaaaaaaaa
IMG-20200303-WA0072.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo nimepita lumumba nimesikia wanakulaumu juu ya uzi wako ulio pandishaga kuilaumu ccm, jitazame isije ukakosa kibarua ndugu yangu
Hasara kubwa kwa wazazi

In God we Trust
 
Naona imekuuma baada ya kugundua virusi vyenu ndani ya upinzani
Kwanini tumjadili zitto nae ameamua kuandika kile alichoamua kwenye akili yake kama wewe siku zote unazoandika na wala hujadiliwi!

In God we Trust
 
Mbatia leo kawaaibisha wazee wa matusi.

Mnapenda sana matusi, jifunzeni siasa za kujenga hoja.
Mbatia na wewe akili zenu sawa mnaongozwa na njaa

In God we Trust
 
Hata wewe mramba viatu kuna sehemu unakosea maana haiwezekani kila kitu kinachofanyika lazima kina kufurahisha

In God we Trust
Mkuu haiingii akilini mtu unakuwa unapinga tu for 30 years. Yaani Kila utawala wewe unaupinga tu, hakuna jambo lolote unalokubali kuwa limefanyika sahihi. Lazima utakua na matatizo sio bure.
 
Lengo la mwanasiasa yoyote ni kupata madaraka na kutumia platform hiyo either kujinufaisha yeye au kupigania haki za wanyonge.Sasa ww kwa akili zako unafikir lengo la Zitto kufany siasa ni kuimba ngonjera tu...mbona mna akili fup hivyo
Wanajamvi nimekutana pahala na tweet ya Zitto Kabwe lkn baada ya kuusoma nimepatwa na mashaka makubwa juu ya huyu mtu.

Anaonekana anachopigania ni kuhakikisha anapata madaraka tu na siyo kuwa mtetezi wa wananchi kama anavyo jitanabaisha majukwaani.

Tuwe makini sana na wana siasa
 
Wanajamvi nimekutana pahala na tweet ya Zitto Kabwe lkn baada ya kuusoma nimepatwa na mashaka makubwa juu ya huyu mtu.

Anaonekana anachopigania ni kuhakikisha anapata madaraka tu na siyo kuwa mtetezi wa wananchi kama anavyo jitanabaisha majukwaani.

Tuwe makini sana na wana siasa kama hawa. View attachment 1375687

In God we Trust

So we mkuu unataka kusema JPM hayuko kwa ajili ya wananchi. And nani Sasa DJ au Lissu ndo hawataki madaraka. Embu acha Utoto basi mkuu. Kila mwanasiasa anataka madaraka. Iwe JPM au Mbowe nk. So stop nonsense.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmawia;
Huna haja ya kuambiwa "Ona" ndo uamini kuwa huu ndo ukweli. Kule Zenj, hakuna yeyote awezaye kusimama hata na bebdera tu ya kijani aishinde. Ni mmoja tu naye ni Maalim. Hivyo, japo hatapewa uongozi basi ndo atakuwa mshirika kule. na hicho ndo alimaanisha Zitto kuwa tutakuwa washirika kwenye serekali mojapo.
Swali ni kuwa, We mlete hoja, uliona nini kwenye tweet ya Zitto hata kusema; Mpenda cheo huyu wala sio kupigania wananchi?? Hivi; inamaana kuwa; Zitto akigombea uongozi kwako ni kwamba anapenda madaraka?? Atapiganiaje wananchi asipoongoza?
Zzk anampigania nani?? wee sema tu anapigania tumbo lake na familia yake.
 
Back
Top Bottom