Zitto Kabwe ni Mpinzani au mpenda madaraka?

Zitto Kabwe ni Mpinzani au mpenda madaraka?

Acha Lisu hata aende na mke wake, na hata ikiwa vipi aende ccm kabisa, sisi kwetu upinzani uko kwenye damu. Ukweli tunajua ccm hutumia nguvu zote kupambana na chama chochote cha upinzani chenye nguvu, hivyo haya yanayotokea kwa cdm hata kikitokea chama chochote kikawa na nguvu kitafanyiwa Uhuni hivyo hivyo. Uzuri sasa hivi wananchi wengi tunajitambua kuwa ccm ndio adui yetu, kwenye hilo hatukosei.
Wanasema wananchi adui yetu ccm wakati wananchi hao hao wanaipigia kura ccm!
 
Wanasema wananchi adui yetu ccm wakati wananchi hao hao wanaipigia kura ccm!

Ccm haishindi kwa kura, ccm iliyokuwa ikishinda kwa kura ni ya enzi za Nyerere wananchi wakiwa kwenye usingizi mzito. Kwa wananchi hawa tutaendelea kuona, ukatili na uhayawani wa wazi ili ccm itangazwe washindi. Mfano mrahisi wa ushindi wa ccm ni ule uchafu wa serikali za mitaa, weka idadi ya kura walizopata ccm. Ile kutoka na mabox ya kura kutoka kwenye vituo vya kura kwenda kujaza za ccm kwa uratibu wa jeshi la polisi, ndio kura za wananchi?
 
Malengo makuu ya chama cha siasa ni kushika atamu,Shida iko wapi hapo kwenye andiko la zito ?,minaona hapo kalenga zaidi zanzibar.

moja kati ya mambo yataifanya ccm ikae zaidi madarakani ni upinzani kuwa wapinzani wao ndani ya vyama na nje ya vyama,katibu amuamini mwenyekiti wake,chama A kinakituhumu chama B,

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu chadema wanaumia sana wakiona ACT inachukua nafasi yao.

Siku Membe na Lisu wakitimkia ACT, mleta mada atakufa kwa presha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanataka Zk aisifie chadema akiwa Act, wanasahau kua hata viongozi wa cdm zaidi ya mara moja washatamka wazi kua wanategemea kushika dola 2020.
Tusubir tuone lakini walau uhakika wa 80% kuwa seif atapiwa kura zinampa guts za kusema aliyosema.
Ila Zitto ahspakaziwa mengi jamani, alishapakaziwa kuwa alianzisha ACT akiwa anamwakilisha Lowassa ila baadae tuliona Lowassa alikoenda.
Siku Mbowe alipoenda Mwanza kwenye sherehe za Uhuru ingelikwa Zitto ndiye kaenda sijui mngesemaje, lakini Mbowe alisifiwa sana.
Sasa leo kibao kimegeuka Mbowe hajaenda Ikulu wengine wameenda basi hapo ndipo walioenda wameonekana wabaya.
Siasa za Tanzania bwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ccm haishindi kwa kura, ccm iliyokuwa ikishinda kwa kura ni ya enzi za Nyerere wananchi wakiwa kwenye usingizi mzito. Kwa wananchi hawa tutaendelea kuona, ukatili na uhayawani wa wazi ili ccm itangazwe washindi. Mfano mrahisi wa ushindi wa ccm ni ule uchafu wa serikali za mitaa, weka idadi ya kura walizopata ccm. Ile kutoka na mabox ya kura kutoka kwenye vituo vya kura kwenda kujaza za ccm kwa uratibu wa jeshi la polisi, ndio kura za wananchi?
Figisu zipo hatukatai ila lazima tukubali ukweli kwamba pamoja na hayo bado ccm wana mtaji mkubwa tu wa wapiga kura,bado wapo watu hadi leo wana mapenzi na ccm na huipigia kura.

Hivyo tuache kuaminishana kwamba wananchi wote huichukia ccm na ushindi wa ccm ni wa wizi tu.
 
Wanajamvi nimekutana pahala na tweet ya Zitto Kabwe lkn baada ya kuusoma nimepatwa na mashaka makubwa juu ya huyu mtu.

Anaonekana anachopigania ni kuhakikisha anapata madaraka tu na siyo kuwa mtetezi wa wananchi kama anavyo jitanabaisha majukwaani.

Tuwe makini sana na wana siasa kama hawa. View attachment 1375687

In God we Trust
Huyo Zitto sio wa kumuamini...msaliti huwa aaminiki kamwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajamvi nimekutana pahala na tweet ya Zitto Kabwe lkn baada ya kuusoma nimepatwa na mashaka makubwa juu ya huyu mtu.

Anaonekana anachopigania ni kuhakikisha anapata madaraka tu na siyo kuwa mtetezi wa wananchi kama anavyo jitanabaisha majukwaani.

Tuwe makini sana na wana siasa kama hawa. View attachment 1375687

In God we Trust
Labda ndicho Maalim alichoahidiwa ikulu.
 
Mbowe ni mwenyekiti wa muda wote,

Membe anakibiza ndoto yake.

Lipumba bado tu ni mwenyekiti.

Zito ni mbinafsi na kutoa taarifa zisizo sahihi.

Sasa sijui ni wapi kuna unafuu??

Binafsi naona kama hatuna wapinzani ambao wanasadia kukuza demokrasia, mimi navyoona hapa tunao wajasilia siasa, haiwezekani mtu ukawa mpinzani tu kwa zaidi ya miaka 30??

Ina maana wewe hakuna unaloona linafanyika sahihi?? Yaani unapinga tu kwa miaka 30?? Kuna tatizo mahali. Tujisahihishe.
 
Hata wewe mramba viatu kuna sehemu unakosea maana haiwezekani kila kitu kinachofanyika lazima kina kufurahisha
Mbowe ni mwenyekiti wa muda wote,

Membe anakibiza ndoto yake.

Lipumba bado tu ni mwenyekiti.

Zito ni mbinafsi na kutoa taarifa zisizo sahihi.

Sasa sijui ni wapi kuna unafuu??

Binafsi naona kama hatuna wapinzani ambao wanasadia kukuza demokrasia, mimi navyoona hapa tunao wajasilia siasa, haiwezekani mtu ukawa mpinzani tu kwa zaidi ya miaka 30??

Ina maana wewe hakuna unaloona linafanyika sahihi?? Yaani unapinga tu kwa miaka 30?? Kuna tatizo mahali. Tujisahihishe.

In God we Trust
 
Mkuu kualikwa ikulu inawezekana kukawa na manufaa kwa upande wa siasa zetu kama kweli wana nia haswa, ila kwa mtazamo wa ndugu yetu wa ujerumani anatutia mashaka
Labda ndicho Maalim alichoahidiwa ikulu.

In God we Trust
 
Hata wewe mramba viatu kuna sehemu unakosea maana haiwezekani kila kitu kinachofanyika lazima kina kufurahisha

In God we Trust
Mbatia leo kawaaibisha wazee wa matusi.

Mnapenda sana matusi, jifunzeni siasa za kujenga hoja.
 
Wanajamvi nimekutana pahala na tweet ya Zitto Kabwe lkn baada ya kuusoma nimepatwa na mashaka makubwa juu ya huyu mtu.

Anaonekana anachopigania ni kuhakikisha anapata madaraka tu na siyo kuwa mtetezi wa wananchi kama anavyo jitanabaisha majukwaani.

Tuwe makini sana na wana siasa kama hawa. View attachment 1375687

In God we Trust
Kwanini tumjadili zitto nae ameamua kuandika kile alichoamua kwenye akili yake kama wewe siku zote unazoandika na wala hujadiliwi!
 
Acha Lisu hata aende na mke wake, na hata ikiwa vipi aende ccm kabisa, sisi kwetu upinzani uko kwenye damu. Ukweli tunajua ccm hutumia nguvu zote kupambana na chama chochote cha upinzani chenye nguvu, hivyo haya yanayotokea kwa cdm hata kikitokea chama chochote kikawa na nguvu kitafanyiwa Uhuni hivyo hivyo. Uzuri sasa hivi wananchi wengi tunajitambua kuwa ccm ndio adui yetu, kwenye hilo hatukosei.
Umapanik mada ni kuhusu zitto!
 
Back
Top Bottom