Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
- Thread starter
- #21
Nimekuelewa, sasa unataka kutwambia kuwa wale walio agiza hayo magori yahamishwe wamehamia Somalia au wamesilimu na kutubu kwa waliyo yafanya? Ccm bado ipo hivyo kama walihamisha magori lazima wataendelea na mchezo wao
In God we Trust
We mwenyewe unajua kuwa alishinda hata uchaguzi uliopita Jecha akahamisha goal, hata 2005 ilikuwa same, Wazenj wanampeda Seif na bado atagombea
In God we Trust